Jimmie Gatsby
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 3,587
- 7,272
Nasiku zote ukweli unamaadui wengi kuliko rafiki....
Mmeitana tiny zenu zote mje kupotosha Lengo la Uzi huu....
HIVI KWANINI HAMKULISEMA HILI KABLA,
Nimeanzisha Uzi huu mmejaa kujifanya mnamjua Sandra sijui....
Alikuwa anasoma Kenya Mara ya kwanza umeandika. ...
Mara Uganda sijui.....
HaMtaki kusema ilikuwa show ya nini,wap na kwanini. ...
Mmeanza kumdharirisha alikuwa kalewa. ...katolosha mwanafunzi....
Namambo mengine ili Malik aendelee kuumia
hivi hata unaelewa unachokiandika mkuu?