Tukubali tukatae, mtu kuwa na Tattoo ni kielelezo cha malezi mabovu

Tukubali tukatae, mtu kuwa na Tattoo ni kielelezo cha malezi mabovu

Napata ukakasi kutofautisha artistic expression ya Tattoo(najua zipo za kudumu na za muda mfupi),upakaji wa hina,kujitoga mwilini,na extreme level ya make up..Yote ni kama yanafanana kwa namna fulani..

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Tattoo = Hina.
Zote ni lengo lake ni moja.

Binafsi mwanamke anayefanya kati ya haya hafai kuwa hata mke.
Kuna mdau hapa jamvini aliwahi kusema ukiona mwanamke wa aina hii jua anafanya au yuko tayari kufanya mapenzi kinyume na maumbile.

Kwa mwanaume ni ishara ya kutumia mibangi/ madawa ya kulevya.
 
Tattoo = Hina.
Zote ni lengo lake ni moja.

Binafsi mwanamke anayefanya kati ya haya hafai kuwa hata mke.
Kuna mdau hapa jamvini aliwahi kusema ukiona mwanamke wa aina hii jua anafanya au yuko tayari kufanya mapenzi kinyume na maumbile.

Kwa mwanaume ni ishara ya kutumia mibangi/ madawa ya kulevya.
Usifananishe hennaa na vitu vya kijinga pls
 
Ila watu wengi waliochora hizo tattoo huwa Wana tabia mbovu sana hata kwa jamii na huharibikiwa akili, na hata wengi huumwa na kushauriwa watoe hizo tattoo maana Zina mapepo mengi
Nilikutana na kamchepuko kana tatoo chini ya kitovu. Kimejiandika "I love you Robert" Naishukuru sana ile tatoo maana iliniepusha na dhambi ya uzinzi. Abdallah kichwa wazi alinywea kama jongoo...

Popote ulipo Robert, napenda kukufahamisha demu wako sio mwaminifu.
 
Tattoo = Hina.
Zote ni lengo lake ni moja.

Binafsi mwanamke anayefanya kati ya haya hafai kuwa hata mke.
Kuna mdau hapa jamvini aliwahi kusema ukiona mwanamke wa aina hii jua anafanya au yuko tayari kufanya mapenzi kinyume na maumbile.

Kwa mwanaume ni ishara ya kutumia mibangi/ madawa ya kulevya.
Ni Imani tu hakuna ukweli wowote.

Kuna waliochora hizo tattoo na ni watu wastaarabu tu.

Tupunguze kukalili.
 
Tukubali tukatae, ukiona mtu ana tattoo yoyote ujue ni matokeo ya malezi mabaya.

Tattoo ni ishara ya mtu kutokujijali, kutojali afya wala thamani ya mwili wake na pia kutokutumia akili sawasawa.

Ndio maana China kwa ajili ya kulinda kizazi cha sasa na kizazi cha baadae imepiga marufuku ukengeufu na kuzuia watu kutokuchora tattoo. Sio China tu, nchi nyingi sasa zimeshaanza kuona kwamba tattoo ni mwenendo mbaya kwa jamii hivyo kuanza kuzipiga marufuku.

Ukiangalia, huwezi kukuta familia zinazojielewa na zenye heshima katika jamii kama wanasiasa, wafanya biashara wakubwa, wanasayansi, wasomi nk watoto wao ama wao wenyewe wamechora tattoo. Na hata kama ikitokea alichora kwa bahati mbaya akiwa mdogo, lazima utakuta anaificha sana isionekane katika jamii. Sababu ya kufanya hivyo ni moja tu kwamba tattoo ni ishara ya malezi mabaya ama tabia mbaya.

Huku Afrika hasa Tanzania ambako usimamizi wa maadili na mwenendo mwema katika jamii imeachwa kwa mtu binafsi, vijana wengi huona kuchora tattoo ni ufahahari kua kama Messi ama 50 Cents.

Tulinde kizazi chetu cha sasa na cha baade kutoka kwenye uharibifu huu wa Tattoo, tueleze vijana tattoo sio jambo jema na sio ufahari, ni ujinga.


Yes, Mtanzania lakini, Kwa Wazungu nakataa
 
Ila watu wengi waliochora hizo tattoo huwa Wana tabia mbovu sana hata kwa jamii na huharibikiwa akili, na hata wengi huumwa na kushauriwa watoe hizo tattoo maana Zina mapepo mengi
Watu wengi? Wangapi?
Ila watu wengi waliochora hizo tattoo huwa Wana tabia mbovu sana hata kwa jamii na huharibikiwa akili, na hata wengi huumwa na kushauriwa watoe hizo tattoo maana Zina mapepo mengi
Watu wengi? Wangapi?

Punguza kuongea kitu usichokijua, unaongea kwa mihemko tu.

Mapepo unayajua? Au sababu umekutana na vichaa wavuta bangi uko mtaani Basi unadhani Kila mchora tattoo yupo hivyo?
 
Noma sna [emoji28][emoji28]
Nilikutana na kamchepuko kana tatoo chini ya kitovu. Kimejiandika "I love you Robert" Naishukuru sana ile tatoo maana iliniepusha na dhambi ya uzinzi. Abdallah kichwa wazi alinywea kama jongoo...

Popote ulipo Robert, napenda kukufahamisha demu wako sio mwaminifu.
 
Tukubali tukatae, ukiona mtu ana tattoo yoyote ujue ni matokeo ya malezi mabaya.

Tattoo ni ishara ya mtu kutokujijali, kutojali afya wala thamani ya mwili wake na pia kutokutumia akili sawasawa.

Ndio maana China kwa ajili ya kulinda kizazi cha sasa na kizazi cha baadae imepiga marufuku ukengeufu na kuzuia watu kutokuchora tattoo. Sio China tu, nchi nyingi sasa zimeshaanza kuona kwamba tattoo ni mwenendo mbaya kwa jamii hivyo kuanza kuzipiga marufuku.

Ukiangalia, huwezi kukuta familia zinazojielewa na zenye heshima katika jamii kama wanasiasa, wafanya biashara wakubwa, wanasayansi, wasomi nk watoto wao ama wao wenyewe wamechora tattoo. Na hata kama ikitokea alichora kwa bahati mbaya akiwa mdogo, lazima utakuta anaificha sana isionekane katika jamii. Sababu ya kufanya hivyo ni moja tu kwamba tattoo ni ishara ya malezi mabaya ama tabia mbaya.

Huku Afrika hasa Tanzania ambako usimamizi wa maadili na mwenendo mwema katika jamii imeachwa kwa mtu binafsi, vijana wengi huona kuchora tattoo ni ufahahari kua kama Messi ama 50 Cents.

Tulinde kizazi chetu cha sasa na cha baade kutoka kwenye uharibifu huu wa Tattoo, tueleze vijana tattoo sio jambo jema na sio ufahari, ni ujinga.

Mimi binafsi siwezi kujichora ila siwezi hukumu mtu aliyejichora tattoos Kila mtu afanye linalo mpendeza machoni mwake na kumfurahisha ndani ya nafsi yake kama tu alita athiri wengine kimwili, na kiakili
 
Nilikutana na kamchepuko kana tatoo chini ya kitovu. Kimejiandika "I love you Robert" Naishukuru sana ile tatoo maana iliniepusha na dhambi ya uzinzi. Abdallah kichwa wazi alinywea kama jongoo...

Popote ulipo Robert, napenda kukufahamisha demu wako sio mwaminifu.
... ha ha ha! "Umeisoma" tatoo chini ya kitovu halafu bado hujazini? Amtazamye mwanamke kwa kumtamani amekwisha kuzini naye moyoni.
 
'afu ona mambo yanavyobadilika na wakati!

856 - Funny.jpg
 
... ha ha ha! "Umeisoma" tatoo chini ya kitovu halafu bado hujazini? Amtazamye mwanamke kwa kumtamani amekwisha kuzini naye moyoni.
Mbona tunatishana tena arifu?
 
Back
Top Bottom