Tukumbushane vipindi vya ITV, CTN, na DTV 1994

Unakumbukumbu sn mkuu
 
Hii CTN tunaijua sisi wa Dar 2,mikoani utamu huu hawakupata ladha kitambo kabla ya clouds,azam TV wala star TV.
Kweli historia ikipita haijirudii kama ilivyokuwa awali kiuhalisia.
 
Kama movie gani mkuu
 
I wish warudie nyakati hizoooo daaaah
 
Umenikumbusha enzi hizo CNN wanatuletea live ya World War I kutoka katika viwanja tofauti tofauti accros Europe. Kuna mtangazaji momoja nimemsahau, mwaweza kunikumbusha.

Mniombee.
CTN au CNN mkuu?
 
Neighbor, everybody need good neighbor........ Halafu kulikuwa na mziki wa kibongo unasumbua enzi hizo sijui nani kapiga. Kukurukakala zako wewe zitakuponza acha we acha we, kukurukakala zako wewe zitakuponza brother sister.
Hii neighbor huna kakionjo kake?
 
ITV nakumbuka vipi vya MUZIKI kama vile, music kasi kasi, Rappem, Jam adelic, Rhymix, muziki muziki etc... Watangazaji Sunday Shomari, Monica Mfumia etc...
 
jumong...naikumbuka xna hii tamthilia ikikuwa inarushwa ITV nilikuwa silali kabixa mpka nione nadhani walikuwa wanaonesha j4/j5 na alhmas..ta eso ..maro .jumong mwenyewe na ssuhinho daaaah dada alikuwa mzuri aiseee...nilimpendagaa
 
CTN kulikuwa na kipindi cha hip hop kikiongozwa na Rahma Aziz ilikuwa balaa. Hiyo tisa kumi WcW Monday Nitro! Aisee NWO walikuwa wanaiumiza sana roho yangu ila kiboko yao alikuwa sting!! DTV wakati ule yaani EPL live ilikuwa kitu cha kawaida tuu mpaka walipokuja wezi DSTV. ITV tamasha LA michezo, mambo hayo ya sumbi na bocha ilibamba sana. DTV tangazo LA world link, Mussa Telecommunications. Mzee King Majuto na marehemu Mwanachia na kistuli na hotel yao ya aljawaz kariakoo
 
Kasongo hour pale DTV.vilevile walikuwa wanaonyesha ligi ya uingereza bureee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…