Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mawazo yangu mimi ni tofauti na yako. mimi nasema, kama wasingekuwa ni majizi, si wangetuambia tu kila mmoja achange laki moja, tufanye watu wazima tupo 30m tu, mara 100,000 unapata trilion 3. hizo mbona kama zitafanya kitu kikubwa sana. shida ni kwamba, wataiba.Ukihitaji salamu subiri kwanza nilipwe Milioni 1 yangu,Tofauti na hapo utaula wa chuya!
Watanzania tuko milioni 60,kwanini serikali isilitulipe kila mtanzania milioni 1 kila mwezi?,Mbona ni hela ndogo tu hiyo!.
Watu milioni 60 × 1 milioni kila mwezi = Milioni 60.
Nadhani hii iwekwe kwenye katiba
Ulisoma hesabu darasa la kwanza mjinga kabisaUkihitaji salamu subiri kwanza nilipwe Milioni 1 yangu,Tofauti na hapo utaula wa chuya!
Watanzania tuko milioni 60,kwanini serikali isilitulipe kila mtanzania milioni 1 kila mwezi?,Mbona ni hela ndogo tu hiyo!.
Watu milioni 60 × 1 milioni kila mwezi = Milioni 60.
Nadhani hii iwekwe kwenye katiba
Huna akili period.60,000,000*1,000,000 ni milioni 60 ?Ukihitaji salamu subiri kwanza nilipwe Milioni 1 yangu,Tofauti na hapo utaula wa chuya!
Watanzania tuko milioni 60,kwanini serikali isilitulipe kila mtanzania milioni 1 kila mwezi?,Mbona ni hela ndogo tu hiyo!.
Watu milioni 60 × 1 milioni kila mwezi = Milioni 60.
Nadhani hii iwekwe kwenye katiba
Mkuu hata kama hesabu hatujui ila hapa umeonyesha umbulula wa kiwango cha lamiUkihitaji salamu subiri kwanza nilipwe Milioni 1 yangu,Tofauti na hapo utaula wa chuya!
Watanzania tuko milioni 60,kwanini serikali isilitulipe kila mtanzania milioni 1 kila mwezi?,Mbona ni hela ndogo tu hiyo!.
Watu milioni 60 × 1 milioni kila mwezi = Milioni 60.
Nadhani hii iwekwe kwenye katiba
Kwa kweli hesabu kazi! Umeamua kuunga juhudi ya TUKANA UONE au na wewe mahesabu ni baba mkwe?Nakubali🤒
View attachment 2739602
Kwa kweli hesabu kazi! Umeamua kuunga juhudi ya TUKANA UONE au na wewe mahesabu ni baba mkwe?Nakubali🤒
View attachment 2739602
Kweli hesabu ni janga la taifa,simple tuu kama unasevu buku kila sikuNakubali[emoji855]
View attachment 2739602
Sio kweli hesabu yakoUkihitaji salamu subiri kwanza nilipwe Milioni 1 yangu,Tofauti na hapo utaula wa chuya!
Watanzania tuko milioni 60,kwanini serikali isilitulipe kila mtanzania milioni 1 kila mwezi?,Mbona ni hela ndogo tu hiyo!.
Watu milioni 60 × 1 milioni kila mwezi = Milioni 60.
Nadhani hii iwekwe kwenye katiba
Kabisa ndo ilikua kazi yake yani mahesabu ya hovyowakati wenzako wanasoma hisabati wewe ulikua unasugua mbegu za ubuyu ili uwachome nazo..
KabisaHesabu Ugonjwa Wa Taif
Aisee..Imetoka hukuuu...
View attachment 2739608
Ikitengwa hiyo Tsh 60 Milion wewe itabidi upewe Senti Moja (01 Cent) ili na wenzio wapate sawa sawa.Ukihitaji salamu subiri kwanza nilipwe Milioni 1 yangu,Tofauti na hapo utaula wa chuya!
Watanzania tuko milioni 60,kwanini serikali isilitulipe kila mtanzania milioni 1 kila mwezi?,Mbona ni hela ndogo tu hiyo!.
Watu milioni 60 × 1 milioni kila mwezi = Milioni 60.
Nadhani hii iwekwe kwenye katiba
[emoji23][emoji23]Kweli hesabu ni janga la taifa,simple tuu kama unasevu buku kila siku
1000×365=365000
Hio milioni 79 imetoka wap?View attachment 2739624