Ibada ya kwanza
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 3,282
- 1,810
squeezer huyuhuyu anapiga show za bukumbili mbili namtumboDataz na squizer baba yao alikua tajiri balaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
squeezer huyuhuyu anapiga show za bukumbili mbili namtumboDataz na squizer baba yao alikua tajiri balaa
Jux na huyo bonge la nyau toka lini wakawa wakishuaWakuu habari zenu leo nataka tuambiane wasanii ambao kwao mkwanja upo, ambao hawafanyi mziki kwa sababu ya njaa ila wanafanya kutokana na kujijua kuwa wanavipaji
Naanza na hawa
1. Future Jnl
2.Brown mauzo
3.Bonge la nyau
4.Bob junior
5.Jux vuiton
Unaweza kuongezea wengine unaowajua ww.....
Hao wote hawana ushua wowote wazazi wao hawana chochote,huyo jux hakuna chochote kila siku unaskia mara anajenga ghorofa mara mtoto wa kishua kumbe kawaida tu,mama ni mstaafu anakaa kimara maisha yakawaida tuWakuu habari zenu leo nataka tuambiane wasanii ambao kwao mkwanja upo, ambao hawafanyi mziki kwa sababu ya njaa ila wanafanya kutokana na kujijua kuwa wanavipaji
Naanza na hawa
1. Future Jnl
2.Brown mauzo
3.Bonge la nyau
4.Bob junior
5.Jux vuiton
Unaweza kuongezea wengine unaowajua ww.....
Huyu nakubaliana na wewe,nilimfahamu wakati anasoma CBE,alikua anafanya mziki kama ziada sio sehemu ya kumwingizia kipatoSio dataz tu ata Mike Mwakatundu aka MIKE T
Wa kawaida angeweza kumpeleka mtoto kusoma CHINA,hawa wa kawaida tunaowajua sisi hata fees ya udom inagombaHao wote hawana ushua wowote wazazi wao hawana chochote,huyo jux hakuna chochote kila siku unaskia mara anajenga ghorofa mara mtoto wa kishua kumbe kawaida tu,mama ni mstaafu anakaa kimara maisha yakawaida tu
Uwezo wa kawaida huo,shida watu wanapenda sana kujikweza kuliko uwezo wao...kwenda china sio issue siku hizi mama anaweza kumsomesha mtoto kwa mkopo au kiinua mgongo chakeWa kawaida angeweza kumpeleka mtoto kusoma CHINA,hawa wa kawaida tunaowajua sisi hata fees ya udom inagomba
Doh!! Ndio kwanza nasikia leo mkuu.ndiyo mkuu, si umeona kwenye list hapo
Sana kuna kipindi cha nyuma walikuwa wanamiliki mabasi na malori mkuu.Huyu nakubaliana na wewe,nilimfahamu wakati anasoma CBE,alikua anafanya mziki kama ziada sio sehemu ya kumwingizia kipato
maisha bna![]()
Unatania Bila shaka
What happened to themDataz na squizer baba yao alikua tajiri balaa
Watu wanaochangisha Waumini si vema kuwaweka kundi la wenye nazo.Prodyuza Nisher...Baba yake ni Nabii anapesa hatari
"Ilikuwa"..jifunze past na present tense.Huyu kwao Kuna njaa kali
You can't be serious msaga sumu ninaemjua mimi alikuwa nauza mitumba tandika?
Au Msaga sumu huyu huyu mwenye pengo aliekosa hata hela za kuweka man made teeth?
Au msaga sumu huyu huyu anepiga show za uswahilini za kulipwa buku 2 ya kunywea gongo?
Taaarabu hiyo ya mtandao pendwa au twaarabu ya mambo ya PwanAfande Sele apana.haukumsikia kwenye mkuki moyoni? Alimfuata mama yake Mtwara maza akamkataa akaingia kitaa kutafuta ela
"Kama unavyoelewa wenye pesa wengi waarabu ,nilivyo omba Kazi walitaka kwanza tarabu,washenzi hawana adabu.Afande sele-mkuki moyoni
[emoji23][emoji23][emoji23]Mmh niko tayari kupinga hata Mahakamani, Diamond sio wa kishua
[emoji23][emoji23][emoji23]Deogratus kisandu.