Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ITV mkuuMkuu saa moja kituo gani
Daaaah mkuu jamaa kapiga hatua PhD? Yupo mbali kielimu, yaani hata Mimi tangazo la Revola naliwaza sijui nitalipata wapi yaani nimejaribu kulisaka YouTube bila mafanikio may be ITV wenyewe wanaweza kuwa naloNI lecturer udsm jamaa ana PHD saizi alafu mkuu kama unatangazo lile la revola liweke basi hap lilikua linanikosha sana
Mhenga mwenzanguu hahah afu kulikuwa na cartoon network dtv au CTN kama cjakosea na pia kulikuwa na taarifa ya habari na michezo alikuwa anatangaza Efraim Kibonde wa jahazi clouds, ila nikitambo SanaMzee small, tupatupa, bi chau.
Kingine ninachokumbuka haswa ni tangazo la sabuni ya Kodry, jamaa alikuwa anaenda kuosha ugoko wa mguu bombani na sabuni yake ya Kodry.
Kulikuwa na tangazo la magari aina ya Musso.
Aisee kumbe na mimi ni muhenga eee.
Kipindi hicho mwaka 1994 nilikuwa kila nikiangalia taarifa ya habari ITV nilikuwa naona habari za wakimbizi wa Rwanda tuu. Nikawa namuuliza mdigi, Baba hawa watu kila siku wanaoneshwa wanatembea tuu hawafiki huko wanakoendaa..??
DTV nilikuwa naipena picha ya Mr T, na ITV walikuwa na movie series ya Renegade staring akiwa Lorenzo Lamas kama sijakosea, huku Kukiwa na movie series nyingine ya Michael night, humu gari ilikuwa inatumwa kama binadamu. Hahaaah.
Alikua anaitwa kilonzoMfungua geti aliitwa mponda daah siku hazigandi
Hahaha umenikumbusha sana akina mzee small, bi chai, tupatupaMzee small, tupatupa, bi chau.
Kingine ninachokumbuka haswa ni tangazo la sabuni ya Kodry, jamaa alikuwa anaenda kuosha ugoko wa mguu bombani na sabuni yake ya Kodry.
Kulikuwa na tangazo la magari aina ya Musso.
Aisee kumbe na mimi ni muhenga eee.
Kipindi hicho mwaka 1994 nilikuwa kila nikiangalia taarifa ya habari ITV nilikuwa naona habari za wakimbizi wa Rwanda tuu. Nikawa namuuliza mdigi, Baba hawa watu kila siku wanaoneshwa wanatembea tuu hawafiki huko wanakoendaa..??
DTV nilikuwa naipena picha ya Mr T, na ITV walikuwa na movie series ya Renegade staring akiwa Lorenzo Lamas kama sijakosea, huku Kukiwa na movie series nyingine ya Michael night, humu gari ilikuwa inatumwa kama binadamu. Hahaaah.
Hv ctn ilikufia wapi aisee nilikua mpenzi sana tom and jerryNimekumbuka Cheka na CTN
hawa jamaa kuna siku waliweka katuni kuanzia asubui mpaka jioni siku iyo sikutoka nje ni kula katuni kwa kwenda mbeleHv ctn ilikufia wapi aisee nilikua mpenzi sana tom and jerry
Ile tamthilia imewaharibu sana Bongo Movie hadi kesho! Kwavile kwenye geti la mmoja wa wale Characters (sijui kwa akina Mjuba vile, ckumbuki) kulikuwa na mlinzi chizi chizi basi hadi kesho walinzi wa magetini kwenye Bongo Movies ni machizi chizi...Tausiii ndege wanguu!!ndege wangu wa fahari!
Nakumbuka siti binti Kasri alivyokuja dar kwao pale kwa manjunji M/mala watu tulivunja ukuta kwenda kumshangaa...!!
Asante mleta Uzi!