Huyu jamaa ni kilaza wakutupwa kwaza magufuli wake mpaka anafariki sidhani kama hilo bwawa limaliza tilioni hata mojaWewe utakuwa mgonjwa wa akili kabisa!
Yaani miradi yote iliyotajwa izidiwe na Bwawa la Nyerere? You are kidding!
By any standard,kwenye public infrastructure,hakuna raisi wakumzidi Kikwete. Kikwete alijenga miundombinu mingi mno zikiwemo zaidi ya kilomita 14,000 za lami.
Huo mradi wa Bwawa la Nyerere unaweza kulingana na barabara za lami kilomita 1,500 tu!
km 15000 ni tilioni 1.5 mzee uko serious kweli weww?Wewe ndio mgonjwa wa akili...as we speak Tanzania ina km 12k za tarmac road(source Tanroads)...izo 14k alijenga hewani?
km awamu zote zimejenga 12k, yy amejenga 14k, hao maraisi wengine walijenga km ngapi?
lets say hawakujenga kabisa, izo 2k za ziada zimepotelea wapi?
Ulivyo kilaza hujui ht km 1Km ya Lami ina cost how much na lile bwawa limetu cost how much.
Kifupi 1km of a tarmac road ni 1B so izo 1500k zitacost 1.5T while lile bwana litatucost 6T.
Now tafta thamani ya hio miradi iliyo orodheshwa hapo juu do the add uone km inafika 6T.
JF is a home of Great thinkers not vilaza km ww, rudi fb huku umepotea...[emoji1787][emoji1787]
Acha porojo wewe, ilikuwa imekwama kwa kukosa pesa85% Ni kazi ya JK. Hiyo 15% hata Babu Tale yule Mbunge popoma angeweza kumalizia tu. Haikuwa big deal
Wewe ndio mgonjwa wa akili...as we speak Tanzania ina km 12k za tarmac road(source Tanroads)...izo 14k alijenga hewani?
km awamu zote zimejenga 12k, yy amejenga 14k, hao maraisi wengine walijenga km ngapi?
lets say hawakujenga kabisa, izo 2k za ziada zimepotelea wapi?
Ulivyo kilaza hujui ht km 1Km ya Lami ina cost how much na lile bwawa limetu cost how much.
Kifupi 1km of a tarmac road ni 1B so izo 1500k zitacost 1.5T while lile bwana litatucost 6T.
Now tafta thamani ya hio miradi iliyo orodheshwa hapo juu do the add uone km inafika 6T.
JF is a home of Great thinkers not vilaza km ww, rudi fb huku umepotea...[emoji1787][emoji1787]
Tofauti yangu mimi na ww una watu unao wajua...mimi nimesoma 2006-2009 na nlipata 80%. Na hii ni baada ya kuandamana na kufukuzwa udsm mara mbili, wakafanya marekebisho kutoka 60% to 80%. B4 maandamano wote tulipewa 60% flat rate. Bado nalikumbuka sana hili kunji. Live Long wote tuliondamana enzi izo, we made a difference.Naona kama umesema kinyumenyume. Hiyo mikopo enzi za JK ilikuwa 100% bila chenga wala longolongo. Tena kuna naewajua walikuwa hadi na Div 3 huko wakapata asilimia 100. Sjui unaizungumzia dunia gani. To be honest, linapokuja suala la miundombinu JK amefanya kazi ya kipekee. Wengine msingekuja mjini kama si miundombinu aliyojenga. Yes, alikuwa na mapungufu yake lakini hakuna Rais aliyejenga zaidi yake tangu uhuru. Huo mkopo jiridhishe vizuri kwanza.
Kwani point yako nn hasa?Tofauti yangu mimi na ww una watu unao wajua...mimi nimesoma 2006-2009 na nlipata 80%. Na hii ni baada ya kuandamana na kifukuzwa udsm mara mbili, wakafanya marekebisho kutoka 60% to 80%.
Typo...post ya jamaa nliemjibu ilikua 1500km equivalent to 1.5T or 1500Billioni.km 15000 ni tilioni 1.5 mzee uko serious kweli weww?
JK ndio alievunja utaratibu wa 100% ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu chini ya usimamizi wa Profesa Magembe.Kwani point yako nn hasa?
Acha kudhani waziri wa Nishati aliliambia bunge mkandarasi ameshalipwa 2T.Huyu jamaa ni kilaza wakutupwa kwaza magufuli wake mpaka anafariki sidhani kama hilo bwawa limaliza tilioni hata moja
Sawa. though mimi sikuon shda yoyote katika mikopo kwa miaka hoyo.JK ndio alievunja utaratibu wa 100% ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu chini ya usimamizi wa Profesa Magembe.
Kikwete alifanikisha Kushamiri kwa biashara ya madawa ya kulevya yaliyoathiri kizazi Kizima cha nguvu kazi ya waTanzania!
Alinajisi utaratibu wa nchi kupata katiba mpya baada ya matumizi makubwa ya fedha za walipa kodi.
Aliingiza rushwa katika nchi kwa kuwaingiza wafanyabiashara kwenye siasa za chama tawala.
Na ujambazi,watu walikuwa wanalazimishwa kujfungia ndani saa 1,kisa panya road wanafanya operationKikwete alifanikisha Kushamiri kwa biashara ya madawa ya kulevya yaliyoathiri kizazi Kizima cha nguvu kazi ya waTanzania!
Alinajisi utaratibu wa nchi kupata katiba mpya baada ya matumizi makubwa ya fedha za walipa kodi.
Aliingiza rushwa katika nchi kwa kuwaingiza wafanyabiashara kwenye siasa za chama tawala.
Nonsense😎mradi ulikuwa umeshabuma,bila JPM kuingilia kati mpaka leo ungekuwa haujamalizika.Umesahau mambo gani aliyakuta pale baada ya kutembelea ule mradi upipokuwa umesimama?85% Ni kazi ya JK. Hiyo 15% hata Babu Tale yule Mbunge popoma angeweza kumalizia tu. Haikuwa big deal
Umesahahu hata kwa JK wapinzani waliwahi kusema,kama nchi imeweza kuongozwa na JK hata mwendawazimu angeweza kuiongoza?Kwa uwezo mdogo na vituko vya Hayati Magufuli,kama aliweza kuwa raisi wa nchi hii,hivi kuna mtu wa kushindwa kuwa raisi katika nchi hii?