Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
- Thread starter
- #181
kuacha ngono kwa mtu mweusi iyo SIO RAHISI sema labda kuchukua tahadhari kama kutumia kondomu n.kTukiacha zinaa tutaliepuka hili janga hakika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuacha ngono kwa mtu mweusi iyo SIO RAHISI sema labda kuchukua tahadhari kama kutumia kondomu n.kTukiacha zinaa tutaliepuka hili janga hakika.
Hivi umeelewa nilichokiandika?Tukiacha zinaa tutaliepuka hili janga hakika.
ukweli usemwe (kwa nia ya kujenga) kwa nchi zetu izi ao hawafiki hata 1%, trust me, 99%+ ni ngono zembe.Kuna waliopata wakihudumia wagonjwa na wengine katika ajali pia.
HaahaaaStarehe Gharama,,Vya Bure Vinaponza
makampuni kufungwa kunaweza kutokea kama tu hakuna uhitaji au uhitaji ushuke sana kiasi cha makampuni hayo kushindwa gharama za uzalishajiKwani ARV haziuzwi?
Makampuni yanatengenezwa hizo dawa hayatafungwa
Ilikua balaaaa...yani nilikua naogopa japo mdogo...watu walikua wanakongoroka unaambiwa yule anaumwa ukimwi..uki imajini unagopa sanaakaribu kutia neno mkuu.
Kama HIV ni mchongo ni sababu ipi iliyofanya watu wakonde sana na kufariki kipindi hicho ugonjwa unaingia mkoani kagera ilihali watu hawaujui ugonjwa wenyewe?Upumbavu na ujinga wa watanzania, huo ukimwi mnaoupa airtime haujawai kuwa na madhara mnayoaminisha watu.
Shida kubwa iliyowatesa wengi ni hofu na magonjwa ya kawaida ambayo vilaza na wapuuzi waliaminisha jamii ndio hilo gonjwa la mchongo ndilo linamaliza watu.
Hata hivyo bado watanzania wasomi na wasio wasomi ni vilaza, haiwezekani taifa linazalisha maelfu ya matabibu kila mwaka lkn hakuna solution lolote miaka na miaka.
Ukimwi ni mchongo kama COVID ilivyokuwa mchongo, kilichoua watu ni malaria, TB na magonjwa mengine huo ukimwi hauna madhara na hauhusiki na vifo vyovyote, hili wenye akili timamu tu ndio watanielewa, sio watumwa wa akili.
Ukimwi ni pigo la akili+saikolojia
Mimi nipo kigamboni nielekezwe huko na mimi nikazichakate mkuuNadhani ni zaidi ya 3some maana walikuwa wengi wamekodi nyumba huko kigamboni
Poleni sana ila alianza mapemaPumzika kwa amani dada yangu ulifariki ukiwa mdogo sana 2003 hiyo nakumbuka ulivyoteseka nilikuwa mdogo ila sijasahau. Dada angu ulienda ukiwa na miaka 24 tu.
Kuna uzi humu wa Mwanyamala utafutenasikia yule mwamba aliyeigiza kwenye jeneza naye akishakufa kwa ngoma
Unatakiwa ulipe 76k ndo upewe dawa za mwezinavoona kama hawa jamaa wataacha kutupatia pesa tutachangia matibabu, sasa apo ndo mtihani sana kwa familia hoehae, kuzingatia dawa kutashuka na maambukizi mapya yatapaa.
wahusika wameshatoa tamko leo, dawa zitaendelea kutolewa bila malipo yoyoteUnatakiwa ulipe 76k ndo upewe dawa za mwezi
Tulionewahusika wameshatoa tamko leo, dawa zitaendelea kutolewa bila malipo yoyote