Tukumbushane vipindi vya ITV, CTN, na DTV 1994

Mwenye msaada wa kuzipata series za The Passion kina timmy,miguel, tabitha anisaidie
 
La mujer de mivida.na pia kulikua na kitu cha chuck noris walker Texas ranger kila ijumaa si mchezo ,mieleka ya akina nick freno,mysterious,chriss benat na chriss Jericho bila kumsahau sting aliekua anataka unga usoni kila jumapili ilikua nzuri sana
Wakina WCW na NWO.
Wakina Scott Hall, Machomeni, Kevin Nash, Hulk Hogan,
Mieleka ya CTN baadae ITV wakaanza kuonyesha mieleka pia
 
Dahhhhh umenikumbusha mbali mno
 

Dtv nimekumbuka movie ya MAGAYVER, jamaa alikuwa mwanasayansi balaaa, alafu kupigana ye hajui! Ni mapicha Picha tu!
 
Tamthilia zilioneshwa nyingi pamoja na the bold and the beatfull, nilikuwa napenda ctn wikiend action movies, ila kuna siku sitoisahau tulikaa familia na majirani tukiangalia picha ya Van Damme, ghafla wakaanza kugegedana da niliona noma. Watangazi walivuma ni wengi Akina Rukia Mtingwa, Vick Msina, John Ngayoma alikuwa anachapia sana akisoma habari, tamasha la michezo, habari na matukio aisee its a long time
 
ITV DAIMA kulikua na tamthilia kama THE BEASTS...ROBOCOP.... THE BOLD AND THE BEAUTIFUL...PASSION....TAUSI (Sugu,baraza.,mzee kasri....siti binti kasri... Nk. ) Vitimbwi vya kina Mzee Ojwang na Mama Kayayiiii.... Watoto wetu ya Eddy Sultan..... Tangazo la Revola aliloigiza Miriam Odemba.... Tangazo la Guiness Michael Power ...... African Soccer Show ijumaa usiku..... Katuni SAA kumi jioni ( Popeye and Son, wale mapacha against the shadow, nk. )
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…