Tukumbuke kisa hiki cha msanii Noorah na Fiesta

Tukumbuke kisa hiki cha msanii Noorah na Fiesta

Nasiku zote ukweli unamaadui wengi kuliko rafiki....
Mmeitana tiny zenu zote mje kupotosha Lengo la Uzi huu....
HIVI KWANINI HAMKULISEMA HILI KABLA,
Nimeanzisha Uzi huu mmejaa kujifanya mnamjua Sandra sijui....
Alikuwa anasoma Kenya Mara ya kwanza umeandika. ...
Mara Uganda sijui.....
HaMtaki kusema ilikuwa show ya nini,wap na kwanini. ...
Mmeanza kumdharirisha alikuwa kalewa. ...katolosha mwanafunzi....
Namambo mengine ili Malik aendelee kuumia

hivi hata unaelewa unachokiandika mkuu?
 
Wewe jamaa Muongo sana. Baba Stylz hakupata ajali kipindi cha fiesta. Ninachojua alipata ajali pale mbuyuni Oysterbay akiwa anatokea Bilicanas. Na sababu ya ajali yalikuwa mabishano yake na mpenzi wake. Mpenzi wake alikuwa anataka waende maisha club huku noorah akitaka waende nyumbani. Kilichotokea yule dada akaweka gear kwenye "P" galfa, gari walokuwa wanatumia ilikuwa auto. Wakapata ajali na akakimbizwa Muhimbili. Baada ya kuzinduka akawa anakumbuka wimbo mmoja tu wa Hawa Mademu Vipi. Akapewa mida wa kupumzika ili akili ikae sawa. Kipindi hicho alikuwa anakaa Makumbusho. Kutokana na kuumwa akahamia kule kwa Ali Maua jirani na akina Roy producer.

Kwanza umedanganya haikuwa Fiesta kipindi hicho bali ilikuwa inaitwa Straight Music Klimax full shangwe. Wadhamini waki wa sigara ya SM.

Noorah hakuwa kwenye orodha ya wasanii hata Mr Nice hakuwepo. Aliyekuwa kwenye orodha kwa upande wa bongo fleva ni Albert Mangwea ‘Cow Boy’, Joh Makini ‘Mwamba wa Kaskazini’, Mr.Blue ‘Kabaizer’ Prof Jizey na maswahiba wawili AY na Mwana FA.

huu ndio ukweli nilioandika tangu jana na jamaa anabisha hadi leo

sandra alikuwa hataki kupelekwa kwao sababu kwao walikuwa wanajua yupo shule kenya kumbe yeye katoroka kaja kula bata bongo..

bora na nyie mnaoujua ukweli mnisaidie maana jamaa kakomaa tangu jana

wewe umesaidia sana maana umeandika hadi ni show gani alikuwa ametoka kufanya
 
Nimeanzisha Uzi huu mmejaa kujifanya mnamjua Sandra sijui....

Alikuwa anasoma Kenya Mara ya kwanza umeandika. ...

Mara Uganda sijui.....

HaMtaki kusema ilikuwa show ya nini,wap na kwanini. ...

Mmeanza kumdharirisha alikuwa kalewa. ...katolosha mwanafunzi....

Namambo mengine ili Malik aendelee kuumia
 
Nachojua jamaa alikuwa kazin.Nakazi Yake ilikuwa kutumbuiza Jukwaa la fiesta...
Mambo mengine usipotoshe umma...
Sasa ebu eleza,alipata ajali akiwa kazini au alishatoka kazini ?
kama alipata ajali akiwa jukwaani kweli libidi clouds wamlipe lakini kama alipata ajali akiwa nje ya jukwaa na nje ya show hapo hapati kitu
 
Nimeanzisha Uzi huu mmejaa kujifanya mnamjua Sandra sijui....

Alikuwa anasoma Kenya Mara ya kwanza umeandika. ...

Mara Uganda sijui.....

HaMtaki kusema ilikuwa show ya nini,wap na kwanini. ...

Mmeanza kumdharirisha alikuwa kalewa. ...katolosha mwanafunzi....

Namambo mengine ili Malik aendelee kuumia

Mbona unabisha sana ?

Ukileta mada kubali positive na negative comments
 
Negative zinataka zifunike kombe mwanaharamu apite

Mkuu labda wewe ndo uko sahihi, tukuombe basi utoe ufafanuzi jinsi ajali ilivyotokea ili tuweze kuiunganisha na Fiesta, maana umeandika general ndo maana umewapa watu nafasi ya kujazia mambo yao.
 
Ah ah Babu tale bana anajibu kama vile yupo instagram tatizo kubwa la wasafi mwenye akili na mastermind amebaki kusaga tu the don ..mliobaki mnajua fitna na vijembe tu ukasahau hii ni forum ya great thinker kama huamini jiulize kwanini sheria mbaya zote bungeni zinafumuliwa humu..kajipange
yani kweli wewe akili fupi [emoji23][emoji23][emoji23] unasapoti hyo msg ya juu na umeshindwa kuelewa kuwa inakupinga wewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

ngoja basi nikutafsirie alichomaanisha

amemaanisha kuwa kwasababu huyo fiesta mnataka kumuuwa kwahyo kika baya mnambambikia yeye ili hata mkifanikisha kumuuwa kuwe hakuna lawama

wewe jamaa uko na akili ndogo sana kama uongo unaolazimsha watu wauamini [emoji23][emoji23][emoji23]
Negative zinataka zifunike kombe mwanaharamu apite
 
Inamaana Unapingana na Muhusika...
Chanzo changu ni Muhusika wewe umehadithiwa...
MBONA hutaki kusema ilikuwa show ya nini?
Ilifanyika wap?
Msipende kuwa mawakala wa Shetani.....
Mkuu muhusika kakuhadithia alipata ajali katika mazingira gani??nini kilikuwa chanzo cha ajali??Alipata ajali akiwa na nani???naomba nijibu hayo maswali
 
Ah ah Babu tale bana anajibu kama vile yupo instagram tatizo kubwa la wasafi mwenye akili na mastermind amebaki kusaga tu the don ..mliobaki mnajua fitna na vijembe tu ukasahau hii ni forum ya great thinker kama huamini jiulize kwanini sheria mbaya zote bungeni zinafumuliwa humu..kajipange
jamaa alishindwa hata kuelewa kuwa alikuwa anasemwa yeye akahisi anasifiwa
 
Mkuu labda wewe ndo uko sahihi, tukuombe basi utoe ufafanuzi jinsi ajali ilivyotokea ili tuweze kuiunganisha na Fiesta, maana umeandika general ndo maana umewapa watu nafasi ya kujazia mambo yao.

noorah alipata ajali mbuyuni pale njia ya oysterbay akiwa na rav 4 sasa jiulize fiesta imeingiaje
 
Sasa ebu eleza,alipata ajali akiwa kazini au alishatoka kazini ?
kama alipata ajali akiwa jukwaani kweli libidi clouds wamlipe lakini kama alipata ajali akiwa nje ya jukwaa na nje ya show hapo hapati kitu
ajali alipatia mbuyuni akiwa na private car alafu oanisha na maneno ya mleta mada ni vitu viwili tofauti kabisa
 
Huyo jamaa babu tale bila shaka atakuwa ni wa kabila la waha tu,maana siyo kwa ubishi huo.
Ndg zangu wa kabila la waha naomba mnisamehe
 
noorah alipata ajali mbuyuni pale njia ya oysterbay akiwa na rav 4 sasa jiulize fiesta imeingiaje

Ndiyo maana tunamwomba jamaa aelezee tukio lilivyotokea, kwa sababu hata kama Fiesta ingekuwa wasanii wana bima bado utatakiwa kutoa maelezo ya tukio ili kuweza kufanya linkage ya ajali na bima husika.
 
Ah ah Babu tale bana anajibu kama vile yupo instagram tatizo kubwa la wasafi mwenye akili na mastermind amebaki kusaga tu the don ..mliobaki mnajua fitna na vijembe tu ukasahau hii ni forum ya great thinker kama huamini jiulize kwanini sheria mbaya zote bungeni zinafumuliwa humu..kajipange
Mpuuzi ashaleta Wasafi huku.....
Nakwafukra zenu mtaendelea kutumika ila mwisho mtamwagwa.....
Oneni aibu kutumika kufumba ukweli uliowazi ....
SIKU yakiwasibu sijui nini mtajibu
 
SIKUMBUKI KAMA AJALI YA NOORAH ILIKUWA NA UHUSIANO NA FIESTA

NOORAH hakupata ajali akiwa kazini alipata ajali akiwa na demu wake (sandra)

nakumbuka gari ilikuwa rav 4 huyo demu wa noorah alikuwa anasoma Kenya na alikuja tanzania bila kwao kujua

lengo lilikuwa kumuona bwana ake akiperfom sasa baada ya noorah kumaliza show yake wakawa wanarudi wote wamelewa na wako speed ulitokea ubishani

maana noorah alikuwa anataka kumrudisha yule demu kwao(oysterbay) na yule demu hataki kurudi kwao maana nyumban kwao walikuwa wanajua yupo shule Kenya

katika mabishano huku gari ikiwa speed yule demu aliisukuma gear kwenye parking

kama ujuavyo gari za zaman hazikuwa na sensor za kutema gear ya packin gari inapokuwa speed kali basi ilifanya tairi zote nne kufunga ghafla na gari ilibingirita mara nane (mbuyuni oysterbay)

noorah hakufunga mkanda alitupwa nje ya gari na akapata ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu alikuwa anamkumbuka huyo demu tu...

na siyo kwamba alijipeleka hospital noorah alitoka eneo la ajali akiwa hajitambui kabisa alikuja kupata fahamu akiwa hospital

alikaa sana muhimbili hadi alipokuja kupona na kuendelea na mziki pamoja na masomo (IFM)

hawa jamaa fiesta wana mapungufu yao ila sometimes mnazidisha kuwaonea
Exactly
 
Back
Top Bottom