Pole mzeeMiaka hiyo nipo mkoani tulikuwa tunasifika sana Kwa vagi...tulijiita Red Star Camp...
Tuliuvaa mkenge siku moja Kwa Jamaa wabebs vyuma.
Mwanzo tuliwayembezea waya sana.walivyoona tumewashinda wakaongeza nguvu kwakiwaita Jamaa zao wengine.
Ebwanaee tulipigika mpaka tukapiteana kila mtu na kona yake.
Banat mbaya me nikaingia chakike ebanaee cjawahi chezea kichapo takatifu ndani ya muda mfupi kama kile....mungu you mwema,nilipata kaupenyo kadogo nilichomoka kama mshale wa Masai amwindae simba Kwa shaft la kupewa mke!!
Nilikoma.
Aaaaah mkuu na ww muongo sasa yaani mm naona nimeandika kawaida tu...
Ahsante mkuuPole mzee
Ha ha ha kwa kujipa pasi za mwisho mwenyewe sikuwez aisee unataka akuonee huruma enhee?Mimi nataka uwe wale madogo waliochukua buku halafu mimi yule mwingine
Ha ha ha ha hapa unacheza Total Footbal mzee pasi moja moja unagusa ukishtuka kunyavuuuuuuuuuuuuuuHahaha
Mimi mzee wa counter inatoka kwa Boateng hadi kwa muller
vyenga vyenu nyie Barcelona
Ujana maji ya moto Daby[emoji23][emoji23] eti disco likafungwaaa
Daah ni kwere aseeh chali wa kwetuJose hao machalii aseeh walinishushia kirampasi sijawahi ona chalii angu
HaukufaDah... Enzi hizo nikiwa mpiga ngeta mitaa ya mwananyamala ...kuna siku tulimuotea mjeda tukampukutisha kila kitu ...kesho yake wakatuwekea mtego masela wengine wakasepa wakaniacha pekee.... Walinidunda siku 4 mfululizo ....[emoji13] [emoji13]
Sent from my chips yai using JamiiForums Mobile App
Dah... Walijua washanipoteza...nilikuwa nawasikia vizuri tu.. Wakanitupa Kawe kwenye mikoko[emoji41] [emoji12] [emoji13]Haukufa
hahahahahahah nimecheka kwa nguvu hadi wasungu wananishangaaaHahahaha
Umenikumbusha nilipoanzishiwa vagi pale Blue bird hotel Sinza, kisa walihisi niko na mume wake ndani (mwanamke alikuja na shoga zake)
Huku na huku meneja akaja, mlango ukafunguliwa, tupsi likaingia, kuangalia sio mume wao.
Wakaomba radhi, wakasepa.....
Baada ya wiki 2 nikakutana na yule dada MK bar Kinondoni (aliyekuja Sinza kumtafuta mumewe chumbani kwetu) nilimuanzishia vagi, mpaka nikalala Oysterbay maana yule bwana alinimwaga kwa kujua eti ile varangati nilipanga mimi na yule mwanamke ili kumchomoa pesa.
Madame B hakuna siku umenichekesha kama leo, yaan inabidi umsaidie tu shigongo maana historia yako iko makini.Mechi ilikufa, pesa sikupewa na kuachwa nikaachwa.
Ndio maaana nilitambaa nae tu pale MK.
Mwanamke hajui hata nyendo za mmewe...huyo boya tu.
Kwa hiyo we ulikua kaogaNa haka kamwili kangu kila siku walikua wananidunda
Sio Kaoga nilikua na kamwil kadogo wakawa wananitia makwenzi miksa vichapo everytimeKwa hiyo we ulikua kaoga
eti sharti la kupewa mke, jaman jamanMiaka hiyo nipo mkoani tulikuwa tunasifika sana Kwa vagi...tulijiita Red Star Camp...
Tuliuvaa mkenge siku moja Kwa Jamaa wabebs vyuma.
Mwanzo tuliwatembezea waya sana.walivyoona tumewashinda wakaongeza nguvu kwakiwaita Jamaa zao wengine.
Ebwanaee tulipigika mpaka tukapoteana kila mtu na kona yake.
Banat mbaya me nikaingia chakike ebanaee cjawahi chezea kichapo takatifu ndani ya muda mfupi kama kile....mungu you mwema,nilipata kaupenyo kadogo nilichomoka kama mshale wa Masai amwindae simba Kwa shaft la kupewa mke!!
Nilikoma.