Tuko tayari kupigana kwa muda wowote vita itakaochukua - Hamas watoa tamko kuadhimisha vita na Israel

Hili ni tangazo jema sana kwa Israel. Israel inahitaji muda mrefu wa vita Ili kukausha Kila nzi ndani ya Gaza na hatimaye kusimika utawala usio wa kigaidi. Sio kazi ya mda mfupi. Na Adui hajawahi kutamka kuwa ninashindwa.!
Marekani kasema kuanzia mwisho wa mwaka huu atakua hana hela ya kutoa msaada sasa itakuaje?
 
Piganeni fumuaneni ubongo then mshindi ataandika historia upya
 
Sikutegemea jeshi la IDF kwa ubora wao tunaoaminishwa kuchukua miezi zaidi ya miwili kwenye upande wa jimbo moja tuu la Gaza tena kupambana na wanamgambo wasioungwa mkono na wananchi wenzao wa Palestine


Hakika Hamas ni vidume
 
Hahaha, anayasema hayo akiwa kwenye uwanja wa vita au akiwa Beirut ! Mjinga sana rudi Gaza ukafe na wenzio, watoto wanakufa wanawake wanakufa , makumi kwa mamia ya wapiganaji wa Hamas wanajisalimisha .
Muoga wewe.
 
Hahaha, anayasema hayo akiwa kwenye uwanja wa vita au akiwa Beirut ! Mjinga sana rudi Gaza ukafe na wenzio, watoto wanakufa wanawake wanakufa , makumi kwa mamia ya wapiganaji wa Hamas wanajisalimisha .
Muoga wewe.
Usiwe na hasira.Hakuna Hamas anayeogopa kufa akaishi kama mnyama.Huyu wenzake wamemridhia abake huko na faida zaidi kuliko kuwepo Gaza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…