Tukubali tukatae, mtu kuwa na Tattoo ni kielelezo cha malezi mabovu

Tukubali tukatae, mtu kuwa na Tattoo ni kielelezo cha malezi mabovu

Dada kiatu chako kigumu kukivaa 😁😁🤭🤭

Sasa hapo hasira zipo kwa mchepuko na kwa mume wa mchepuko.

Unaonaje ukichora tattoo huenda mumeo ndo kilichomvutia na ndo kinachomkenulisha mume wake.
Pole km na ww una tatoo..

Kajaribu kuifuta... Mnaonekana cyo
 
Mimi binafsi siwezi kujichora ila siwezi hukumu mtu aliyejichora tattoos Kila mtu afanye linalo mpendeza machoni mwake na kumfurahisha ndani ya nafsi yake kama tu alita athiri wengine kimwili, na kiakili
Mim pia haitotokea kuja kujichora. nijambo lakipumbavu sna mtu kuhukumiwa kwakujichora tattoos, Niubaguzi wakipuuzi

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Pole km na ww una tatoo..

Kajaribu kuifuta... Mnaonekana cyo
Sina tattoo sababu tu ni muoga wa maumivu.

Ila napenda kuangalia tattoo mbali mbali its a work of art.

And what people decide to do on their bodies has nothing to do with me. So I cannot be judgemental.

A tat does not make you a whore, or barbaric.
 
Huwezi amini kama uliotoa mada hii kama wewe ni Mkristo basi napaswa kukwambia kuwa, Hatawaliokuletea dini na wanaotoa misaada ya dini ni wenye hizo Tattoo. Kama unabisha tembea kwenye nchi kama USA na Huko bara la Ulaya.

Tataizo linakuja pale unapokutana na mwenye Tattoo kwa mara ya kwanza na akakufanyia uhuni, ndio hapo unapokuja dhana jumuhishi kuwa wenye tattoo ni shida.

Lakini pia unapaswa kujua Tattoo ni kitu gani na wapi kilianzia..?
Binafsi sina hiyo tattoo , lakini naheshimu sana watu wenye uhuru na maisha yao. Wengi hutamani hizo tatto shida ni kwamba wengi wanahofia kukosa kazi na masuala mengine.

Wapo Watu hawana hizo Tattoo lakini wana mambo ya ovyo na wenye kujaa dhambi kuliko hata Lil Wayne mwenye tattoo zake.

Huna tattoo lakini kichwan una mawazo ya kishetani, lakini yupo ,wemye tattoo kama Mess anasaidia watu wengi huko nchini kwako, sasa hapo kipimo cha maadili ni kipi?

Kiasili hatuwezi kuwa sheris moja itakayosimamia dunia nzima, tuache kuhukumu watu, inawezekana ndugu yako hana maadili huko lakini sio watu wote.

Tabia za mtu hazifafanuliwi kwa tattoo, shida tu huku kwetu hatuna uhuru tunaishi ishi tu kwa kuhofia kukosa kazi.

Yangu ni hayo!
Nina swali kwako

Kwa nn watu hawachori tattoo kwa kuogopa kupoteza kazi kama uliyosema.
 
Unyama wangu huapa
IMG_20220105_202223_128.jpg
 
I donr know...ila nimelelewa vizuri ru sema i have tattoo kwa mapenzi yangu hata wazazi wangu hawahusiki
 
Siwezi kuchora tatoo kwasababu mimi ni blood donor [emoji119][emoji119]. Pia namshangaa sana mtu anaechora tatoo kwasababu huwa naamini wana matatizo ya afya ya akili au wanatabia ambazo zinaukakasi.

Wewe ndiyo mwenye matatizo ya akir
 
Mambo ya Walawi 19:28
[28]Msichanje chale yo yote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi BWANA.
Ye shall not make any cuttings in your flesh for the dead, nor print any marks upon you: I am the LORD.
wale wamakonde kule msumbjii watajuwa watu hovyo kabisa
 
Mambo ya Walawi 19:28
[28]Msichanje chale yo yote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi BWANA.
Ye shall not make any cuttings in your flesh for the dead, nor print any marks upon you: I am the LORD.
wale wamakonde kule msumbjii watakuwa watu hovyo kabisa
 
Siku niliyotaka kujichora Tattoo,
Nilienda mpaka kwa mchoraji, alikuwa na mtu anamchora, ilibidi nisubiri amalizwe ili zamu yangu ifike. Na ilipofika zamu yangu nikiwa tayari kuanza kuchorwa umeme ulikatika, Nilisubiri sana na haukurudi na ndio ilikuwa mwisho wa maamuzi yangu ya kujichora tattoo.
 
Tukubali tukatae, ukiona mtu ana tattoo yoyote ujue ni matokeo ya malezi mabaya.

Tattoo ni ishara ya mtu kutokujijali, kutojali afya wala thamani ya mwili wake na pia kutokutumia akili sawasawa.

Ndio maana China kwa ajili ya kulinda kizazi cha sasa na kizazi cha baadae imepiga marufuku ukengeufu na kuzuia watu kutokuchora tattoo. Sio China tu, nchi nyingi sasa zimeshaanza kuona kwamba tattoo ni mwenendo mbaya kwa jamii hivyo kuanza kuzipiga marufuku.

Ukiangalia, huwezi kukuta familia zinazojielewa na zenye heshima katika jamii kama wanasiasa, wafanya biashara wakubwa, wanasayansi, wasomi nk watoto wao ama wao wenyewe wamechora tattoo. Na hata kama ikitokea alichora kwa bahati mbaya akiwa mdogo, lazima utakuta anaificha sana isionekane katika jamii. Sababu ya kufanya hivyo ni moja tu kwamba tattoo ni ishara ya malezi mabaya ama tabia mbaya.

Huku Afrika hasa Tanzania ambako usimamizi wa maadili na mwenendo mwema katika jamii imeachwa kwa mtu binafsi, vijana wengi huona kuchora tattoo ni ufahahari kua kama Messi ama 50 Cents.

Tulinde kizazi chetu cha sasa na cha baade kutoka kwenye uharibifu huu wa Tattoo, tueleze vijana tattoo sio jambo jema na sio ufahari, ni ujinga.

Naomba kujua tattoo ukiichora haiwezi futika?
Kwakweli kati na vitu nisivyopenda hii makitu.

Kuna kaka mmoja ana tatoo mkononi sasa nawaza aliichora enzi za ujana, sasa ana ofisi na wafanya kazi yeye ndo boss, sasa ili uheshimike lazima wewe uwe mfano.

Mimi nilijiuliza kwa nini anavaa mikono mirefu tu ndo siku moja nikamuona kavalia tishet ndo nikaiona. Alistuka sana nikaona akivuta ile tisheti kuifunika tatoo ile.

Sasa najiuliza kwa nini apate shida? Si aifute tu? Sijapata nafasi ya kumuuliza ila nikipata nafasi siku nyingine nitamuuliza maana dah kwa nafasi yake nafasi yake ni aibu kuwa na ule mchoro mkononi.

Vip wakuu hii kitu haifutiki?
 
Nilikutana na kamchepuko kana tatoo chini ya kitovu. Kimejiandika "I love you Robert" Naishukuru sana ile tatoo maana iliniepusha na dhambi ya uzinzi. Abdallah kichwa wazi alinywea kama jongoo...

Popote ulipo Robert, napenda kukufahamisha demu wako sio mwaminifu.
Kwani hazifutiki? Si angefuta ndo akaja kwako?
 
Nilikutana na kamchepuko kana tatoo chini ya kitovu. Kimejiandika "I love you Robert" Naishukuru sana ile tatoo maana iliniepusha na dhambi ya uzinzi. Abdallah kichwa wazi alinywea kama jongoo...

Popote ulipo Robert, napenda kukufahamisha demu wako sio mwaminifu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aisee pole mkuu, hivi una mchoraje binadamu mwenzako mwilini, huko sikuchafua nafsi yako bure na kuchafua mwili?
Ila huyo dada hana akili
 
Watu wengi? Wangapi?

Watu wengi? Wangapi?

Punguza kuongea kitu usichokijua, unaongea kwa mihemko tu.

Mapepo unayajua? Au sababu umekutana na vichaa wavuta bangi uko mtaani Basi unadhani Kila mchora tattoo yupo hivyo?
Huu mtazamo wangu na watu ninaowafahamu, so heshimu nilichoandika mwisho wa siku kila mtu na mtazamo wake so usikasirike life ni fupi in Mario's voice
 
Nenda na vifungu vya biblia mkuu, kifungu gani kilichoharamisha tatoo na jee aina hiyo ya urembo ilikuwepo enzi na enzi na ilijulikana kwa jina hilo?

Siungi mkono hayo makitu, isipokuwa tuunge mkono hoja kwa vifungu.

Nimefuatilia kuanzia mtoa mada anavyolaani, lakini sijaona mtu akasema kiufasaha madhara yatokanayo na hiyo michoro ya ngozi.
28 Msichanje chale yo yote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi Bwana.
Mambo ya Walawi 19:28
 
vitu vingine ni upotofu wa imani tuu, mbona wanawake wengi tuu mna mapepo ya kutosha na tattoo hamjachora?. Kila mkutano wa injili wa kuanguka mapepo ni nyie tuu.

Mbona madangaji mengi, malaya, mashoga na wezi hawana tattoo na bado wanatabia mbovu.

usisingizie tattoo, chora tattoo usipo chora, kama una matatizo au tabia chafu ni unazo tuu.
Mapepo mbona hata wanaume wanayo Mimi nasemea wachora tattoo wengine wameharibikiwa mfano kina wema, gigy money wote wale sio wazima, ngoja siku wafute hizo tattoo watarudi kwenye utimamu wao, pia wengine huwa na matatizo na hushauriwa kufuta hizo tattoo, pia usisahau maskini wengi hudondoshwa na mapepo church jiulize ni kwanini?
 
Back
Top Bottom