Tukumbushane tulikotoka

Tukumbushane tulikotoka

Mwaka 1985 wakati wa transition of power kutoka kwa Rais Nyerere kwenda kwa Rais Mwinyi, wengi hasa wazee wakiwaza Tanzania bila Nyerere inawezekana?

Tulianza kuona plastic shoes madukani, enzi zile ziliitwa Yondo Sister, saa za battery ziliingia, khanga za Mombasa zikauzwa madukani si tena kwa mchoro mchoro.

Ninakumbuka yellow fashion, ualikwe kwenye party umepiga yellow shoes kichwani una yellow hair band kama Madonna kila mvulana anataka kucheza na wewe.

Unakumbuka nini?
zilipendwa.jpg
 

Attachments

  • zilipendwa.jpg
    zilipendwa.jpg
    53.7 KB · Views: 38
  • zilipendwa.jpg
    zilipendwa.jpg
    53.7 KB · Views: 30
  • zilipendwa.jpg
    zilipendwa.jpg
    53.7 KB · Views: 25
umenikumbusha kwenda sinema kuangalia picha za kihindi na kuimba uongo kama wao daah enzi zile

unavaa chacha na soksi unakwenda shule
huku umepaka mafuta ya shanti kutoka Kenya yanachafuaje ukivaa sketi nyeupe
huku umebeba kidumu chako na fagio unawahi namba shule
siku hizi hakuna mchakamchaka wala kuwahi namba
 
umenikumbusha kwenda sinema kuangalia picha za kihindi na kuimba uongo kama wao daah enzi zile

unavaa chacha na soksi unakwenda shule
huku umepaka mafuta ya shanti kutoka Kenya yanachafuaje ukivaa sketi nyeupe
huku umebeba kidumu chako na fagio unawahi namba shule
siku hizi hakuna mchakamchaka wala kuwahi namba
Sisi boarding tulikuwa watoto wa Dar tulijulikana kwa nyodo lakini enzi za mchacho tulikuwa wanyonge ukipata pafu la shanti asubuhi unapiga
 
Kuna viatu vyeus vya plastic tulikuwa tunaita saa 7 utanikoma saa 8 utanivua.
Then soks za pundamilia
Mwisho saa sita...saa nane utanikoma [emoji38] [emoji38]
 
  • Thanks
Reactions: SDG
umenikumbusha kwenda sinema kuangalia picha za kihindi na kuimba uongo kama wao daah enzi zile

unavaa chacha na soksi unakwenda shule
huku umepaka mafuta ya shanti kutoka Kenya yanachafuaje ukivaa sketi nyeupe
huku umebeba kidumu chako na fagio unawahi namba shule
siku hizi hakuna mchakamchaka wala kuwahi namba
[emoji23] [emoji23] umenikumbusha yale mafuta ukivaa siku mbili sketi nyeusii
 
Mwaka 1985 wakati wa transition of power kutoka kwa Rais Nyerere kwenda kwa Rais Mwinyi, wengi hasa wazee wakiwaza Tanzania bila Nyerere inawezekana?

Tulianza kuona plastic shoes madukani, enzi zile ziliitwa Yondo Sister, saa za battery ziliingia, khanga za Mombasa zikauzwa madukani si tena kwa mchoro mchoro.

Ninakumbuka yellow fashion, ualikwe kwenye party umepiga yellow shoes kichwani una yellow hair band kama Madonna kila mvulana anataka kucheza na wewe.

Unakumbuka nini?
Tumetoka mbaliiiiii kha!
 
Back
Top Bottom