Tuko Milioni 60,Serikali kwanini isitulipe wananchi kila Mwezi milioni 1 ambazo kwa ujumla itakuwa milioni 60?

Tuko Milioni 60,Serikali kwanini isitulipe wananchi kila Mwezi milioni 1 ambazo kwa ujumla itakuwa milioni 60?

Ukihitaji salamu subiri kwanza nilipwe Milioni 1 yangu,Tofauti na hapo utaula wa chuya!


Watanzania tuko milioni 60,kwanini serikali isilitulipe kila mtanzania milioni 1 kila mwezi?,Mbona ni hela ndogo tu hiyo!.

Watu milioni 60 × 1 milioni kila mwezi = Milioni 60.

Nadhani hii iwekwe kwenye katiba
Watu million 60 ukiwalipa kila mtu shillingi moja ndiyo unatumia million 60
Ukiwalipa kila mtu million moja, unatumia kiasi cha fedha TZS 60,000,000,000,000 /= ambacho ni Triilion 60; kiasi ambacho ni mara mbili ya bajeti ya nchi yetu kwa mwaka mzima
Najua unafanya utani ila nimeamua kukujibu usije ukapotosha na wengine
 
Ukihitaji salamu subiri kwanza nilipwe Milioni 1 yangu,Tofauti na hapo utaula wa chuya!


Watanzania tuko milioni 60,kwanini serikali isilitulipe kila mtanzania milioni 1 kila mwezi?,Mbona ni hela ndogo tu hiyo!.

Watu milioni 60 × 1 milioni kila mwezi = Milioni 60.

Nadhani hii iwekwe kwenye katiba
Ili tulipwe watu wote inabidi tulipwe sh 1 kila mtu ndio inakuja hiyo miloni 60 yako,umeelewa hapo?!
 
Watu million 60 ukiwalipa kila mtu shillingi moja ndiyo unatumia million 60
Ukiwalipa kila mtu million moja, unatumia kiasi cha fedha TZS 60,000,000,000,000 /= ambacho ni Triilion 60; kiasi ambacho ni mara mbili ya bajeti ya nchi yetu kwa mwaka mzima
Najua unafanya utani ila nimeamua kukujibu usije ukapotosha na wengine
Hizo hesabu niza kijijini kwenu!
 
Tumetumikia Taifa zaidi ya miaka 40 na pension tunapewa laki mbili kwa mwezi, wewe unaota upewe milioni bure bure tu?
 
Back
Top Bottom