Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
- Thread starter
-
- #101
upo sahihi kabisa. zile filamu zilizorekodiwa huko bukoba kwakweli zilikuwa za kutamausha sana km ulivosema apo. walisema kuna kijiji kinakaribiana na uganda huko ndo hali ilikuwa mbaya zaidi unakuta nyumba kabaki mbibi tu amezika wanawe wote. nyumba zingine hakuna aliyebaki ni magofu tu. nyumba zingine unakuta wazazi wote wameshafariki wameacha watoto wanajilea wenyewe.Bk. huko watu walikufa Kijiji kizima. Yaani Kila siku wanazikwa watu watatu, wanne kwenye Kijiji kimoja kama vile kuku na kideri.
Sasa hivi wanaimiza kutumia mipira,,kuwa na mpenzi mmoja,sio kuacha zinaa!!!!,,washauri nasahaa na watu wengine wa ajabu kweli kweli,, mhimu kuacha zinaa baasi,ndo ushauri bora sana.ni kweli kabisa wakati huo elimu ililenga zaidi kuwaogopesha watu kuepuka kupata maambukizi. saivi mambo yamebadilika sana.
Ilikua stigma ya hali ya juu sana.- Hizi ARV zimeanza kutolewa kwenye mwaka 2003 au 2004 hapa wenye kumbukumbu sahihi mtanirekebisha. kabla ya hapo hapakuwa na dawa za kufubaza.
- Ugonjwa huu uliogopesha sana kiasi ambacho jamii haikuwa tayari kuuzungumzia. kimya kikuu kilitanda bila shaka kila mmoja akiomba kwa mola wake amuepushe na kikombe.
- Elimu kwa jamii zilitolewa zikichagizwa na picha za kilichokuwa kinaendelea mkoa wa kagera. kwa mujibu wa taswira zìle huko kagera ugonjwa ulimaliza watu wengi na wengine hata nyumba zilifungwa hakuna aliyebaki. nyumba zingine nyingi zilibaki zikiendeshwa na watoto mayatima baada ya wazazi wote kufariki.
- Kimya kingi kilitanda huku ugonjwa ukiendelea kutafuna watu kimyakimya.
- Kwenye hatua za mwanzoni wagonjwa wengi walikuwa wakionekana kupata mkanda wa jeshi yani miaka hiyo kama wewe una mkanda wa jeshi tu basi ilikuwa ni uthibitisho tosha tayari una tatizo hilo.
- Ukiona jirani yako flani haonekani hapo mtaani hiyo ilikuwa ni ishara tosha kuwa kama jirani uyo hajasafiri basi tayari uenda mambo yameshaharibika.
- Ugonjwa ulikuwa haufichiki. Ukiwa nao utajulikana tu apo kitaani kwenu. maana mwanzoni utajifungia ndani kwako lakini bdae lazma utoe ukahemee au kupata matibabu nk. ukitoka tu habari zako zinaanza kusambaa kama moto wa nyika.
- Ili kuepuka macho na vidole vya walimwengu familia nyingi ziliwapeleka mahospitali wapendwa wao mapema alfajiri sana au hata usiku.
- Familia nyingi zilikuwa zinaepuka kuwapima wagonjwa wao maana unampimaje mtu wakati unajua ugonjwa wenyewe hauna dawa. hivyo basi familia nyingi ziliishia kuuguza tu wagonjwa wao kimyakimya hadi wagonjwa anapokutana na mwisho wake.
- Wagonjwa wengi waliisha sana miili yao. hata kama ulikuwa kibonge kama pipa mwili wote utaisha kabisa unabaki kichwa ngozi na mifupa mitupu tu. ilikuwa sio ajabu kukuta mtu mwenye mwili mkubwa kama wale mabaunsa kaisha mwili wote kiasi hata usiweze kumtambua.
- Ilikuwa kawaida tu mtu mzima kabisa mwenye mwili uliojengeka vema akamalizwa na kubaki makongoro tu kiasi ambacho akilala kitandani hlf wewe ukapita apo usimuone au kujua kama pale kitandani kuna mtu amelala. najua kuna wanaozani natania lakini iyo ndio hali ilivyokuwa wakati huo.
- Watoto wengi waliozaliwa na maambukizi hawakuweza kuishi wengi walifariki baada ya muda mfupi na wachache kwa kudra za mwenyezi waliweza kuishi na wengine wako hai hata leo hii.
Hapa tunakumbushana tu hatutishani ukimwi upo tujilinde.
***Tafadhali msiuunge uzi huu tuna vijana damu changa wengi humu wanapaswa kupata ufahamu wa kule tulikotoka.
wanasema wanatumia ABC modelSasa hivi wanaimiza kutumia mipira,,kuwa na mpenzi mmoja,sio kuacha zinaa!!!!,,washauri nasahaa na watu wengine wa ajabu kweli kweli,, mhimu kuacha zinaa baasi,ndo ushauri bora sana.
ni kweli mkuu makete ilikuwa balaa jingine kuliliza watu sana adi media za kimataifa zilihamia uko. hali ilikuwa tete sana.Kulikuwa na documentary ya huko Makete aiseee; mitaa mitupu kabisa watu wamekufa ,mayatima ni wengi sana ...Ilipekelea umaskini mkubwa sana miaka hiyo.
Kuna mtaalam anaitwa TC msingwa wa ifakara anasema anaweza kusupress viral load za HIV to non detectable- Hizi ARV zimeanza kutolewa kwenye mwaka 2003 au 2004 hapa wenye kumbukumbu sahihi mtanirekebisha. kabla ya hapo hapakuwa na dawa za kufubaza.
- Ugonjwa huu uliogopesha sana kiasi ambacho jamii haikuwa tayari kuuzungumzia. kimya kikuu kilitanda bila shaka kila mmoja akiomba kwa mola wake amuepushe na kikombe.
- Elimu kwa jamii zilitolewa zikichagizwa na picha za kilichokuwa kinaendelea mkoa wa kagera. kwa mujibu wa taswira zìle huko kagera ugonjwa ulimaliza watu wengi na wengine hata nyumba zilifungwa hakuna aliyebaki. nyumba zingine nyingi zilibaki zikiendeshwa na watoto mayatima baada ya wazazi wote kufariki.
- Kimya kingi kilitanda huku ugonjwa ukiendelea kutafuna watu kimyakimya.
- Kwenye hatua za mwanzoni wagonjwa wengi walikuwa wakionekana kupata mkanda wa jeshi yani miaka hiyo kama wewe una mkanda wa jeshi tu basi ilikuwa ni uthibitisho tosha tayari una tatizo hilo.
- Ukiona jirani yako flani haonekani hapo mtaani hiyo ilikuwa ni ishara tosha kuwa kama jirani uyo hajasafiri basi tayari uenda mambo yameshaharibika.
- Ugonjwa ulikuwa haufichiki. Ukiwa nao utajulikana tu apo kitaani kwenu. maana mwanzoni utajifungia ndani kwako lakini bdae lazma utoe ukahemee au kupata matibabu nk. ukitoka tu habari zako zinaanza kusambaa kama moto wa nyika.
- Ili kuepuka macho na vidole vya walimwengu familia nyingi ziliwapeleka mahospitali wapendwa wao mapema alfajiri sana au hata usiku.
- Familia nyingi zilikuwa zinaepuka kuwapima wagonjwa wao maana unampimaje mtu wakati unajua ugonjwa wenyewe hauna dawa. hivyo basi familia nyingi ziliishia kuuguza tu wagonjwa wao kimyakimya hadi wagonjwa anapokutana na mwisho wake.
- Wagonjwa wengi waliisha sana miili yao. hata kama ulikuwa kibonge kama pipa mwili wote utaisha kabisa unabaki kichwa ngozi na mifupa mitupu tu. ilikuwa sio ajabu kukuta mtu mwenye mwili mkubwa kama wale mabaunsa kaisha mwili wote kiasi hata usiweze kumtambua.
- Ilikuwa kawaida tu mtu mzima kabisa mwenye mwili uliojengeka vema akamalizwa na kubaki makongoro tu kiasi ambacho akilala kitandani hlf wewe ukapita apo usimuone au kujua kama pale kitandani kuna mtu amelala. najua kuna wanaozani natania lakini iyo ndio hali ilivyokuwa wakati huo.
- Watoto wengi waliozaliwa na maambukizi hawakuweza kuishi wengi walifariki baada ya muda mfupi na wachache kwa kudra za mwenyezi waliweza kuishi na wengine wako hai hata leo hii.
Hapa tunakumbushana tu hatutishani ukimwi upo tujilinde.
***Tafadhali msiuunge uzi huu tuna vijana damu changa wengi humu wanapaswa kupata ufahamu wa kule tulikotoka.
ripPumzika kwa amani dada yangu ulifariki ukiwa mdogo sana 2003 hiyo nakumbuka ulivyoteseka nilikuwa mdogo ila sijasahau. Dada angu ulienda ukiwa na miaka 24 tu.
hii kitu sio ya kuombea aisee itakuwa balaa kubwa sana. kama ikitokea basi itatuchukua muda sana adi kukaa sawa kama nchiARV zimefanya baadhi ya watu waone ukimwi ni kama mafua, zikianza kuwa adimu hakika watu wataumia
Itacost sana maisha ya watuhii kitu sio ya kuombea aisee itakuwa balaa kubwa sana. kama ikitokea basi itatuchukua muda sana adi kukaa sawa kama nchi
Tafuta ile documentary , nyumbani tulikuwa na mkanda wake wa VHS....Kuna nyimbo pia iliimbwa kipind kile ....Walikuwa na imani kila anayekufa amerogwa .Lamomy anasemea hii hii makete yetu ya mapembelo vavene!?,njoo ushuhudie hapa
Duuuh basi wazee wa zamani mpo humu,, wengine wakati huo tuna 3 yrs tu hatuelewi kitu,,kushukuru tulizaliwa wazima.Tafuta ile documentary , nyumbani tulikuwa na mkanda wake wa VHS....Kuna nyimbo pia iliimbwa kipind kile ....Walikuwa na imani kila anayekufa amerogwa .
Kionjo '' mama alikufa eeh , wakasema amerogwa ''
Kiitikio ''njooni mtufungulieni , tunahitaji upendo kwa pamoja ''
Haahaa mkuu Deception na theory zake. kitambo sana hajaonekana humu.Kuna mtu miaka ya nyuma alikuwa anajiita deception humu, natamani sana atokee nyakati hizi ambapo hofu imetanda kuhusu kukosekana kwa ARVs
uyu philly bongole lutaya (rip) alikuwa star mkubwa wa muziki uko uganda. yani ni kama ivi alivyo diamond platinumz leo hii kwa apa bongo. sasa ilitokea nayey alijikuta kapata maambukizi ilikuwa simanzi kuu. akapiga moyo konde na kujiweka wazi hali yake ya maambukizi. akawa anaelimisha jamii kwa nyimbo zake kuhusu hiv. akapiga muziki adi afya ilipozorota akaaga dunia.Mashujaa kama Philly Lutaya wa Uganda wangejua kama zama hizi Kuna kizazi kingekuja kusema kuwa UKIMWI ni jambo feki, wangefanya zaidi kuliko walivyofanya
Hizi sentensi ndio huwa zinafanya watanzania tuonekane kama specie tofauti kabisa na watu wengine na kama nyani vile ambao wanaendelea kudevelop kuelekea kuwa binadamu kamili!Aya marazi niyakutengenezwa pia kunasiri nyingi najalibu kufikilia kama ugonjwa alipatikana kagera kwa mtu mmoja ulienea vip? Maan ilikua rahisi kuzibiti kupitia uyo mgonjwa? nawaza mbali zaid miaka ya 70 miundo mbinu haikua rafiki kusababisha muingiliano wawatu wengi, je ilikua vip ugonjwa kufika dar au mtwara? na vip kuhusu watu wa vijijini?
Hao wagonjwa walikondeshwa na kifua kikuu, typhoid, na wakikufa Kwa nimonia,shida ya Figo,vidonda vya tumbo kiufupi walinyanyapaliwa badala ya kutibiwa ,Kwa sasa ni ngumu kumkuta mtu kakonda hivyo Kwa sababu matibabu anapata- Hizi ARV zimeanza kutolewa kwenye mwaka 2003 au 2004 hapa wenye kumbukumbu sahihi mtanirekebisha. kabla ya hapo hapakuwa na dawa za kufubaza.
- Ugonjwa huu uliogopesha sana kiasi ambacho jamii haikuwa tayari kuuzungumzia. kimya kikuu kilitanda bila shaka kila mmoja akiomba kwa mola wake amuepushe na kikombe.
- Elimu kwa jamii zilitolewa zikichagizwa na picha za kilichokuwa kinaendelea mkoa wa kagera. kwa mujibu wa taswira zìle huko kagera ugonjwa ulimaliza watu wengi na wengine hata nyumba zilifungwa hakuna aliyebaki. nyumba zingine nyingi zilibaki zikiendeshwa na watoto mayatima baada ya wazazi wote kufariki.
- Kimya kingi kilitanda huku ugonjwa ukiendelea kutafuna watu kimyakimya.
- Kwenye hatua za mwanzoni wagonjwa wengi walikuwa wakionekana kupata mkanda wa jeshi yani miaka hiyo kama wewe una mkanda wa jeshi tu basi ilikuwa ni uthibitisho tosha tayari una tatizo hilo.
- Ukiona jirani yako flani haonekani hapo mtaani hiyo ilikuwa ni ishara tosha kuwa kama jirani uyo hajasafiri basi tayari uenda mambo yameshaharibika.
- Ugonjwa ulikuwa haufichiki. Ukiwa nao utajulikana tu apo kitaani kwenu. maana mwanzoni utajifungia ndani kwako lakini bdae lazma utoe ukahemee au kupata matibabu nk. ukitoka tu habari zako zinaanza kusambaa kama moto wa nyika.
- Ili kuepuka macho na vidole vya walimwengu familia nyingi ziliwapeleka mahospitali wapendwa wao mapema alfajiri sana au hata usiku.
- Familia nyingi zilikuwa zinaepuka kuwapima wagonjwa wao maana unampimaje mtu wakati unajua ugonjwa wenyewe hauna dawa. hivyo basi familia nyingi ziliishia kuuguza tu wagonjwa wao kimyakimya hadi wagonjwa anapokutana na mwisho wake.
- Wagonjwa wengi waliisha sana miili yao. hata kama ulikuwa kibonge kama pipa mwili wote utaisha kabisa unabaki kichwa ngozi na mifupa mitupu tu. ilikuwa sio ajabu kukuta mtu mwenye mwili mkubwa kama wale mabaunsa kaisha mwili wote kiasi hata usiweze kumtambua.
- Ilikuwa kawaida tu mtu mzima kabisa mwenye mwili uliojengeka vema akamalizwa na kubaki makongoro tu kiasi ambacho akilala kitandani hlf wewe ukapita apo usimuone au kujua kama pale kitandani kuna mtu amelala. najua kuna wanaozani natania lakini iyo ndio hali ilivyokuwa wakati huo.
- Watoto wengi waliozaliwa na maambukizi hawakuweza kuishi wengi walifariki baada ya muda mfupi na wachache kwa kudra za mwenyezi waliweza kuishi na wengine wako hai hata leo hii.
Hapa tunakumbushana tu hatutishani ukimwi upo tujilinde.
***Tafadhali msiuunge uzi huu tuna vijana damu changa wengi humu wanapaswa kupata ufahamu wa kule tulikotoka.
Pole sana aseh!!,lkn hali hiyo imewatokea wengi,kufiwa wapendwa wao,just imagine katika familia mko kumi,nane wanakufa mnabaki wawili tu,ilikuwa hatari.Pumzika kwa amani dada yangu ulifariki ukiwa mdogo sana 2003 hiyo nakumbuka ulivyoteseka nilikuwa mdogo ila sijasahau. Dada angu ulienda ukiwa na miaka 24 tu.