Tukumbushane: Ulishawahi kuanzisha vagi au kuanzishiwa vagi Mtaani?

Umenikumbusha kulikua na binti ni mwembamba huyo ,yaan kati ya wote darasani ndio niliona mnyonge wangu nikijisikia tu namchokoza aisee
Ha ha ha ha ha kisa na wewe una wababe wako basi unatafuta wa kumuonea ila wenye maumbo madogo tunanyayasika sana
 
Ha ha ha ha ha kisa na wewe una wababe wako basi unatafuta wa kumuonea ila wenye maumbo madogo tunanyayasika sana
Yaan unajua hata ugomvi haunogi maanla ugomvi hata haunogii
Yaan ilikua ikitokea tunapigana,mi namfata huyo huyo ahhaahha
 
Yaan unajua hata ugomvi haunogi maanla ugomvi hata haunogii
Yaan ilikua ikitokea tunapigana,mi namfata huyo huyo ahhaahha
Ha ha ha ha una tabia mbaya sana kumnyanyasa mwenzio dah
 
Yaan nikikumbuka mpaka roho inauma jomoniii
sababu nikimfata mwingine ntadundwa
Ha ha ha ha kwahyo na wewe kumbe una story yako ya kudundwa enhee? Kamfate tena sa hv uone utakavyochezea
 
je na wewe alikutigo?
 
Pole....ulikuwa ni muoga sana jamani.
Kwahiyo kama huyo rafiki yako hayupo, unabondwa au!!
Pole sana.
Mie yaani sikubali kabisa.

Nakumbuka wakati nasoma Mtwara girls, kipindi tuko form 2, tulienda Mtwara tech kucheza mechi, mwisho wa siku tukafungwa.....weeee, lilianzishwa vagi, mie na kundi letu ndo vinara, piga sana form one, yaani ilikuwa mtiti.

Kufika shule, ikapigwa rollcall, mie na kundi langu la kaole tukatolewa mbele kula bakora.
Nahisi kuanzia pale ndio nikawa nunda.
Ilikuwa niko radhi nisafiri mpaka Litingi kushuhudia vagi.
Dah!!!
 
Halafu virampasi vyako vya sehemu za vilaji... wewe muumini mwenzetu tena dhehebu moja
Hahahha
Kumbe ndo machimbo yako pia, bila kusahau La Chaaz
Hapa nilipo najiandaa niende raha ya bia uianzie ukiiona.
 
Sasa hivi nna mdomo huo nnaongea wewee,nna mkwara balaa
Ha ha ha ha ndio mbinu yako mpya ya kujificha from kichapo maana kuna watu wanaongea mpka unajishtukia kumuanzsihia vagi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…