Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Manfongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mchoma chipsi.Manfongo
Sawa ila hujafafanua vizuri ili wengine tupate kujua. Kwa kila msanii ulomtaja kwenye hiyo orodha fupi tupe na family back ground economically ili tuone kweli kwao kuna madini. Kututajia majina tu unakuwa hujafanya kitu maana na mimi naweza taja taja tuuu na wakwangu. Toa evidenceWakuu habari zenu leo nataka tuambiane wasanii ambao kwao mkwanja upo, ambao hawafanyi mziki kwa sababu ya njaa ila wanafanya kutokana na kujijua kuwa wanavipaji
Naanza na hawa
1. Future Jnl
2.Brown mauzo
3.Bonge la nyau
4.Bob junior
5.Jux vuiton
Unaweza kuongezea wengine unaowajua ww.....
Yaki ?? Acha utani mzeeCyril kamikaze, uniq dadaz bablee, yaki, fredrik bundala
Unamjua yako wewe. Banginyeusi?Yaki ?? Acha utani mzee
Nimemjua miaka 1998 wakati wanakaaa makumbusho na baba yao kabla ya yule mzee kuiuza nyumba walioyokua wanakaa,hope wakahamia sinzanani kakuambia wewe umeanza kumjua lini juma Mchopanga?
Yaki ninaye mfahamu kuhustle saana iringa..maisha kawaida tu kapiga mtogwa labda kama sio huyu nnaemsemaUnamjua yako wewe. Banginyeusi?
Huyu sawa kabisa.Deogratus kisandu.
Si Nabii ni Msanii anayejiita Nabii.Prodyuza Nisher...Baba yake ni Nabii anapesa hatari
MbinguniSIWAJUI WOOTE WANAIMBIA WAPI?
Hivi mkuu ni ishu gani iliyomtajirisha Super nyamwela? Ni muziki tu?Hamna nyandu south alizamia kutafuta life kipindi kile miaka ya 2000....
Baada ya kurudishwa bongo akaanza Kufanya mishe za kiutu uzima.
Akapiga mpunga na kiukweli kibongo bongo hakuna msanii anamwingia jamaa ukitoa chibu, super nyamwela na labda masanja.
Mkuu super nyamwela invested wisely baada ya kupata mafao yake kwenye muziki alipo kua dancer.Hivi mkuu ni ishu gani iliyomtajirisha Super nyamwela? Ni muziki tu?