TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 2,345
- 6,970
- Thread starter
-
- #61
Mkuu hii hesabu ya wapi?,wewe ulikimbia hesabu ya mwalimu MtweveNimecheka sana aseee 🤣🤣🤣🤣🤣. Hesabu umekosea hapo
1,000,000 * 60,000,000 = 60,000,000,000,000 hiyo ni 60 Trillion nchi itatoa wapi hiyo hela.
Ni sawa na 24 billion dollars
Haaa haaa haaa nilikuwa sehemu serious halafu nimecheka kwa sauti sanaaaa daaaah hii kitu kilikuwa cha ajabu Sanaawakati wenzako wanasoma hisabati wewe ulikua unasugua mbegu za ubuyu ili uwachome nazo..
Hii hesabu hata Mama Abdul haiwezi kuisoma vizuri japo umekosea kuzidishaUkihitaji salamu subiri kwanza nilipwe Milioni 1 yangu,Tofauti na hapo utaula wa chuya!
Watanzania tuko milioni 60,kwanini serikali isilitulipe kila mtanzania milioni 1 kila mwezi?,Mbona ni hela ndogo tu hiyo!.
Watu milioni 60 × 1 milioni kila mwezi = Milioni 60.
Nadhani hii iwekwe kwenye katiba
Au mnasemaje wananzengo😂😂
Mkuu tumia tarakilishi basi kupiga hiyo hesabu kisha njoo unifuateUkihitaji salamu subiri kwanza nilipwe Milioni 1 yangu,Tofauti na hapo utaula wa chuya!
Watanzania tuko milioni 60,kwanini serikali isilitulipe kila mtanzania milioni 1 kila mwezi?,Mbona ni hela ndogo tu hiyo!.
Watu milioni 60 × 1 milioni kila mwezi = Milioni 60.
Nadhani hii iwekwe kwenye katiba
Au mnasemaje wananzengo😂😂
Hahahahahawakati wenzako wanasoma hisabati wewe ulikua unasugua mbegu za ubuyu ili uwachome nazo..
Tuna PhD kwa kuanzia🤣Mwanzo nilijua jf wote ni wasomi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahaha aisee umrnichekesha sanaawakati wenzako wanasoma hisabati wewe ulikua unasugua mbegu za ubuyu ili uwachome nazo..
Wanazitoa wapi?Ukihitaji salamu subiri kwanza nilipwe Milioni 1 yangu,Tofauti na hapo utaula wa chuya!
Watanzania tuko milioni 60,kwanini serikali isilitulipe kila mtanzania milioni 1 kila mwezi?,Mbona ni hela ndogo tu hiyo!.
Watu milioni 60 × 1 milioni kila mwezi = Milioni 60.
Nadhani hii iwekwe kwenye katiba
Au mnasemaje wananzengo😂😂
Mkuu inaelekea wewe na hesabu ni 0.Ukihitaji salamu subiri kwanza nilipwe Milioni 1 yangu,Tofauti na hapo utaula wa chuya!
Watanzania tuko milioni 60,kwanini serikali isilitulipe kila mtanzania milioni 1 kila mwezi?,Mbona ni hela ndogo tu hiyo!.
Watu milioni 60 × 1 milioni kila mwezi = Milioni 60.
Nadhani hii iwekwe kwenye katiba
Au mnasemaje wananzengo😂😂
Hahaha kwa hiyo mwezi una week 31 😃😃😃 badala ya siku 31Nakubali🤒
View attachment 2739602
Utajiri huo mzee😂😂Hahaha kwa hiyo mwezi una week 31 😃😃😃 badala ya siku 31
We jamaa😂😂😂wakati wenzako wanasoma hisabati wewe ulikua unasugua mbegu za ubuyu ili uwachome nazo..
60,000,000 × 1,000,000 = 60,000,000,000,000[emoji818]JAMII CHECK [emoji599][emoji599][emoji599][emoji599][emoji599]
Mil 1 ukizidisha kwa mil 60 hupati 60mil shs
SI KWELI
Hesabu gani hizi? Mwezi una wiki 7?Nakubali🤒
View attachment 2739602