namanga-kitonga
JF-Expert Member
- Feb 4, 2020
- 679
- 744
Kazi zipi hizo zinazowataka kuchora tatoo? Acha kutetea ujinga.Mkuuu kuna wengine wamezichora kutokana na matakwa ya kazi wanazofanya hivyo tusiwahukumu wooote tutakuwa tumefanya FALLACY OF GENERALIZATION. Lkn kwa wengineo aina hiyo ya Urembo kwakweli haifai kwa vyovyote.
Ukafute hizo tatoo ulizochora makalioni upesi.
Sent using Jamii Forums mobile app