Kuna siku nilikuw nimeenda club bn..
Nikatumia bapa za kutosha mpk akili akiwa sio yangu tena. Pembeni angu kulikuw na mrembo , kama kawaida yetu nikamfata bana. Kumbe alikuw na jamaa ake
Yule jamaa ake akanikazia kidg, nikaona isiwe tabu bn nikamtia kitasa
Kumbe jamaa alikue na kundi lake kam la watu 12 iv. Wakanivamia, nahic nilikula scale kubwa zaid ambayo cjawahi kuipata tangu nianze vurugu mpk nikakata moto.
Nimekuja kustuka saa 10 alfajir nipo mtaroni tena mvua ndo ilikuw imeanza kunyesha.
Siku ile siwezi kuisahau mimi
Sent using
Jamii Forums mobile app