Tukumbuke kisa hiki cha msanii Noorah na Fiesta

Tukumbuke kisa hiki cha msanii Noorah na Fiesta

Aiseeeee Jamaa alikuwa anakula MADEMU wa OYSTERBAY 😳😳😳😳.
Hahahhaaaaa wewe kweli kichwani zimo fasta akili ika think K.. za osterbay kuwa hazivuji kila mwezi. Fatsa kuwa kama zinavja basi lazima huwa wana spare K wanabadili. Yaani Fasta fasta . Nyie ndio wakuwapa UdC kichwa kiko fasta hususani mambo ya K hukawii kuja na hoja ya viwanda vya K
 
Naona watu wanalazimisha uongo kuwa ukweli ili kutimiza ule msemo wa “ukitaka kumwua mbwa mbatize kwanza jina baya”

Wanapandikiza UONGO kwenye vichwa vya wasiotafuta ukweli

yani kweli wewe akili fupi 😂😂😂 unasapoti hyo msg ya juu na umeshindwa kuelewa kuwa inakupinga wewe 😂😂😂😂

ngoja basi nikutafsirie alichomaanisha

amemaanisha kuwa kwasababu huyo fiesta mnataka kumuuwa kwahyo kika baya mnambambikia yeye ili hata mkifanikisha kumuuwa kuwe hakuna lawama

wewe jamaa uko na akili ndogo sana kama uongo unaolazimsha watu wauamini 😂😂😂
 
SIKUMBUKI KAMA AJALI YA NOORAH ILIKUWA NA UHUSIANO NA FIESTA

NOORAH hakupata ajali akiwa kazini alipata ajali akiwa na demu wake (sandra)

nakumbuka gari ilikuwa rav 4 huyo demu wa noorah alikuwa anasoma Kenya na alikuja tanzania bila kwao kujua

lengo lilikuwa kumuona bwana ake akiperfom sasa baada ya noorah kumaliza show yake wakawa wanarudi wote wamelewa na wako speed ulitokea ubishani

maana noorah alikuwa anataka kumrudisha yule demu kwao(oysterbay) na yule demu hataki kurudi kwao maana nyumban kwao walikuwa wanajua yupo shule Kenya

katika mabishano huku gari ikiwa speed yule demu aliisukuma gear kwenye parking

kana ujuavyo gari za zaman hazikuwa na sensor za kutema gear ya packin gari inapokuwa speed kali basi ilifanya tairi zote nne kufunga ghafla na gari ilibingirita mara nane

noorah hakufunga mkanda alitupwa nje ya gari na akapata ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu alikuwa anamkumbuka huyo demu tu...

na siyo kwamba alijipeleka hospital noorah alitoka eneo la ajali akiwa hajitambui kabisa alikuja kupata fahama akiwa hospital

alikaa sana muhimbili hadi alipokuja kupona na kuendelea na mziki pamoja na masomo (IFM)

hawa jamaa fiesta wana mapungufu yao ila sometimes mnazidisha kuwaonea


True kabisa, na mwana last time alipanda Fiesta ya mwaka 2016 Shinyanga... na kwa sasa makazi yake ni Shinyanga aliamua kurudi home kabisa akaoa na kuanza maisha mapya pale shinyanga huku akifanya mishe zake na za mzee wake Mzee Ngarame
 
yani kweli wewe akili fupi 😂😂😂 unasapoti hyo msg ya juu na umeshindwa kuelewa kuwa inakupinga wewe 😂😂😂😂

ngoja basi nikutafsirie alichomaanisha

amemaanisha kuwa kwasababu huyo fiesta mnataka kumuuwa kwahyo kika baya mnambambikia yeye ili hata mkifanikisha kumuuwa kuwe hakuna lawama

wewe jamaa uko na akili ndogo sana kama uongo unaolazimsha watu wauamini 😂😂😂
Inamaana Unapingana na Muhusika...
Chanzo changu ni Muhusika wewe umehadithiwa...
MBONA hutaki kusema ilikuwa show ya nini?
Ilifanyika wap?
Msipende kuwa mawakala wa Shetani.....
 
kuna watu wanasema kuwa eti mleta mada ni babu tale 😂😂😂😂
Tatizo unasikiliza watu...
Hao watu ndio wanakwambia sema hivi...nia na madhumuni yenu nikupotosha Uma na kuficha maovu kwakutetea Matumbo yenu
 
huyo jamaa ni shida.... yani hata hajishtukii kwenye huu uzi watu kibao wanajuana na sandra ringo demu wa noorah aliyepata naye ajali na wanamuelezea jinsi ajali ilivyotokea yeye anabisha tu
WEWE hizo Habari za Sandra anzisha Uzi wako.Mimi najuana na Noorah naemwongelea hapa....
Mnajadiri mje mpoteze vipi ukweli huu.....
Vaeni Utu Vueni Viatu
 
Inamaana Unapingana na Muhusika...
Chanzo changu ni Muhusika wewe umehadithiwa...
MBONA hutaki kusema ilikuwa show ya nini?
Ilifanyika wap?
Msipende kuwa mawakala wa Shetani.....
pointi ni kwamba alipata ajali kazini au lah.... haijalishi alikuwa ametoka kufanya show ya nani au show gani

tunachojadili ni nature ya ajali mzee baba mbona unakuwa hutaki kuelewa

unataka kusema alipata ajali akiwa kwenye tour bus ya fiesta au on stage au akiwa anaelekea kufanya show hell NO.... he was on his way back home

alipata ajali akiwa na rav 4 akiwa anamrudisha sandra kwao
 
Tatizo unasikiliza watu...
Hao watu ndio wanakwambia sema hivi...nia na madhumuni yenu nikupotosha Uma na kuficha maovu kwakutetea Matumbo yenu
sijasikiliza mtu nimeandika ukweli ninaoujua ambao ndio ukweli halisi na karibia asilimia 99.99 ya watu humu wameusapoti huo ukweli niliondika

asilimia 0.01 iliyobaki ni wewe
 
pointi ni kwamba alipata ajali kazini au lah.... haijalishi alikuwa ametoka kufanya show ya nani au show gani

tunachojadili ni nature ya ajali mzee baba mbona unakuwa hutaki kuelewa

unataka kusema alipata ajali akiwa kwenye tour bus ya fiesta hell NO..

alipata ajali akiwa na rav 4 akiwa anamrudisha sandra kwao
MBONA UNARUKA RUKA KAMA CHURA MALAYA.....?
Sema ilikuwa show ya nn
Nausiniletee upuuzi mwngne...
Nani waliandaa show hizo....?
Mkataba ulikuwaje?
Ukikataa mkataba nini matokeo yake?
Ukihoji unajua walichokuwa wanakifanya hao unaowatetea?
 
NOORAH Kitandani…..FIESTA Uwanjani!!

Japo muda kidogo umepita tangu utokee huu mkasa lakini sio mbaya tukikumbushana hii kitu. Jinale halisi ni Haji Nurah Ngarama almaarufu kama ‘Noorah’ au Baba Stylz.

Mwaka 2005 Noorah mwanachemba Squad alipata bahati ya kushiriki kwenye tamasha la Fiesta. Sasa akiwa katika hiyo Tour ya Fiesta alipata ajali mbaya sana,angalau kwa kipindi hicho ajali haikutangazwa sana kama kulivyotangazwa kufana kwa show hizo.

Noorah alipata ajali akiwa kazini. Baada ya kwenda hospital daktari akasema hatakiwi tena sio tu kufanya show bali hata kufanya kazi yoyote ngumu. Hapo ndipo mtihani kwa MwanaChemba huyu ulipoanzia.

Noorah akaona hapana, sasa ntaishije aisee? Akaamua kujivuta hadi muhimbili kwa uchunguzi zaidi ndipo ndipo ilipogundulika kuwa ajali ile imesababisha sehemu ya fuvu la kichwa chake kupata ufa.

Daktari wa hospitali ya Taifa Muhimbili akashauri kwamba sio tu kutofanya kazi ngumu bali mgonjwa huyo anatakiwa apumzike kabisa. Hakuwa na namna Noorah akapumzika na kuwa baba wa nyumbani.

Noorah akapumzika lakini show za Fiesta ziliendelea na zingalipo zinaendelea mpaka leo, kwao yaliyotokea kwa Noorah ni kama ajali kazini tu. Hapo kwenye ajali kazini ndipo hasa kwenye mzizi wa matatizo. Kwanini ajali kazini kwa wasanii hazina bima? Mikataba karibia yote ya wasanii haizungumzii wasanii watafidiwaje wakipata ajali ya kupelekea ulemavu/ugonjwa/kufariki wakiwa kazini. Mikataba mingi haitambui show kama nazo ni kazi iwe ya muda mfupi au mrefu. Kuburudisha kunachukuliwa juu juu tu.

Katika wimbo NSSF Mbeleni wimbo unaopatikana katika mixtape za Anti Virus, Mapacha walizungumzia hii kitu. Nini mustakabali wa msanii katika maisha yake ya baadae? Hii sio kwa Noorah tu bali wengi wanakutana na changamoto kama hizi wakiwa kwenye mikataba ya kazi.

Noorah alikaa nyumbani mpaka alipoona sasa inatosha,akaamka na kwenda shule pale IFM na baadae akarejea tena kwenye muziki ingawaje haikuwa kama zile zama akiwa katika ubora wake.
Na Iddy Mwanaharam
Wewe jamaa Muongo sana. Baba Stylz hakupata ajali kipindi cha fiesta. Ninachojua alipata ajali pale mbuyuni Oysterbay akiwa anatokea Bilicanas. Na sababu ya ajali yalikuwa mabishano yake na mpenzi wake. Mpenzi wake alikuwa anataka waende maisha club huku noorah akitaka waende nyumbani. Kilichotokea yule dada akaweka gear kwenye "P" galfa, gari walokuwa wanatumia ilikuwa auto. Wakapata ajali na akakimbizwa Muhimbili. Baada ya kuzinduka akawa anakumbuka wimbo mmoja tu wa Hawa Mademu Vipi. Akapewa mida wa kupumzika ili akili ikae sawa. Kipindi hicho alikuwa anakaa Makumbusho. Kutokana na kuumwa akahamia kule kwa Ali Maua jirani na akina Roy producer.

Kwanza umedanganya haikuwa Fiesta kipindi hicho bali ilikuwa inaitwa Straight Music Klimax full shangwe. Wadhamini waki wa sigara ya SM.

Noorah hakuwa kwenye orodha ya wasanii hata Mr Nice hakuwepo. Aliyekuwa kwenye orodha kwa upande wa bongo fleva ni Albert Mangwea ‘Cow Boy’, Joh Makini ‘Mwamba wa Kaskazini’, Mr.Blue ‘Kabaizer’ Prof Jizey na maswahiba wawili AY na Mwana FA.
 
sijasikiliza mtu nimeandika ukweli ninaoujua ambao ndio ukweli halisi na karibia asilimia 99.99 ya watu humu wameusapoti huo ukweli niliondika

asilimia 0.01 iliyobaki ni wewe
Nasiku zote ukweli unamaadui wengi kuliko rafiki....
Mmeitana tiny zenu zote mje kupotosha Lengo la Uzi huu....
HIVI KWANINI HAMKULISEMA HILI KABLA,
Nimeanzisha Uzi huu mmejaa kujifanya mnamjua Sandra sijui....
Alikuwa anasoma Kenya Mara ya kwanza umeandika. ...
Mara Uganda sijui.....
HaMtaki kusema ilikuwa show ya nini,wap na kwanini. ...
Mmeanza kumdharirisha alikuwa kalewa. ...katolosha mwanafunzi....
Namambo mengine ili Malik aendelee kuumia
 
NOORAH Kitandani…..FIESTA Uwanjani!!

Japo muda kidogo umepita tangu utokee huu mkasa lakini sio mbaya tukikumbushana hii kitu. Jinale halisi ni Haji Nurah Ngarama almaarufu kama ‘Noorah’ au Baba Stylz.

Mwaka 2005 Noorah mwanachemba Squad alipata bahati ya kushiriki kwenye tamasha la Fiesta. Sasa akiwa katika hiyo Tour ya Fiesta alipata ajali mbaya sana,angalau kwa kipindi hicho ajali haikutangazwa sana kama kulivyotangazwa kufana kwa show hizo.

Noorah alipata ajali akiwa kazini. Baada ya kwenda hospital daktari akasema hatakiwi tena sio tu kufanya show bali hata kufanya kazi yoyote ngumu. Hapo ndipo mtihani kwa MwanaChemba huyu ulipoanzia.

Noorah akaona hapana, sasa ntaishije aisee? Akaamua kujivuta hadi muhimbili kwa uchunguzi zaidi ndipo ndipo ilipogundulika kuwa ajali ile imesababisha sehemu ya fuvu la kichwa chake kupata ufa.

Daktari wa hospitali ya Taifa Muhimbili akashauri kwamba sio tu kutofanya kazi ngumu bali mgonjwa huyo anatakiwa apumzike kabisa. Hakuwa na namna Noorah akapumzika na kuwa baba wa nyumbani.

Noorah akapumzika lakini show za Fiesta ziliendelea na zingalipo zinaendelea mpaka leo, kwao yaliyotokea kwa Noorah ni kama ajali kazini tu. Hapo kwenye ajali kazini ndipo hasa kwenye mzizi wa matatizo. Kwanini ajali kazini kwa wasanii hazina bima? Mikataba karibia yote ya wasanii haizungumzii wasanii watafidiwaje wakipata ajali ya kupelekea ulemavu/ugonjwa/kufariki wakiwa kazini. Mikataba mingi haitambui show kama nazo ni kazi iwe ya muda mfupi au mrefu. Kuburudisha kunachukuliwa juu juu tu.

Katika wimbo NSSF Mbeleni wimbo unaopatikana katika mixtape za Anti Virus, Mapacha walizungumzia hii kitu. Nini mustakabali wa msanii katika maisha yake ya baadae? Hii sio kwa Noorah tu bali wengi wanakutana na changamoto kama hizi wakiwa kwenye mikataba ya kazi.

Noorah alikaa nyumbani mpaka alipoona sasa inatosha,akaamka na kwenda shule pale IFM na baadae akarejea tena kwenye muziki ingawaje haikuwa kama zile zama akiwa katika ubora wake.
Na Iddy Mwanaharam
Oy BabuTale niaje, umeadimika aisee nilikustua juzi pale Nangwanda ukanipotea
 
Wewe jamaa Muongo sana. Baba Stylz hakupata ajali kipindi cha fiesta. Ninachojua alipata ajali pale mbuyuni Oysterbay akiwa anatokea Bilicanas. Na sababu ya ajali yalikuwa mabishano yake na mpenzi wake. Mpenzi wake alikuwa anataka waende maisha club huku noorah akitaka waende nyumbani. Kilichotokea yule dada akaweka gear kwenye "P" galfa, gari walokuwa wanatumia ilikuwa auto. Wakapata ajali na akakimbizwa Muhimbili. Baada ya kuzinduka akawa anakumbuka wimbo mmoja tu wa Hawa Mademu Vipi. Akapewa mida wa kupumzika ili akili ikae sawa. Kipindi hicho alikuwa anakaa Makumbusho. Kutokana na kuumwa akahamia kule kwa Ali Maua jirani na akina Roy producer.

Kwanza umedanganya haikuwa Fiesta kipindi hicho bali ilikuwa inaitwa Straight Music Klimax full shangwe. Wadhamini waki wa sigara ya SM.

Noorah hakuwa kwenye orodha ya wasanii hata Mr Nice hakuwepo. Aliyekuwa kwenye orodha kwa upande wa bongo fleva ni Albert Mangwea ‘Cow Boy’, Joh Makini ‘Mwamba wa Kaskazini’, Mr.Blue ‘Kabaizer’ Prof Jizey na maswahiba wawili AY na Mwana FA.
Duu!!!!😨😨😨mnazidi kuitana....nyie watu....mmedhamiria
 
Back
Top Bottom