Cham Bee
JF-Expert Member
- Feb 10, 2015
- 3,516
- 1,854
1986 tulichana London look alafu unaitupia shanga za plastic juu
Shikamo mamdogo.[emoji849]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1986 tulichana London look alafu unaitupia shanga za plastic juu
Hapa si unaweza ukawa unachat/kubishana/kujibizana vibaya na mama, aunt, bibi, babu, baba zetu maana kama huyu Sky Eclat anaongelea 85!!!! ngoja niishie hapo.
Hahahahaha hii redio mpaka leo ipo nyumbani kwetu baba anaitunza..View attachment 532877
familia nzima tulikaa kusikiliza kwaya ya kkkt unjilisti vijana ya Arusha mjini siku nzima
Dah...Mwaka 1985 wakati wa transition of power kutoka kwa Rais Nyerere kwenda kwa Rais Mwinyi, wengi hasa wazee wakiwaza Tanzania bila Nyerere inawezekana?
Tulianza kuona plastic shoes madukani, enzi zile ziliitwa Yondo Sister, saa za battery ziliingia, khanga za Mombasa zikauzwa madukani si tena kwa mchoro mchoro.
Ninakumbuka yellow fashion, ualikwe kwenye party umepiga yellow shoes kichwani una yellow hair band kama Madonna kila mvulana anataka kucheza na wewe.
Unakumbuka nini?
Wema wako, ucheshi , upole na Upendo wakoUnakumbuka nini?
Mkuu heshima yako. Nami nakumbuka baada ya viatu vya Bora, tuliletewa viatu vya Bruce Lee na soncha (utanikoma saa sita) vyote vikiitwa ahsante Salim. Baadae zikaingia raba DH(dada hakija) na nyota. Kwa machekibobu kulikuwa na kiatu cha plastic (Joseph) kikiwa na mfumo wa moka. Tulitumia mafuta ya shanti ambayo ukipakaa kichwani nywele zina badilika rangi na unakuwa rafiki mkubwa wa nzi. Baadae ndio ujio wa suruali za Micheal Jackson, Zico, raba mtoni, mashati ya Juliana, n.k.Mwaka 1985 wakati wa transition of power kutoka kwa Rais Nyerere kwenda kwa Rais Mwinyi, wengi hasa wazee wakiwaza Tanzania bila Nyerere inawezekana?
Tulianza kuona plastic shoes madukani, enzi zile ziliitwa Yondo Sister, saa za battery ziliingia, khanga za Mombasa zikauzwa madukani si tena kwa mchoro mchoro.
Ninakumbuka yellow fashion, ualikwe kwenye party umepiga yellow shoes kichwani una yellow hair band kama Madonna kila mvulana anataka kucheza na wewe.
Unakumbuka nini?
Dah Mbowe hotels hivi jamaa amegoma kufufua Bills sehemu nyingine ? Nshafanya maasi kule kwenye masofa Mungu anisamehe tu.