Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Ok mkuuMkuu super nyamwela invested wisely baada ya kupata mafao yake kwenye muziki alipo kua dancer.
Jamaa kafanya kazi na magwiji wa muziki kutoka Kongo kuanzia Pepe Kalle, Defao, Kanda bongo man, awilo longomba etc.
Na kwa kufanya kazi na wakongwe hao ndiko alikopatia utajiri wake.