Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ni mtazamo wako tu,huwezi kutuaminisha kwamba kuchora tattoo ni tabia mbaya kuliko kudanga,ulevi,uvivu,wizi,nk.Tukubali tukatae, ukiona mtu ana tattoo yoyote ujue ni matokeo ya malezi mabaya.
Tattoo ni ishara ya mtu kutokujijali, kutojali afya wala thamani ya mwili wake na pia kutokutumia akili sawasawa.
Ndio maana China kwa ajili ya kulinda kizazi cha sasa na kizazi cha baadae imepiga marufuku ukengeufu na kuzuia watu kutokuchora tattoo. Sio China tu, nchi nyingi sasa zimeshaanza kuona kwamba tattoo ni mwenendo mbaya kwa jamii hivyo kuanza kuzipiga marufuku.
Ukiangalia, huwezi kukuta familia zinazojielewa na zenye heshima katika jamii kama wanasiasa, wafanya biashara wakubwa, wanasayansi, wasomi nk watoto wao ama wao wenyewe wamechora tattoo. Na hata kama ikitokea alichora kwa bahati mbaya akiwa mdogo, lazima utakuta anaificha sana isionekane katika jamii. Sababu ya kufanya hivyo ni moja tu kwamba tattoo ni ishara ya malezi mabaya ama tabia mbaya.
Huku Afrika hasa Tanzania ambako usimamizi wa maadili na mwenendo mwema katika jamii imeachwa kwa mtu binafsi, vijana wengi huona kuchora tattoo ni ufahahari kua kama Messi ama 50 Cents.
Tulinde kizazi chetu cha sasa na cha baade kutoka kwenye uharibifu huu wa Tattoo, tueleze vijana tattoo sio jambo jema na sio ufahari, ni ujinga.
![]()
China bans footballers from getting tattoos | CNN
China has banned footballers from getting tattoos and ordered those with existing ones to remove or cover them up to set a “good example for society,” according to a directive issued by the General Administration of Sport of China (GAS).www.cnn.com
Kwa kuwa kimefanywa na mzungu, kwako unaona sawaView attachment 2081867
Tatoo kwa wengine ni tamaduni mkuu Great Of All Time kama huyo ana malezi mabovu?View attachment 2081868
Sijui hasa ni nini maana yake hio. Nimepata kujua tu juu juu inahusiana na mambo ya jelaHivi namba 26 ina maanisha nini ina trend sana
vitu vingine ni upotofu wa imani tuu, mbona wanawake wengi tuu mna mapepo ya kutosha na tattoo hamjachora?. Kila mkutano wa injili wa kuanguka mapepo ni nyie tuu.Ila watu wengi waliochora hizo tattoo huwa Wana tabia mbovu sana hata kwa jamii na huharibikiwa akili, na hata wengi huumwa na kushauriwa watoe hizo tattoo maana Zina mapepo mengi
futa hiyo tattoo wewe ni wa hovyoWatu wengi? Wangapi?
Watu wengi? Wangapi?
Punguza kuongea kitu usichokijua, unaongea kwa mihemko tu.
Mapepo unayajua? Au sababu umekutana na vichaa wavuta bangi uko mtaani Basi unadhani Kila mchora tattoo yupo hivyo?
acha upimbiView attachment 2081867
Tatoo kwa wengine ni tamaduni mkuu Great Of All Time kama huyo ana malezi mabovu?View attachment 2081868
Nilikutana na kamchepuko kana tatoo chini ya kitovu. Kimejiandika "I love you Robert" Naishukuru sana ile tatoo maana iliniepusha na dhambi ya uzinzi. Abdallah kichwa wazi alinywea kama jongoo...
Popote ulipo Robert, napenda kukufahamisha demu wako sio mwaminifu.
Aisee we jamaa umenichekesha msibaniAhsante Kwa Taarifa
Mpaka kakuwekea tatoo. Inaelekea mbususu yake unaicharanga kisawasawa😀😀
Mimi umenivuruga UJUE!
Umefanya jumla mno Mkuu, wengine siyo malezi ni watu wazima kabisa wenye maamuzi binafsi. Hivyo kuwasema walezi wake ni kuwaonea.Tukubali tukatae, ukiona mtu ana tattoo yoyote ujue ni matokeo ya malezi mabaya.
Tattoo ni ishara ya mtu kutokujijali, kutojali afya wala thamani ya mwili wake na pia kutokutumia akili sawasawa.
Ndio maana China kwa ajili ya kulinda kizazi cha sasa na kizazi cha baadae imepiga marufuku ukengeufu na kuzuia watu kutokuchora tattoo. Sio China tu, nchi nyingi sasa zimeshaanza kuona kwamba tattoo ni mwenendo mbaya kwa jamii hivyo kuanza kuzipiga marufuku.
Ukiangalia, huwezi kukuta familia zinazojielewa na zenye heshima katika jamii kama wanasiasa, wafanya biashara wakubwa, wanasayansi, wasomi nk watoto wao ama wao wenyewe wamechora tattoo. Na hata kama ikitokea alichora kwa bahati mbaya akiwa mdogo, lazima utakuta anaificha sana isionekane katika jamii. Sababu ya kufanya hivyo ni moja tu kwamba tattoo ni ishara ya malezi mabaya ama tabia mbaya.
Huku Afrika hasa Tanzania ambako usimamizi wa maadili na mwenendo mwema katika jamii imeachwa kwa mtu binafsi, vijana wengi huona kuchora tattoo ni ufahahari kua kama Messi ama 50 Cents.
Tulinde kizazi chetu cha sasa na cha baade kutoka kwenye uharibifu huu wa Tattoo, tueleze vijana tattoo sio jambo jema na sio ufahari, ni ujinga.
![]()
China bans footballers from getting tattoos | CNN
China has banned footballers from getting tattoos and ordered those with existing ones to remove or cover them up to set a “good example for society,” according to a directive issued by the General Administration of Sport of China (GAS).www.cnn.com
Mpaka kakuwekea tatoo. Inaelekea mbususu yake unaicharanga kisawasawa