TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
- Thread starter
-
- #201
Hall 1 tower pale ni city centerMkuu mimi nilikaa hall 4 na 6 kwa miaka mitatu, yaani hall 4 ni hadhi ya masaki na obey, hall 6 ni hadhi ya upanga au mbezi beach, hall 5, 2 ni hadhi ya tandika, yombo na buza na hall one at least kama manzese na migo migo hivi
Umehitimu mwaka gani?Me ilikuwa daily ...
Boom, boy friend kibopa na mzazi alikuwa ananipatia za kutosha. Hata salary haijawah kufikia ile amount
Khaaaaa real bro?Napendaga wanawake wanene wenye kitambi
YesKhaaaaa real bro?
Yaani unapenda wenye matumbo makubwa laini na yanayotetemeka si ndio?Y
Yes
Wee bishoo utakuwa wa kule UDBS yaani mpk uhame cafteria sisi RB tulikuwa tunanunua sahani mbili unazipga zote kwa pamoja cafteria ya pale coet huwa mabishoo hawatimbi[emoji23][emoji23]
NdioYaani unapenda wenye matumbo makubwa laini na yanayotetemeka si ndio?
Hahah hongera bhana mkuu
AsanteeHahah hongera bhana mkuu
Tutake radhi tulioanzia hall5...ila hall 5 kuchaf jaman...ile lift inanukia panya panya..inakwamaga na watu ndanMkuu mimi nilikaa hall 4 na 6 kwa miaka mitatu, yaani hall 4 ni hadhi ya masaki na obey, hall 6 ni hadhi ya upanga au mbezi beach, hall 5, 2 ni hadhi ya tandika, yombo na buza na hall one at least kama manzese na migo migo hivi
[emoji23][emoji23][emoji23]H
Hall 1 tower pale ni city center
Pale palikuwa ni changanyikeni mara moja moja weekend nilikuwa ninakwenda kwa mshikaji wangu siku nikipata hamu ya kupiga cha arusha.Tutake radhi tulioanzia hall5...ila hall 5 kuchaf jaman...ile lift inanukia panya panya..inakwamaga na watu ndan
Mimi nilikuwa ninakaa na wazungu Hall 4Pale palikuwa ni changanyikeni mara moja moja weekend nilikuwa ninakwenda kwa mshikaji wangu siku nikipata hamu ya kupiga cha arusha.
[emoji3516]Tuliosoma MUCE tunaweza kushikiri huu uzi ?