Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani kweli niache kupaka henna.,itakua ngumu..
Mambo ya Walawi 19:28
2Pac sio kitu cha kipumbavu. Huyo mtu amefariki akiwa na miaka 25, lakini alikuwa ameshaufundisha na kuburudisha ulimwengu kuliko hata maisha yako yote.ile "permanency" ndio tatizo kwenye Tattoo vinginevyo haina tofauti na hina, Vile vile kuchora Kitu cha kipumbavu (Mfano 26 number, 2pac nk ) inafanya Tattoo kuonekana tatizo zaidi
Kuwa clean wapi? Jinsia yako tafadhaliNapenda kuwa clean mi hata makovu tu siyapendi
Mambo ya kuweka mamichoro mwili utadhani wewe ni gazeti siyataki
But i like women with tattoos ,they look sexy[emoji2][emoji3577]
Men with tattoos huwa nawaona majambazi ,manunda tu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uzuri hakulazimishwa kuchora wacha kimpate.Wkt fln nilikatiza mitaa ya ubungo pale nimekutana na mtu kachora tatu mpk usoni yaani kachora manjota njota nying usoni had anaona aibu kufutika haitutikii hakika nilimuonea huruma kila mtu anamtazama cjui Ni mtz Yule ama mcongo. Ila siyo POA kbsaa
Sas acha nirud kiasome contents
Hili halina ubishi,mchepuko wangu Rose una tatoo. Yule hakuwa na malezi mazuri. Anaweza kuwa na wewe halafu anachat na bwana mwingine. Nikamwambia ndio maana mpaka leo hujaolewa.
Tena Kubwa tu!maandishi yako tu yanaonesha una tatizo
Ilikuweje ebu fafanua vizur happ kwenye ndotoSku niliyochora tatoo na slogan ya maisha yangu..skuota ndoto yoyote...before nilikuwaa naota ndoto mbaya sana ..kama mbwai bwai tu
yaani dunia hii yenye Rose kibao,inawezekana kweli?Rose.! Usikute tunatesa kwa zamu.!!
Kwani walioolewa wote wana bwana mmoja?.Hili halina ubishi,mchepuko wangu Rose una tatoo. Yule hakuwa na malezi mazuri. Anaweza kuwa na wewe halafu anachat na bwana mwingine. Nikamwambia ndio maana mpaka leo hujaolewa.
nini msingi wa swali lakoKwani walioolewa wote wana bwana mmoja?.
Conclusion yako kwa mchepuko wakonini msingi wa swali lako