Tukumbushane wasanii ambao ni watoto wa kitajiri ambao hawafanyi Mziki kwa sababu ya njaa

Tukumbushane wasanii ambao ni watoto wa kitajiri ambao hawafanyi Mziki kwa sababu ya njaa

Wakuu habari zenu leo nataka tuambiane wasanii ambao kwao mkwanja upo, ambao hawafanyi mziki kwa sababu ya njaa ila wanafanya kutokana na kujijua kuwa wanavipaji
Naanza na hawa
1. Future Jnl
2.Brown mauzo
3.Bonge la nyau
4.Bob junior
5.Jux vuiton

Unaweza kuongezea wengine unaowajua ww.....
Sawa ila hujafafanua vizuri ili wengine tupate kujua. Kwa kila msanii ulomtaja kwenye hiyo orodha fupi tupe na family back ground economically ili tuone kweli kwao kuna madini. Kututajia majina tu unakuwa hujafanya kitu maana na mimi naweza taja taja tuuu na wakwangu. Toa evidence
 
Hamna nyandu south alizamia kutafuta life kipindi kile miaka ya 2000....
Baada ya kurudishwa bongo akaanza Kufanya mishe za kiutu uzima.
Akapiga mpunga na kiukweli kibongo bongo hakuna msanii anamwingia jamaa ukitoa chibu, super nyamwela na labda masanja.
Hivi mkuu ni ishu gani iliyomtajirisha Super nyamwela? Ni muziki tu?
 
Hivi mkuu ni ishu gani iliyomtajirisha Super nyamwela? Ni muziki tu?
Mkuu super nyamwela invested wisely baada ya kupata mafao yake kwenye muziki alipo kua dancer.
Jamaa kafanya kazi na magwiji wa muziki kutoka Kongo kuanzia Pepe Kalle, Defao, Kanda bongo man, awilo longomba etc.
Na kwa kufanya kazi na wakongwe hao ndiko alikopatia utajiri wake.
 
Back
Top Bottom