Tukubali tukatae, mtu kuwa na Tattoo ni kielelezo cha malezi mabovu

Tukubali tukatae, mtu kuwa na Tattoo ni kielelezo cha malezi mabovu

Wkt fln nilikatiza mitaa ya ubungo pale nimekutana na mtu kachora tatu mpk usoni yaani kachora manjota njota nying usoni had anaona aibu kufutika haitutikii hakika nilimuonea huruma kila mtu anamtazama cjui Ni mtz Yule ama mcongo. Ila siyo POA kbsaa

Sas acha nirud kiasome contents
 
Mm binafs niliwai gegeda manza mwenye kuchora tatu. Ya njoka kwenye mgogo wake hakik Yule demu Ni single mam wa kudumu na pia anapenda kufiranaaa Hali ilinifanya niachane naye kwanz hyo tatu chaipenda na pia ananilaumu kwa kuti mfiraa nilishngaa sna
 
Mambo ya Walawi 19:28

mambo ya walawi 19:19 nenda kasome

hivi biblia ukiifuata utaweza kuishi?

sababu kwa kutumia biblia hakuna anayepona,kama hapo inakataza hata kuchanganya mbegu za aina mbili kwenye shamba moja,na nguo za aina mbili kwenye mwili mmoja...sasa kwa huu mstari nani atatoboa mbinguni?!
 
ile "permanency" ndio tatizo kwenye Tattoo vinginevyo haina tofauti na hina, Vile vile kuchora Kitu cha kipumbavu (Mfano 26 number, 2pac nk ) inafanya Tattoo kuonekana tatizo zaidi
2Pac sio kitu cha kipumbavu. Huyo mtu amefariki akiwa na miaka 25, lakini alikuwa ameshaufundisha na kuburudisha ulimwengu kuliko hata maisha yako yote.
 
Hili halina ubishi,mchepuko wangu Rose una tatoo. Yule hakuwa na malezi mazuri. Anaweza kuwa na wewe halafu anachat na bwana mwingine. Nikamwambia ndio maana mpaka leo hujaolewa.
 
Napenda kuwa clean mi hata makovu tu siyapendi

Mambo ya kuweka mamichoro mwili utadhani wewe ni gazeti siyataki

But i like women with tattoos ,they look sexy[emoji2][emoji3577]

Men with tattoos huwa nawaona majambazi ,manunda tu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuwa clean wapi? Jinsia yako tafadhali
 
Wkt fln nilikatiza mitaa ya ubungo pale nimekutana na mtu kachora tatu mpk usoni yaani kachora manjota njota nying usoni had anaona aibu kufutika haitutikii hakika nilimuonea huruma kila mtu anamtazama cjui Ni mtz Yule ama mcongo. Ila siyo POA kbsaa

Sas acha nirud kiasome contents
Uzuri hakulazimishwa kuchora wacha kimpate.
 
Halaf mi nashangaa sisi wengine na rangi zetu hizi[emoji16] yani tattoo na hizi rangi za ngozi zetu ni haziendani kabisa tunafoc tu kutaka kujiona na ss wajanja lkn tattoo na ngozi nyeuc [emoji27]
 
Mkuu sio malezi mabaya, mfano upo kwangu....... miaka ya 1997/98 huko nilikuwa mbali na wazazi na hicho ndio kipindi ambacho nilikuwa najaribu kufanya kila kitu, nikaanza kupiga nondo kwenye hizi gym za kiswahili, mwili ukakubali nikaanza kunyoa kama mwamba Mike Tyson (namkubali sana huyo dingi) maisha yakaendelea lakini niliogopa kuvuta bangi tu.

Nikapata demu ka binti ka kiswahili mitaa ya Igogo Mwanza, kakaiteka sana akili yangu, ka Mwanaidi kakanifundisha hata kula kiboga .......piga sana samvu la kopo........kajinga haka ndio kakanishawishi nichore huu upuuzi.....siku nimerudi nyumbani bi mkubwa akaona huu uchafu, hakuangalia eti nimekuwa baunsa [emoji1787][emoji1787], hakuangalia kwamba eti amenikumbuka siku nyingi hatujaonana, alinipa masaa matatu niwe nimeyafuta ndio tusalimiane.

Haikuwa mpaka masaa matatu yalipokamilika.......bi mkubwa alinivaa huku ananivurumishia makonde mazito mazito ya uzani wa juu sana (bi mkubwa wangu alikuwa mbabe sana na ana mbavu nene haswa) nilipigika kiukweli sio siri, ili ni takribani dakika 45 za mfueni hevi uliounganisha vipigo vya aina tofauti tafouti.......

Nimalizie tu kwa kukwambia mtoa mada sio wote wenye tatoo wameendekezwa kwenye malezi yao.
 
Sku niliyochora tatoo na slogan ya maisha yangu..skuota ndoto yoyote...before nilikuwaa naota ndoto mbaya sana ..kama mbwai bwai tu
 
Back
Top Bottom