Tukumbushane vipindi vya ITV, CTN, na DTV 1994

Tukumbushane vipindi vya ITV, CTN, na DTV 1994

Ingia youtube andika the passions full episode 1

Itakuja episode ya kwanza na ukiifungua automatically itakuja na ya pili kama next to watch, ukiifungua ya 2 ya tatu itakuwa next to watch, hivyohvyo, YouTube ipo full pia unaweza angalia kama season, unaandika passions season 1,then ukimaliza unaandika passions season 2 na kuendelea

You are the fire burning inside of me, you are my passions for life
Bila kusahau sunset beach
 
Ephraim kibonde habari za michezo CTN, mzee majuto marehem mwanachia DTV, waridi, Aisha, sumbi, bocha, bishanga, the robocop, urban angel, uefa itv, epl dtv,
 
Kit
Wana jamvi leo nimeona japo turevew miaka hii ya nyuma vipindi vya television enzi zile 1994 kuibukia miaka ya 2000. Binafsi nakumbuka mbali sana hasa vipindi vya television ITV mfano Egoli place of Gold, 21 jump Street, Time trax, movie ya V, Rino Renz, vichekesho Kama Fresh Prince of bell air, family matters, Living Single ya Queen Latifa, Tausi ya mjuba, Vitimbi(masakuu, Ojwang' Othrong'ong'o) Vioja Mahakamani, Mambo hayo ya kina Waridi, Sumbi, bocha na Aisha. Pia kulikuwa na Tamthiliya kama The young and the restless, Sun seat beach, na Acapulco bay.

Aidha nakumbuka tulikuwa tunaangalia UEFA kupitia CFI(Canal France International). Matangazo nakumbuka kama Revola, komoa, lotion ya Jambo, hebu vingine mnisaidie CTN na DTV. Je kipindi kile watangazaji unawakumbuka? Wa ITV, CTN, na DTV. Mimi kwa itv namkumbuka Suzan Mongi nilimpenda sana sana. Karibuni tuflash back jamani.
Kiti moto: Pascal Mayala.
 
Nawakumbuka watangazaji kama kina Misanya Bingi,Sunday Simba Shomari na John Delinga Marklow wakihudumu ITV na Radio one,bila kumsahau Othman Njaidi.
 
Vipindi vya music nilikuwa navutiwa navyo. Enzi za Cool James, Kwanza Unit, Diplomats. Nje walikuwepo The New Radicals, Everton Blender, Los Del Rio na C+C Music Factory, "one hit wonders" kama Mr. Vain, Boom shack a lack, Tom's diner, Scatman na nyingine nyingi tu . Kipindi kile nilikuwa na ndoto ya kuja kuwa msanii pia.
Tanzania ilionyesha kuwa inakwenda na mda pia. Atleast ngoma za Sikinde na za aina hiyo tuliwaachia wazee, wajomba na shangazi zetu. Rap, RnB na reggae dancehall ziliwavutiwa vijana na watoto sana.
Sanaaaa mkuu umenukumbusha mbali sanaa kwanza unit, N2P, Wanock nock, New Radicals daaah kitambo snaa
 
Back
Top Bottom