Tuko msibani kwao na mke wangu halafu mke wangu hata hanijali

[emoji1][emoji1] unataka kila mtu abutue kwa experience ya mama ako alivyobutuliwa ukapatikana[emoji1][emoji1]
Nimechokoza nyuki kusudi sasa acha nipate nundu, kila mmoja afaidi apendavyo mi nabutua tu na buzza kama sheria, acha tubutuane tu kisha tuendelee na mengine
 
Nimeoga mtoni leo mkuu, sijala mpaka sasa hivi.usafiri upo ila sina nauli mkuu,jamaa niliyemkopesha hajanilipa.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ we jamaa dah
 
Shukuru mungu ujapasua kuni na kutumwa tumwa mixer kuchoteshwa maji.
 
Nyie wajita sijui waikizu mna matatizo sana. Msibani mtafutane ili iweje?😑. Huna hata uwezo wa kununua jeneza la kumsitiri babu utambulike ili iweje?
 
Kwa familia zetu za kiswahili usikute hao kina binamu walikuwaga wanamtomba zamani na ndio walimtoa bikra zote ndio maana anawajali kuliko wewe[emoji1787]
 
Umeongea kama ukweli flani aisee,ukweli unaouma.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Huyo wife wako hana kaka zake au ndugu zake wakiume kama vipi jichanganye na masela
Inategemea kama mashemeji wenyewe mamende akijichanganya tu anapigwa mboo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tafuta kazi ya kufanya nduguyangu. Kama unapata muda wa kwenda msibani siku tatu kabla ya kuzika na bado upo huko, upo free sana. Ndo maana hawakuoni na wanakuchukulia poa kuanzia mkeo hadi nduguzake plus wakwezako. Kwa lugha nyepesi ni kwamba hata usingeenda kabisa wala hakuna ambae angeuliza upo wapi
 
Nimeoga mtoni leo mkuu, sijala mpaka sasa hivi.usafiri upo ila sina nauli mkuu,jamaa niliyemkopesha hajanilipa.
Duh.! Umeoga mtoni.!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Binamu kavaaje na wewe umevaaje au umeenda Kama umefiwa wakati msiba sio wako wamkeo.......binamu kamili hamtafuni Ila binamu kamili kaunfanishwa na mtafunaji namtafunaji anamkwanja. Zika uondoke
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ila ushauri wa humu unatia kichwa moto

Huwa unamtia vizuri?

Yupo na Ma-Ex wake wanaomkojoza

Unasepa binamu anaitumia mpaka arobaini iishe

Zamu ya mabinamu kuhudumiwa

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
JF ikindelea na comment za namna hii Kuna siku tutamkuta mtu kajinyonga kwenye kikengere Cha notification hapo juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…