Tukumbuke kisa hiki cha msanii Noorah na Fiesta

habari toka kwenye kipande kidogo sana na chakavu cha gazeti la UWAZI
 
MBONA Husemi Noorah Alipata ajali wapi ili h ukweli wenu uwe na ushahidi?
ILA Endelea kuwa Wakala wa Shetani,
SIKU ya Hukum yaja
 
Noorah hakupata ajali kazini mzee au labda kama alikuja kupata ajali nyingine baadae...ninayoikumbuka alikuwa anatoka zake batani na mashorty...tena shorty moja alifariki
mashorty ndo manani ayo?
 
Mkuu siyo OSHA ni WCF
 
Sandra Ringo namkumbuka huyo binti, waliishi pia mjini mtaa wa Nkurumaah kabla hawajahamia mbezi.
 
Najua nachosema kinaukweli toka kwa muhusika....hawa wanaficha ukweli labda wanamaslahi na ukweli huu.
 
Oya babu tale acha kelele basi ushaonekana boya..sasa ulitaka clouds wafanye nn wamlipie hospital kwani huyu mtu mzi a alivyosign mkataba hakuona hayo
Hahah
 
umegundua makosa mangapi katika haya maandiko uliyoandika kwenye Uzi huu?
 
Naona watu wanalazimisha uongo kuwa ukweli ili kutimiza ule msemo wa “ukitaka kumwua mbwa mbatize kwanza jina baya”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…