Kurunzi Mtaani
Member
- Aug 19, 2021
- 11
- 10
Aisee pole sana.Walinila kichwa ase, jamaa hawafai shule ilikuwa inahitaji userious balaa yani. Nlikula E na D za kutosha semester fulani nikapata GPA 1.3 Discontinued.
😂😂😂Reg No. ...../T.96
polee sanaAisee pole sana.
Vipi safari ya kusaka elimu uliendelea nayo au ulighairi
Hivi kweli Luhanga alikuwa mjivuni sana??Enzi hizo Makamu Mkuu wa Chuo ni Mathew Luhanga! Taaluma yuko Prof. Mayunga Nkunya, Fedha Prof. Yunus Mgaya!!
Hakika Udsm ilikua ni 🔥🔥🔥! Dk mbili tu, KUNJI!!! 😁😁😁 Revolution Square!!!
Huyu pimbi nilimpigia A' ya maana. Nilipata story kwamba Test zake ukipata A' basi ndio alama za UE. Nikakomaa na test.Prof. Kadeghe na somo lake la CL106 communication skills, mpaka wazungu lugha ya kwao lakini walikuwa wanashikwa
Sisi ndio kaka zenu tuliopambana mpaka boom likafika hiyo buku 5 mtushukuru sana😂😂we nae bumu lilikuwa elf 5,kipndi hiyo watu wanataka kuandamana Hadi ikulu na nakumbuka alikuja kawambwa alikuwa waziri wa elimu kipndi hicho
Nilikata tamaa nikuwa napenda nifanye biashara. Ila Mungu mwema kumbe kuna sehemu ilikuwa nafit vilivyo, ase niliitumia vizuri nafasi. Hatimaye nikapata Degree iliyonijenga zaidi. Shule ni raha sana.Aisee pole sana.
Vipi safari ya kusaka elimu uliendelea nayo au ulighairi
Hongera sanaNilikata tamaa nikuwa napenda nifanye biashara. Ila Mungu mwema kumbe kuna sehemu ilikuwa nafit vilivyo, ase niliitumia vizuri nafasi. Hatimaye nikapata Degree iliyonijenga zaidi. Shule ni raha sana.
Kuna mwita mwingine alikuwa na upara hivi alikuwa engineering kule alikuwa president wa Daruso achana na huyu mbunge jina limenitoka. Janki flani mtaratiibu.Hiki ndicho kipindi ambacho na mimi nilipita udsm! Boom 2500! Rais wa Daruso akiwa ni Mwita Mwikabwe (Mwita Waitara MB)!!
Kwa mara ya kwanza niliishi kwenye nyumba ya ghorofa na yenye madirisha ya aluminium pale Mabibo Hostel!!
Odoooooooooooong
Ni kweli jamaa alikuwa na nyota ya kupendwa lakini pia mshindani wake aliyewekwa alikuwa dhaifu na alipata ufadhili wa chama cha majambazi. Sasa hii iliwaongezea watu monkari wa kumpa Odong kura. Kipindi hiki mlimani ilikuwa sifa sana kujitambulisha kama mwanaharakati na aibu kubwa kujihusisha na serikali kwa namna yoyote ile.
Shida kubwa ya huyu ndugu Odong aliupenda sana uraisi wa DARUSO. Na kwa sababu hiyo vijana wa system wakamdanganya kwamba ili aungwe mkono na serikali achukue kadi ya UVCCM. Baada ya kumpa tu, usiku wakamvamia na kesho yake akawa deported! Wana tulipopewa taarifa kwamba jamaa alikamatwa na kadi ya UVCCM hakuna aliyeangaika naye. Hata hivyo serikali iliyochaguliwa haikudumu, ilipinduliwa na wazee wa DARUSO board wakaongoza kwa mwaka mzima. Ni furaha yangu kwamba tuliwatendea haki wanamapinduzi na familia ya wanafunzi wa Udsm kwa ujumla.
Hapo ikungi ndio marryland?Naishukuru UD sasa kwa elimu niliyopata pale sasa hivi nipo maryland U.S nakula maisha
Duuuh, ilikuwa nona sana!!Haabari wadau..!
Maisha ya UDSM enzi hizo yalikuwa powa sana sijajua kwa sasa.
Tuanzie wapi ,ngoja tuanze na Boom enzi hizo lilikuwa 4000/= kwa siku ila tulivyoingia chuo ikabidi tufanye mgomo Boom liongezwe watoto wa mama hawataelewa.
Maandamano yalianzia Revo Square sijuhi kama watoto wa leo wanaijua Revo Square watu wakatolewa lecture room wajoin movement watoto wa mama wakakimbia ila watoto wa mbwa tukaingia mtaani tulivyofika Mlimani City mabomu yalipigwa kama yote vile tukapoteana.
Kipindi hicho kuna wale wajamaa ndio wakuu wa vyuo wanajiita Tripple M yaani Mkandala,Mgaya na Maboko.
Mgomo ulipoisha chuo kizima tulirudishwa nyumbani kwa mda usiojulikana,baada ya kurudishwa tena sisi waanzilishi wa mgomo tukafukuzwa ila mm nikafanya harakati sikufukuzwa.
Mwaka wa kwanza nilipata room mabibo hostel pale maisha yalikuwa powa sana wale wa mwaka wa pili na kuendelea tukawa tunawabeba yaani kitanda chembamba mnalala wawili kana mpo lupango vile ,usiombe umbebe mtu mrefu.
Mwaka wa pili inabidi huwai chuo kabla akijafunguliwa ukatafute mtu wa kukubeba (kushare naye kitanda).
Ukiwa mwaka wa kwanza ni ngumu sana kupata demu wengi wanadharau mwaka wa kwanza,ila mwaka wa pili ndio mwaka wa kupata demu inabidi uliwahi konteana jipya (first year),asikwambie mtu hapa watoto wa mwaka wa kwanza wanamegeka kiurahini sana .
Boom likiingia safari za mlimani City ,Survey ,Ambiace n.k ila boom likikata tunaanza kupiga pasi ndefu kama hatuna akili nzuri hata lectures hazipandi kipindi hiki mademu wasio na msimamo wanaanza kujiuza ili wapate pesa za kujikimu,yaani kama una demu anaweza kukusaliti boom likikata.
Kipindi cha boom likikata wahuni tunaanza kugonga RB (Rice Beens) wali maharage ambao bei yake ilikuwa 600/=Boom likikata watu wanaanza kusifia wali mahatagr wa Cafe 1 na Coet ndio mtamu.Wazee wa bibo wanapiga tu shato pori mwendo wa kutembea kwa mguu toka main campus aibu washikaji wakikuona wanajua umefua.
Kuishi mabibo ni mateso hakukuwa na Kijazi Flyover foleni mtindo mmoja usishangae kutoka bibo mpk campus ukamaliza masaa zaidi ya matatu ubungo mataa.kukosa lecture au kuchelewa test kawaida kisa foleni ya ubungo mataa.
Gervas Mkili RIP dude.
Hapo ikungi ndio marryland?
Ww utakuwa mzee wa BAED😂😂😂UDSM STAND UP BIBO MEMBER SINCE 2010-2013 kuna mengi sana ya kukumbuka hii era