Tukumbushane wasanii ambao ni watoto wa kitajiri ambao hawafanyi Mziki kwa sababu ya njaa

Ok mkuu
 
Afande Sele apana.haukumsikia kwenye mkuki moyoni? Alimfuata mama yake Mtwara maza akamkataa akaingia kitaa kutafuta ela

"Kama unavyoelewa wenye pesa wengi waarabu ,nilivyo omba Kazi walitaka kwanza tarabu,washenzi hawana adabu.Afande sele-mkuki moyoni
 
Man x

Aliyeimba kama mipango, yote anapanga mwenyezi nimechezea bahati
Ft dully sykes
Sio sana maana mdogo wake yule mdada anayeimba copy ANETH KUSHABA na mzee wao anauza furniture pale keko duka lao linaitwa KUSHABA
 
Man x

Aliyeimba kama mipango, yote anapanga mwenyezi nimechezea bahati
Ft dully sykes
Duh, mwanangu umenikumbusha kitambo sana ulivyotaja ManX, enzi za Makongo secondary tulikuwa tunamuita Alex minondo, dah kitambo sana huyu Chalii, sijui yupo wapi? Kwa sasa
 
Duh, mwanangu umenikumbusha kitambo sana ulivyotaja ManX, enzi za Makongo secondary tulikuwa tunamuita Alex minondo, dah kitambo sana huyu Chalii, sijui yupo wapi? Kwa sasa
Nikiwahi kumuona katika interview moja nahisi ni eatv anahojiwa, akasema muziki ni basi anasimamia mali za kwao, kwao kuna mjengo mmoja maridadi na hata ile video yake na dully pale ni kwao.
 
Yaki ninaye mfahamu kuhustle saana iringa..maisha kawaida tu kapiga mtogwa labda kama sio huyu nnaemsema
true mkuu yaki kitambo hicho na akina amba, shaksi, beni,betaman akitamba na single ya unyoya, tulikuwa tunakula nae ugali na maharage kihesa kanisani pale kwakna amba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…