Tukubali tukatae, mtu kuwa na Tattoo ni kielelezo cha malezi mabovu

Tukubali tukatae, mtu kuwa na Tattoo ni kielelezo cha malezi mabovu

kwakweli mchunguze sana huyo mwanamke, lazma analiwa ndogo, kama hakuwai kukupa jicho, wee jua tuu huko nje kuna mtu anamkula jicho.

Duniani hakuna mwanamke mwenye tattoo asie toa jicho.

Tattoo na kikuku kwa mwanamke vinamaanisha, analiwa kotekote. Afadhali kikuku kidogo, ila kwa Tattoo 100% analiwa ndogo na kama bado asilimia 100% lazma ataliwa jicho tuu.
Mbona Hakuna Uhusiano
 
Mbona Hakuna Uhusiano
siku ukirushiwa video zake akiliwa tigo live na siku umfume live akitatuliwa rinda au siku akupitishe kwa mpalange live ndo utajua uhusiano wake.

wanawake wachora tattoo kwa mambo hayo ni moto wa kuotea mbali, ni kina mama mpalange.

ukiona mwanamke kachora tattoo, ni mama mpalange huyo, usiulize mara mbili.
 
siku ukirushiwa video zake akiliwa tigo live na siku umfume live akitatuliwa rinda au siku akupitishe kwa mpalange live ndo utajua uhusiano wake.

wanawake wachora tattoo kwa mambo hayo ni moto wa kuotea mbali, ni kina mama mpalange.

ukiona mwanamke kachora tattoo, ni mama mpalange huyo, usiulize mara mbili.

maandishi yako tu yanaonesha una tatizo
 
Tuangalie pia upande mwingine wa shilingi .tattoo ni moja ya artistuc work of art .. as long as culture is concerned.the bitter truth ni kwamba elite class na well off individuals huwezi wakuta wamechora tattoo.middle class na majority y lower class ndio wanahangaika na tattoo
 
Siku niliyotaka kujichora Tattoo,
Nilienda mpaka kwa mchoraji, alikuwa na mtu anamchora, ilibidi nisubiri amalizwe ili zamu yangu ifike. Na ilipofika zamu yangu nikiwa tayari kuanza kuchorwa umeme ulikatika, Nilisubiri sana na haukurudi na ndio ilikuwa mwisho wa maamuzi yangu ya kujichora tattoo.
Hahahaha Malaika wako alikuepusha
 
yuko chris brown amechora mwili wote kasoro uso tu
20220117_181838.jpg
 
ile "permanency" ndio tatizo kwenye Tattoo vinginevyo haina tofauti na hina, Vile vile kuchora Kitu cha kipumbavu (Mfano 26 number, 2pac nk ) inafanya Tattoo kuonekana tatizo zaidi
hivi wale wamakonde jamii ya msumbiji na kwetu hapawanaweka nini ili michoro yao idumu?
 
Napenda kuwa clean mi hata makovu tu siyapendi

Mambo ya kuweka mamichoro mwili utadhani wewe ni gazeti siyataki

But i like women with tattoos ,they look sexy[emoji2][emoji3577]

Men with tattoos huwa nawaona majambazi ,manunda tu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Napenda kuwa clean mi hata makovu tu siyapendi

Mambo ya kuweka mamichoro mwili utadhani wewe ni gazeti siyataki

But i like women with tattoos ,they look sexy[emoji2][emoji3577]

Men with tattoos huwa nawaona majambazi ,manunda tu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Duuh wakati mimi naona tattoo bora awe nazo mwanaume kuliko mwanamke akiwa nazo mwanamke huwa namuona malaya tu no matter how sexy she looks! Halafu wewe si ndiyo umetoka kuongelea habari za unyago kwenye ule uzi kwahiyo kuchora tattoo nayo inafundishwa kwenye unyago na inafaa siyo?
 
Nenda na vifungu vya biblia mkuu, kifungu gani kilichoharamisha tatoo na jee aina hiyo ya urembo ilikuwepo enzi na enzi na ilijulikana kwa jina hilo?

Siungi mkono hayo makitu, isipokuwa tuunge mkono hoja kwa vifungu.

Nimefuatilia kuanzia mtoa mada anavyolaani, lakini sijaona mtu akasema kiufasaha madhara yatokanayo na hiyo michoro ya ngozi.
Mambo ya Walawi 19:28
 
Back
Top Bottom