Tukubali tukatae, mtu kuwa na Tattoo ni kielelezo cha malezi mabovu

Tukubali tukatae, mtu kuwa na Tattoo ni kielelezo cha malezi mabovu

Yaani zipo za aina tofauti zenye kuvutia kwa wembamba na wanene. Unaweza vaa casual au official. Kila zama na kitabu chake
Nakubali yani😅 kutoka watu kuvaa 3X Tees na baggy jeans mpaka leo watu wanavaa vitishet modo jeans modo ni mabadiliko ya hali ya juu
 
ile "permanency" ndio tatizo kwenye Tattoo vinginevyo haina tofauti na hina, Vile vile kuchora Kitu cha kipumbavu (Mfano 26 number, 2pac nk ) inafanya Tattoo kuonekana tatizo zaidi
Yupo bwege mmoja nilimuona juzi kwenye mtandao yeye kajichora picha ya chifu Hangaya usoni hapa kwenye paji la uso!

Bora hata angekuwa amejichora picha ya baba/mama au wanae yeye kaweka ya mtu ambaye hata kumsogelea metre 10 hawezi,pumbavu kabisa!
 
Kwahiyo wanaume mnaochora mnatoa kubwa au?
kawaulize walochora, ila wee endelea kuzichora, utamalizwa hayo marinda yote.

Kuna dada huku kazichora anaomba tumpige mtungo wa kinyeoni. Anadai anawashwa, eti tumuhurumie.
 
kawaulize walochora, ila wee endelea kuzichora, utamalizwa hayo marinda yote.

Kuna dada huku kazichora anaomba tumpige mtungo wa kinyeoni. Anadai anawashwa, eti tumuhurumie.
Kama yako yanavyoendelea kuisha shauri zako wewe endelea tu na hizo tattoo utamzidi james delicious
 
Huwezi amini kama uliotoa mada hii kama wewe ni Mkristo basi napaswa kukwambia kuwa, Hatawaliokuletea dini na wanaotoa misaada ya dini ni wenye hizo Tattoo. Kama unabisha tembea kwenye nchi kama USA na Huko bara la Ulaya.

Tataizo linakuja pale unapokutana na mwenye Tattoo kwa mara ya kwanza na akakufanyia uhuni, ndio hapo unapokuja dhana jumuhishi kuwa wenye tattoo ni shida.

Lakini pia unapaswa kujua Tattoo ni kitu gani na wapi kilianzia..?
Binafsi sina hiyo tattoo , lakini naheshimu sana watu wenye uhuru na maisha yao. Wengi hutamani hizo tatto shida ni kwamba wengi wanahofia kukosa kazi na masuala mengine.

Wapo Watu hawana hizo Tattoo lakini wana mambo ya ovyo na wenye kujaa dhambi kuliko hata Lil Wayne mwenye tattoo zake.

Huna tattoo lakini kichwan una mawazo ya kishetani, lakini yupo ,wemye tattoo kama Mess anasaidia watu wengi huko nchini kwako, sasa hapo kipimo cha maadili ni kipi?

Kiasili hatuwezi kuwa sheris moja itakayosimamia dunia nzima, tuache kuhukumu watu, inawezekana ndugu yako hana maadili huko lakini sio watu wote.

Tabia za mtu hazifafanuliwi kwa tattoo, shida tu huku kwetu hatuna uhuru tunaishi ishi tu kwa kuhofia kukosa kazi.

Yangu ni hayo!
Kama uyo mess Ni shoga utajuaje??
 
Kama yako yanavyoendelea kuisha shauri zako wewe endelea tu na hizo tattoo utamzidi james delicious
mimi nikute mwanamke ana tattoo au nikute mamaaa mrs van una tattoo huwa siulizi mara mbili, ni mwendo wa kifiro tuu

na mi nikisha ku.fi.ra lazma unogewe tuu, utanitafuta kila siku.

Kuweni makini na hizo tattoo zenu, hasa wanawake, tena mzifute au msichore kabisa.
 
Ni tatizo la mtazamo tu, kumbuka tofauti ya kimtazamo ndo inayoifanya dunia iendelee kuwepo .

Endelea kuamini unachoamini, Ila kiukweli wapo waliochora na ni wastaarabu kupindukia. Michoro ya tattoo haiakisi tabia ya mtu.
Uislam umekataza tatoo, ukristo umekataza tatoo, haijalishi wewe ni mstaarabu au sio. Nyie msio na dini endeleeni kuchora
 
Tukubali tukatae, ukiona mtu ana tattoo yoyote ujue ni matokeo ya malezi mabaya.

Tattoo ni ishara ya mtu kutokujijali, kutojali afya wala thamani ya mwili wake na pia kutokutumia akili sawasawa.

Ndio maana China kwa ajili ya kulinda kizazi cha sasa na kizazi cha baadae imepiga marufuku ukengeufu na kuzuia watu kutokuchora tattoo. Sio China tu, nchi nyingi sasa zimeshaanza kuona kwamba tattoo ni mwenendo mbaya kwa jamii hivyo kuanza kuzipiga marufuku.

Ukiangalia, huwezi kukuta familia zinazojielewa na zenye heshima katika jamii kama wanasiasa, wafanya biashara wakubwa, wanasayansi, wasomi nk watoto wao ama wao wenyewe wamechora tattoo. Na hata kama ikitokea alichora kwa bahati mbaya akiwa mdogo, lazima utakuta anaificha sana isionekane katika jamii. Sababu ya kufanya hivyo ni moja tu kwamba tattoo ni ishara ya malezi mabaya ama tabia mbaya.

Huku Afrika hasa Tanzania ambako usimamizi wa maadili na mwenendo mwema katika jamii imeachwa kwa mtu binafsi, vijana wengi huona kuchora tattoo ni ufahahari kua kama Messi ama 50 Cents.

Tulinde kizazi chetu cha sasa na cha baade kutoka kwenye uharibifu huu wa Tattoo, tueleze vijana tattoo sio jambo jema na sio ufahari, ni ujinga.

Tattoo!!. Wanachora watu wa ovyo ovyo kwenye jamii. Yan kuna vitu akifanya mtu huitaj nguvu kujua ni wa aina gan kichwan. Unaweza kuwa na pesa lakin wa ovyo!
Mtoa mada niruhusu kuongeza vitu vya ovyo mwilini;
kikuku, shanga, heren ya pua, kipini nyusi, kope, kucha, kiduku na way, lenz za macho, rasta kwa wanaume.
 
Naomba kujua tattoo ukiichora haiwezi futika?
Kwakweli kati na vitu nisivyopenda hii makitu.

Kuna kaka mmoja ana tatoo mkononi sasa nawaza aliichora enzi za ujana, sasa ana ofisi na wafanya kazi yeye ndo boss, sasa ili uheshimike lazima wewe uwe mfano.

Mimi nilijiuliza kwa nini anavaa mikono mirefu tu ndo siku moja nikamuona kavalia tishet ndo nikaiona. Alistuka sana nikaona akivuta ile tisheti kuifunika tatoo ile.

Sasa najiuliza kwa nini apate shida? Si aifute tu? Sijapata nafasi ya kumuuliza ila nikipata nafasi siku nyingine nitamuuliza maana dah kwa nafasi yake nafasi yake ni aibu kuwa na ule mchoro mkononi.

Vip wakuu hii kitu haifutiki?
Kufuta tattoo ni gharama kuliko kuichora na sio salama sana maana unajiweka kwenye hatari ya kipata madhara pia
 
She had a Tattoo, Ila Nampenda Ananipenda, Na Yuko Smart tu Upstairs
kwakweli mchunguze sana huyo mwanamke, lazma analiwa ndogo, kama hakuwai kukupa jicho, wee jua tuu huko nje kuna mtu anamkula jicho.

Duniani hakuna mwanamke mwenye tattoo asie toa jicho.

Tattoo na kikuku kwa mwanamke vinamaanisha, analiwa kotekote. Afadhali kikuku kidogo, ila kwa Tattoo 100% analiwa ndogo na kama bado asilimia 100% lazma ataliwa jicho tuu.
 
Back
Top Bottom