[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] mmenivuruga nyie waombolezaji hapa hapa msibani kuna mfiwa kuna nguchiro na mtoto wa nguchiro
🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌Kama huna hela bas chukua hata jembe ukwangue vinyas nyas hapo ukwen
Na mda wa kutumwa uwe unakuwa jiran ili utumwe dukan au hata kuchota maji
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
hivi babu tu, mkwe anafunga safari....si angempa tu wife nauli na rambirambi.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Msiba una mambo huu!
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Kama huna hela bas chukua hata jembe ukwangue vinyas nyas hapo ukwen
Na mda wa kutumwa uwe unakuwa jiran ili utumwe dukan au hata kuchota maji
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣dahKama huna hela bas chukua hata jembe ukwangue vinyas nyas hapo ukwen
Na mda wa kutumwa uwe unakuwa jiran ili utumwe dukan au hata kuchota maji
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hivi babu tu, mkwe anafunga safari....si angempa tu wife nauli na rambirambi.
halafu sijui atakua mkwe kapuku make wakwe hawashtushwi na uwepo wake
Hahahahaha[emoji23][emoji23][emoji23]ila ushauri wa humu unatia kichwa moto
Huwa unamtia vizuri?
Yupo na Ma-Ex wake wanaomkojoza
Unasepa binamu anaitumia mpaka arobaini iishe
Zamu ya mabinamu kuhudumiwa
[emoji23][emoji23][emoji23]
Haki hizi comments mtoa mada haamini majicho yake! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Fanya hvoKwema wazee?
Tuko ukweni huku msibani, wife kafiwa na babu yake.ila hapa msibani pameshanishinda na natamani kurudi zangu kwangu,yani wife ni kama hanijui vile,hajui nimekula au sijala,toka nije hii siku ya tatu sijaoga wala kubadilisha nguo,hajui nalala wapi na yeye ananiangalia tu..ila cha ajabu kuna majamaa naona wanaitana binamu anawahudumia vizuri hadi naona wivu,sema ndiyo hivyo siwezi kuhoji kwa sasa.
Nimepanga kesho wakishazika tu,nadandia roli la mnadani nasepa zangu hata wife simuagi,atanikuta Town.
Hana kazi huyu...msiba wa babu wa wife hata kwenda siendi,nitatuma pesa tu.Kafiwa na babu we ulienda kufanya nn...siku 3 bila kuoga msiba wa babu yake wife? Akifiwa na baba ake si ndo utakaa mpaka waanue matanga? Kweli mwanaume usipokuwa mwanaume unaliwa na wanaume.
anaweza kumwaga chozi watu wakadhani mkwe anamlilia babu kumbe analizwa na commentsHaki hizi comments mtoa mada haamini majicho yake! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pole sana ila usijali mimi hadi watoto walikua wanalia mama tunaenda kulala na baba. Maana waliona kabisa nilivyokua mpweke. Ondoka kabla hujaleta msiba mwingine best.Kwema wazee?
Tuko ukweni huku msibani, wife kafiwa na babu yake.ila hapa msibani pameshanishinda na natamani kurudi zangu kwangu,yani wife ni kama hanijui vile,hajui nimekula au sijala,toka nije hii siku ya tatu sijaoga wala kubadilisha nguo,hajui nalala wapi na yeye ananiangalia tu..ila cha ajabu kuna majamaa naona wanaitana binamu anawahudumia vizuri hadi naona wivu,sema ndiyo hivyo siwezi kuhoji kwa sasa.
Nimepanga kesho wakishazika tu,nadandia roli la mnadani nasepa zangu hata wife simuagi,atanikuta Town.
Ndivyo hufanya wanaume wenzieHana kazi huyu...msiba wa babu wa wife hata kwenda siendi,nitatuma pesa tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]anaweza kumwaga chozi watu wakadhani mkwe anamlilia babu kumbe analizwa na comments