TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 2,345
- 6,970
- Thread starter
- #81
Ushachoka kaa utulize hizo ndala kwenye kifua chako kichafu!Umeuhakikishia ulimwengu kuwa shule ulienda kusomea ujinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushachoka kaa utulize hizo ndala kwenye kifua chako kichafu!Umeuhakikishia ulimwengu kuwa shule ulienda kusomea ujinga
Ushazeeka wewe kaa utulie hiyo K wape wazee wenzioMwenzako mliosoma nae darasa moja yupo post #18
Siyo kwamba wewe ndo hukwenda Shule?shule yako ilienda kushoto sana aisee. kwahiyo milion 60,000,000 gawanya kwa watu milion 60,000,000 sawasawa na milioni moja?
Hii nchi ina matatizo makubwa sana hususani vijana matahira kama wewe!.Madhara ya ELIMU BURE ndiyo haya.
Penalty kwenye hiabati irejeshwe.
Nyie vijana wa Uso wa kitabu huwa mnashida sanaSijalisoma wala kuliandika mkuu.
Liko wapi mbona hata silioni?
🤣🤣🤣🤣🤣 Hili swali ukiuliza kule fb watu wengi sana watamuunga mkono,
Bila kujua milioni sitini mara milioni moja ni ngapi.
Sasa mnaanza kujitetea kijinga. Mwenye akili anasema "nilifanya kosa nalirekebisha". Simpo.Unajua Hakuna kitu Cha kipuuzi, Kama kujiona mwenye haki.
👉Nani kakupa haki ya kuhukumu??, Au ndo bangi na Stimu zenu 🤔
👉Punguza mishisha we bi bichwa
Madam tuli fanya utani, au una hisi Uwezo wa Akili uko hivyo??Sasa mnaanza kujitetea kijinga. Mwenye akili anasema "nilifanya kosa nalirekebisha". Simpo.
Hakuna cha utani kwenye mahesabu. Kubalini mlikosea tu.Madam tuli fanya utani, au una hisi Uwezo wa Akili uko hivyo??
👉U disgrace your self, kutoa povu kiss namba za kwenye keyboard 🤔
Tukikubali au kupatia, we una pata kipi???Hakuna cha utani kwenye mahesabu. Kubalini mlikosea tu.