Tukumbushane wasanii ambao ni watoto wa kitajiri ambao hawafanyi Mziki kwa sababu ya njaa

Tukumbushane wasanii ambao ni watoto wa kitajiri ambao hawafanyi Mziki kwa sababu ya njaa

Wakuu habari zenu leo nataka tuambiane wasanii ambao kwao mkwanja upo, ambao hawafanyi mziki kwa sababu ya njaa ila wanafanya kutokana na kujijua kuwa wanavipaji
Naanza na hawa
1. Future Jnl
2.Brown mauzo
3.Bonge la nyau
4.Bob junior
5.Jux vuiton

Unaweza kuongezea wengine unaowajua ww.....
Jux na huyo bonge la nyau toka lini wakawa wakishua
 
Wakuu habari zenu leo nataka tuambiane wasanii ambao kwao mkwanja upo, ambao hawafanyi mziki kwa sababu ya njaa ila wanafanya kutokana na kujijua kuwa wanavipaji
Naanza na hawa
1. Future Jnl
2.Brown mauzo
3.Bonge la nyau
4.Bob junior
5.Jux vuiton

Unaweza kuongezea wengine unaowajua ww.....
Hao wote hawana ushua wowote wazazi wao hawana chochote,huyo jux hakuna chochote kila siku unaskia mara anajenga ghorofa mara mtoto wa kishua kumbe kawaida tu,mama ni mstaafu anakaa kimara maisha yakawaida tu
 
Hao wote hawana ushua wowote wazazi wao hawana chochote,huyo jux hakuna chochote kila siku unaskia mara anajenga ghorofa mara mtoto wa kishua kumbe kawaida tu,mama ni mstaafu anakaa kimara maisha yakawaida tu
Wa kawaida angeweza kumpeleka mtoto kusoma CHINA,hawa wa kawaida tunaowajua sisi hata fees ya udom inagomba
 
Wa kawaida angeweza kumpeleka mtoto kusoma CHINA,hawa wa kawaida tunaowajua sisi hata fees ya udom inagomba
Uwezo wa kawaida huo,shida watu wanapenda sana kujikweza kuliko uwezo wao...kwenda china sio issue siku hizi mama anaweza kumsomesha mtoto kwa mkopo au kiinua mgongo chake
 
4e28e6bd0f4fa35acce1092a9811418e.jpg

Unatania Bila shaka
maisha bna
 
You can't be serious msaga sumu ninaemjua mimi alikuwa nauza mitumba tandika?
Au Msaga sumu huyu huyu mwenye pengo aliekosa hata hela za kuweka man made teeth?
Au msaga sumu huyu huyu anepiga show za uswahilini za kulipwa buku 2 ya kunywea gongo?

Huyo huyo mkuu, alizaliwa wa kishua maisha tu
 
Afande Sele apana.haukumsikia kwenye mkuki moyoni? Alimfuata mama yake Mtwara maza akamkataa akaingia kitaa kutafuta ela

"Kama unavyoelewa wenye pesa wengi waarabu ,nilivyo omba Kazi walitaka kwanza tarabu,washenzi hawana adabu.Afande sele-mkuki moyoni
Taaarabu hiyo ya mtandao pendwa au twaarabu ya mambo ya Pwan
Hahhhahahahahhahahaha
 
Back
Top Bottom