Tattoo = Hina.Napata ukakasi kutofautisha artistic expression ya Tattoo(najua zipo za kudumu na za muda mfupi),upakaji wa hina,kujitoga mwilini,na extreme level ya make up..Yote ni kama yanafanana kwa namna fulani..
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
duh Mtumishi uko vizuri ,Mungu akubarikiMambo ya Walawi 19:28
[28]Msichanje chale yo yote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi BWANA.
Ye shall not make any cuttings in your flesh for the dead, nor print any marks upon you: I am the LORD.
Usifananishe hennaa na vitu vya kijinga plsTattoo = Hina.
Zote ni lengo lake ni moja.
Binafsi mwanamke anayefanya kati ya haya hafai kuwa hata mke.
Kuna mdau hapa jamvini aliwahi kusema ukiona mwanamke wa aina hii jua anafanya au yuko tayari kufanya mapenzi kinyume na maumbile.
Kwa mwanaume ni ishara ya kutumia mibangi/ madawa ya kulevya.
Nilikutana na kamchepuko kana tatoo chini ya kitovu. Kimejiandika "I love you Robert" Naishukuru sana ile tatoo maana iliniepusha na dhambi ya uzinzi. Abdallah kichwa wazi alinywea kama jongoo...Ila watu wengi waliochora hizo tattoo huwa Wana tabia mbovu sana hata kwa jamii na huharibikiwa akili, na hata wengi huumwa na kushauriwa watoe hizo tattoo maana Zina mapepo mengi
Ni Imani tu hakuna ukweli wowote.Tattoo = Hina.
Zote ni lengo lake ni moja.
Binafsi mwanamke anayefanya kati ya haya hafai kuwa hata mke.
Kuna mdau hapa jamvini aliwahi kusema ukiona mwanamke wa aina hii jua anafanya au yuko tayari kufanya mapenzi kinyume na maumbile.
Kwa mwanaume ni ishara ya kutumia mibangi/ madawa ya kulevya.
Tukubali tukatae, ukiona mtu ana tattoo yoyote ujue ni matokeo ya malezi mabaya.
Tattoo ni ishara ya mtu kutokujijali, kutojali afya wala thamani ya mwili wake na pia kutokutumia akili sawasawa.
Ndio maana China kwa ajili ya kulinda kizazi cha sasa na kizazi cha baadae imepiga marufuku ukengeufu na kuzuia watu kutokuchora tattoo. Sio China tu, nchi nyingi sasa zimeshaanza kuona kwamba tattoo ni mwenendo mbaya kwa jamii hivyo kuanza kuzipiga marufuku.
Ukiangalia, huwezi kukuta familia zinazojielewa na zenye heshima katika jamii kama wanasiasa, wafanya biashara wakubwa, wanasayansi, wasomi nk watoto wao ama wao wenyewe wamechora tattoo. Na hata kama ikitokea alichora kwa bahati mbaya akiwa mdogo, lazima utakuta anaificha sana isionekane katika jamii. Sababu ya kufanya hivyo ni moja tu kwamba tattoo ni ishara ya malezi mabaya ama tabia mbaya.
Huku Afrika hasa Tanzania ambako usimamizi wa maadili na mwenendo mwema katika jamii imeachwa kwa mtu binafsi, vijana wengi huona kuchora tattoo ni ufahahari kua kama Messi ama 50 Cents.
Tulinde kizazi chetu cha sasa na cha baade kutoka kwenye uharibifu huu wa Tattoo, tueleze vijana tattoo sio jambo jema na sio ufahari, ni ujinga.
China bans footballers from getting tattoos | CNN
China has banned footballers from getting tattoos and ordered those with existing ones to remove or cover them up to set a “good example for society,” according to a directive issued by the General Administration of Sport of China (GAS).www.cnn.com
Hakuna mtu mstaarabu anayejichora hayo mambo. Narudia tena, hayupo.Ni Imani tu hakuna ukweli wowote.
Kuna waliochora hizo tattoo na ni watu wastaarabu tu.
Tupunguze kukalili.
Watu wengi? Wangapi?Ila watu wengi waliochora hizo tattoo huwa Wana tabia mbovu sana hata kwa jamii na huharibikiwa akili, na hata wengi huumwa na kushauriwa watoe hizo tattoo maana Zina mapepo mengi
Watu wengi? Wangapi?Ila watu wengi waliochora hizo tattoo huwa Wana tabia mbovu sana hata kwa jamii na huharibikiwa akili, na hata wengi huumwa na kushauriwa watoe hizo tattoo maana Zina mapepo mengi
Nilikutana na kamchepuko kana tatoo chini ya kitovu. Kimejiandika "I love you Robert" Naishukuru sana ile tatoo maana iliniepusha na dhambi ya uzinzi. Abdallah kichwa wazi alinywea kama jongoo...
Popote ulipo Robert, napenda kukufahamisha demu wako sio mwaminifu.
Ni tatizo la mtazamo tu, kumbuka tofauti ya kimtazamo ndo inayoifanya dunia iendelee kuwepo .Hakuna mtu mstaarabu anayejichora hayo mambo. Narudia tena, hayupo.
Hivi namba 26 ina maanisha nini ina trend sanaile "permanency" ndio tatizo kwenye Tattoo vinginevyo haina tofauti na hina, Vile vile kuchora Kitu cha kipumbavu (Mfano 26 number, 2pac nk ) inafanya Tattoo izidi kuonekana tatizo zaidi
Haya, waislam wamefika sasaUsifananishe hennaa na vitu vya kijinga pls
Mimi binafsi siwezi kujichora ila siwezi hukumu mtu aliyejichora tattoos Kila mtu afanye linalo mpendeza machoni mwake na kumfurahisha ndani ya nafsi yake kama tu alita athiri wengine kimwili, na kiakiliTukubali tukatae, ukiona mtu ana tattoo yoyote ujue ni matokeo ya malezi mabaya.
Tattoo ni ishara ya mtu kutokujijali, kutojali afya wala thamani ya mwili wake na pia kutokutumia akili sawasawa.
Ndio maana China kwa ajili ya kulinda kizazi cha sasa na kizazi cha baadae imepiga marufuku ukengeufu na kuzuia watu kutokuchora tattoo. Sio China tu, nchi nyingi sasa zimeshaanza kuona kwamba tattoo ni mwenendo mbaya kwa jamii hivyo kuanza kuzipiga marufuku.
Ukiangalia, huwezi kukuta familia zinazojielewa na zenye heshima katika jamii kama wanasiasa, wafanya biashara wakubwa, wanasayansi, wasomi nk watoto wao ama wao wenyewe wamechora tattoo. Na hata kama ikitokea alichora kwa bahati mbaya akiwa mdogo, lazima utakuta anaificha sana isionekane katika jamii. Sababu ya kufanya hivyo ni moja tu kwamba tattoo ni ishara ya malezi mabaya ama tabia mbaya.
Huku Afrika hasa Tanzania ambako usimamizi wa maadili na mwenendo mwema katika jamii imeachwa kwa mtu binafsi, vijana wengi huona kuchora tattoo ni ufahahari kua kama Messi ama 50 Cents.
Tulinde kizazi chetu cha sasa na cha baade kutoka kwenye uharibifu huu wa Tattoo, tueleze vijana tattoo sio jambo jema na sio ufahari, ni ujinga.
China bans footballers from getting tattoos | CNN
China has banned footballers from getting tattoos and ordered those with existing ones to remove or cover them up to set a “good example for society,” according to a directive issued by the General Administration of Sport of China (GAS).www.cnn.com
... ha ha ha! "Umeisoma" tatoo chini ya kitovu halafu bado hujazini? Amtazamye mwanamke kwa kumtamani amekwisha kuzini naye moyoni.Nilikutana na kamchepuko kana tatoo chini ya kitovu. Kimejiandika "I love you Robert" Naishukuru sana ile tatoo maana iliniepusha na dhambi ya uzinzi. Abdallah kichwa wazi alinywea kama jongoo...
Popote ulipo Robert, napenda kukufahamisha demu wako sio mwaminifu.
Mbona tunatishana tena arifu?... ha ha ha! "Umeisoma" tatoo chini ya kitovu halafu bado hujazini? Amtazamye mwanamke kwa kumtamani amekwisha kuzini naye moyoni.
... ila sisi binadamu mavazi yanatusitiri sana; bila nguo tuna miundo mibaya kuzidi wanyama wa porini!