Tukumbushane: Ulishawahi kuanzisha vagi au kuanzishiwa vagi Mtaani?

Tukumbushane: Ulishawahi kuanzisha vagi au kuanzishiwa vagi Mtaani?

Miaka hiyo nipo mkoani tulikuwa tunasifika sana Kwa vagi...tulijiita Red Star Camp...

Tuliuvaa mkenge siku moja Kwa Jamaa wabebs vyuma.
Mwanzo tuliwayembezea waya sana.walivyoona tumewashinda wakaongeza nguvu kwakiwaita Jamaa zao wengine.

Ebwanaee tulipigika mpaka tukapiteana kila mtu na kona yake.

Banat mbaya me nikaingia chakike ebanaee cjawahi chezea kichapo takatifu ndani ya muda mfupi kama kile....mungu you mwema,nilipata kaupenyo kadogo nilichomoka kama mshale wa Masai amwindae simba Kwa shaft la kupewa mke!!

Nilikoma.
Pole mzee
 
Mimi nataka uwe wale madogo waliochukua buku halafu mimi yule mwingine
Ha ha ha kwa kujipa pasi za mwisho mwenyewe sikuwez aisee unataka akuonee huruma enhee?
 
Ha ha ha kwa kujipa pasi za mwisho mwenyewe sikuwez aisee unataka akuonee huruma enhee?
Hahaha
Mimi mzee wa counter inatoka kwa Boateng hadi kwa muller

vyenga vyenu nyie Barcelona
 
Hahaha
Mimi mzee wa counter inatoka kwa Boateng hadi kwa muller

vyenga vyenu nyie Barcelona
Ha ha ha ha hapa unacheza Total Footbal mzee pasi moja moja unagusa ukishtuka kunyavuuuuuuuuuuuuuu
 
Dah... Enzi hizo nikiwa mpiga ngeta mitaa ya mwananyamala ...kuna siku tulimuotea mjeda tukampukutisha kila kitu ...kesho yake wakatuwekea mtego masela wengine wakasepa wakaniacha pekee.... Walinidunda siku 4 mfululizo ....[emoji13] [emoji13]

Sent from my chips yai using JamiiForums Mobile App
 
Dah... Enzi hizo nikiwa mpiga ngeta mitaa ya mwananyamala ...kuna siku tulimuotea mjeda tukampukutisha kila kitu ...kesho yake wakatuwekea mtego masela wengine wakasepa wakaniacha pekee.... Walinidunda siku 4 mfululizo ....[emoji13] [emoji13]

Sent from my chips yai using JamiiForums Mobile App
Haukufa
 
Dah... Walijua washanipoteza...nilikuwa nawasikia vizuri tu.. Wakanitupa Kawe kwenye mikoko[emoji41] [emoji12] [emoji13]

Sent from my chips yai using JamiiForums Mobile App
 
Dah... Walijua washanipoteza... Wakanitupa Kawe kwenye mikoko[emoji41] [emoji12] [emoji13]

Sent from my chips yai using JamiiForums Mobile App
Hao jamaa sio watu wazuri wamefundisha kutoa uhai kama ibilisi
 
Hahahaha
Umenikumbusha nilipoanzishiwa vagi pale Blue bird hotel Sinza, kisa walihisi niko na mume wake ndani (mwanamke alikuja na shoga zake)
Huku na huku meneja akaja, mlango ukafunguliwa, tupsi likaingia, kuangalia sio mume wao.
Wakaomba radhi, wakasepa.....
Baada ya wiki 2 nikakutana na yule dada MK bar Kinondoni (aliyekuja Sinza kumtafuta mumewe chumbani kwetu) nilimuanzishia vagi, mpaka nikalala Oysterbay maana yule bwana alinimwaga kwa kujua eti ile varangati nilipanga mimi na yule mwanamke ili kumchomoa pesa.
hahahahahahah nimecheka kwa nguvu hadi wasungu wananishangaaa
 
Mechi ilikufa, pesa sikupewa na kuachwa nikaachwa.
Ndio maaana nilitambaa nae tu pale MK.

Mwanamke hajui hata nyendo za mmewe...huyo boya tu.
Madame B hakuna siku umenichekesha kama leo, yaan inabidi umsaidie tu shigongo maana historia yako iko makini.
 
Miaka hiyo nipo mkoani tulikuwa tunasifika sana Kwa vagi...tulijiita Red Star Camp...

Tuliuvaa mkenge siku moja Kwa Jamaa wabebs vyuma.
Mwanzo tuliwatembezea waya sana.walivyoona tumewashinda wakaongeza nguvu kwakiwaita Jamaa zao wengine.

Ebwanaee tulipigika mpaka tukapoteana kila mtu na kona yake.

Banat mbaya me nikaingia chakike ebanaee cjawahi chezea kichapo takatifu ndani ya muda mfupi kama kile....mungu you mwema,nilipata kaupenyo kadogo nilichomoka kama mshale wa Masai amwindae simba Kwa shaft la kupewa mke!!

Nilikoma.
eti sharti la kupewa mke, jaman jaman
 
Back
Top Bottom