Kindred Spirit
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 260
- 375
Watu million 60 ukiwalipa kila mtu shillingi moja ndiyo unatumia million 60Ukihitaji salamu subiri kwanza nilipwe Milioni 1 yangu,Tofauti na hapo utaula wa chuya!
Watanzania tuko milioni 60,kwanini serikali isilitulipe kila mtanzania milioni 1 kila mwezi?,Mbona ni hela ndogo tu hiyo!.
Watu milioni 60 Γ 1 milioni kila mwezi = Milioni 60.
Nadhani hii iwekwe kwenye katiba
Shida una jikuta genius Kwenye upuuziπ€£π€.Kweli hesabu ni janga la taifa,simple tuu kama unasevu buku kila siku
1000Γ365=365000
Hio milioni 79 imetoka wap?View attachment 2739624
Shida una jikuta genius Kwenye upuuziπ€£π€.Kwa kweli hesabu kazi! Umeamua kuunga juhudi ya TUKANA UONE au na wewe mahesabu ni baba mkwe?
Ili tulipwe watu wote inabidi tulipwe sh 1 kila mtu ndio inakuja hiyo miloni 60 yako,umeelewa hapo?!Ukihitaji salamu subiri kwanza nilipwe Milioni 1 yangu,Tofauti na hapo utaula wa chuya!
Watanzania tuko milioni 60,kwanini serikali isilitulipe kila mtanzania milioni 1 kila mwezi?,Mbona ni hela ndogo tu hiyo!.
Watu milioni 60 Γ 1 milioni kila mwezi = Milioni 60.
Nadhani hii iwekwe kwenye katiba
Hizo hesabu niza kijijini kwenu!Watu million 60 ukiwalipa kila mtu shillingi moja ndiyo unatumia million 60
Ukiwalipa kila mtu million moja, unatumia kiasi cha fedha TZS 60,000,000,000,000 /= ambacho ni Triilion 60; kiasi ambacho ni mara mbili ya bajeti ya nchi yetu kwa mwaka mzima
Najua unafanya utani ila nimeamua kukujibu usije ukapotosha na wengine
πMkuu ndiyo shida ya kuishia darasa la 3c.
Mkuu nishawatumia namba yangu ya account πHaya weka namba yako ya Acc yako ya Bank ili mwezi ujao uanze kujazwa hela za bure.
Sijaelewa mkuuIli tulipwe watu wote inabidi tulipwe sh 1 kila mtu ndio inakuja hiyo miloni 60 yako,umeelewa hapo?!
ππTumetumikia Taifa zaidi ya miaka 40 na pension tunapewa laki mbili kwa mwezi, wewe unaota upewe milioni bure bure tu?
Memkwa matapeli mkuu πRudi memkwa aise