Tuko Milioni 60,Serikali kwanini isitulipe wananchi kila Mwezi milioni 1 ambazo kwa ujumla itakuwa milioni 60?

Tuko Milioni 60,Serikali kwanini isitulipe wananchi kila Mwezi milioni 1 ambazo kwa ujumla itakuwa milioni 60?

Ukihitaji salamu subiri kwanza nilipwe Milioni 1 yangu,Tofauti na hapo utaula wa chuya!


Watanzania tuko milioni 60,kwanini serikali isilitulipe kila mtanzania milioni 1 kila mwezi?,Mbona ni hela ndogo tu hiyo!.

Watu milioni 60 × 1 milioni kila mwezi = Milioni 60.

Nadhani hii iwekwe kwenye katiba
mawazo yangu mimi ni tofauti na yako. mimi nasema, kama wasingekuwa ni majizi, si wangetuambia tu kila mmoja achange laki moja, tufanye watu wazima tupo 30m tu, mara 100,000 unapata trilion 3. hizo mbona kama zitafanya kitu kikubwa sana. shida ni kwamba, wataiba.
 
Imetoka hukuuu...
1693904652742.png
 
Ukihitaji salamu subiri kwanza nilipwe Milioni 1 yangu,Tofauti na hapo utaula wa chuya!


Watanzania tuko milioni 60,kwanini serikali isilitulipe kila mtanzania milioni 1 kila mwezi?,Mbona ni hela ndogo tu hiyo!.

Watu milioni 60 × 1 milioni kila mwezi = Milioni 60.

Nadhani hii iwekwe kwenye katiba
Ulisoma hesabu darasa la kwanza mjinga kabisa
 
Ukihitaji salamu subiri kwanza nilipwe Milioni 1 yangu,Tofauti na hapo utaula wa chuya!


Watanzania tuko milioni 60,kwanini serikali isilitulipe kila mtanzania milioni 1 kila mwezi?,Mbona ni hela ndogo tu hiyo!.

Watu milioni 60 × 1 milioni kila mwezi = Milioni 60.

Nadhani hii iwekwe kwenye katiba
Huna akili period.60,000,000*1,000,000 ni milioni 60 ?
 
Ukihitaji salamu subiri kwanza nilipwe Milioni 1 yangu,Tofauti na hapo utaula wa chuya!


Watanzania tuko milioni 60,kwanini serikali isilitulipe kila mtanzania milioni 1 kila mwezi?,Mbona ni hela ndogo tu hiyo!.

Watu milioni 60 × 1 milioni kila mwezi = Milioni 60.

Nadhani hii iwekwe kwenye katiba
Mkuu hata kama hesabu hatujui ila hapa umeonyesha umbulula wa kiwango cha lami
 
Ukihitaji salamu subiri kwanza nilipwe Milioni 1 yangu,Tofauti na hapo utaula wa chuya!


Watanzania tuko milioni 60,kwanini serikali isilitulipe kila mtanzania milioni 1 kila mwezi?,Mbona ni hela ndogo tu hiyo!.

Watu milioni 60 × 1 milioni kila mwezi = Milioni 60.

Nadhani hii iwekwe kwenye katiba
Sio kweli hesabu yako
 
Ukihitaji salamu subiri kwanza nilipwe Milioni 1 yangu,Tofauti na hapo utaula wa chuya!


Watanzania tuko milioni 60,kwanini serikali isilitulipe kila mtanzania milioni 1 kila mwezi?,Mbona ni hela ndogo tu hiyo!.

Watu milioni 60 × 1 milioni kila mwezi = Milioni 60.

Nadhani hii iwekwe kwenye katiba
Ikitengwa hiyo Tsh 60 Milion wewe itabidi upewe Senti Moja (01 Cent) ili na wenzio wapate sawa sawa.
Ebu Twambie utaifanyia nini hiyo Senti 1 ?
 
Back
Top Bottom