Tukumbuke kisa hiki cha msanii Noorah na Fiesta


ulishajibiwa na huyu hapa unataka ujibiwe nini tena
 
ajali alipatia mbuyuni akiwa na private car alafu oanisha na maneno ya mleta mada ni vitu viwili tofauti kabisa
Yaani umeona comment imetaja mbuyuni kesho utasema ulikuwepo eneo la tukio...Halafu Fanya utafiti ...usipende kutumika ndugu yangu.
 
Mkuu vipi mahusiano yΓ oa baada ya ajali ? Waliachana au
 
Oyaaaa muacheni babu Tale mazee
 
Yaani umeona comment imetaja mbuyuni kesho utasema ulikuwepo eneo la tukio...Halafu Fanya utafiti ...usipende kutumika ndugu yangu.
mimi na wewe nani anatumika πŸ˜‚πŸ˜‚

wewe umecopy habari fake kutoka kwa mamluki wenzako umekuja kupaste hapa

ila ukasahau kufuta pale mwisho palipoandikwa na iddy mwanaharamu maana inaonekana huyo ndio aliandika hii habari
 
Reactions: amu
Hata Kitu ni K ,Hata Kiwanda ni K πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€.
 
mimi na wewe nani anatumika πŸ˜‚πŸ˜‚

wewe umecopy habari fake kutoka kwa mamluki wenzako umekuja kupaste hapa

ila ukasahau kufuta pale mwisho palipoandikwa na iddy mwanaharamu maana inaonekana huyo ndio aliandika hii habari
Yaaap.....Iddy Mwanaharam jina la mwandishi....muda wote ulikuwa hujajua kaandika nan?
 
Yaaap.....Iddy Mwanaharam jina la mwandishi....muda wote ulikuwa hujajua kaandika nan?
Mkuu mbona unaruka hili swali naona hutaki kabisa kulijibu..mengine unayaona but ukifika kwenye hili swali hulioni....wadau wanaomba uwaeleze ajali ilitokea katika mazingira yapi??Nini kilikuwa chanzo cha ajali na wakati ajali inatokea nani na nani walikwepo kwenye hiyo gari iliyopata ajali...mkuu ukijibu ilo swali tunafunga uzi sasa hivi
 
hawezi kujibu hilo swali katika yale maelezo yangu page no1 nimeandika kila kitu jinsi ajali ilivyotokea na watu waliokuwepo yeye anabisha tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…