Wakuu mupo?.........kitambo sana..........Leo nimeshinda naukumbuka na kujiimbia kitu Hiba cha Nginde,Utunzi na uimbaji wake Hassan Rehani Bitchuka..................dah!!!
Hiba nimelibeba pendo lako,kama mwana na mbeleko,Hiba nimelibeba pendo lako,kama mwana na mbeleko,
Nina maana kukwambia mchana usiku silali natafuta pesa,Nina maana kukwambia mchana usiku silali natafuta pesa,
Ili tuishi vizuri na kujenga familia bora yenye thamani na penzi,Ili tuishi vizuri na kujenga familia bora yenye thamani na penzi
Hiba mekuwaje mpenzi mbona umebadilika aaaaaa,Hiba mekuwaje mpenzi mbona umebadilikaaaaaaaaaaa(bridge)
Aaaa Hiba hiba hiba.........Nimekukosea nini mpaka kufika kunikataa Hiba....ehh..........Hiba
Ili tuishi vizuri na kujenga familia bora yenye thamani na penzi(iiiiiii),Ili tuishi vizuri na kujenga familia bora yenye thamani na penzi
Hiba mekuwaje mpenzi mbona umebadilika aaaaaa,Hiba mekuwaje mpenzi mbona umebadilikaaaaaaaaaaa
Kiitikio(wote): Hiba oooh Hiba imekuwaje Hiba Hiba ooh Hiba nieleze leo,Hiba oooh Hiba imekuwaje Hiba Hiba ooh Hiba nieleze leo
Bichuka: Badiliko la pendo lako lanitia wasiwasi,lipi nililokuudhi ooh ooh Hiba, Badiliko la pendo lako lanitia wasiwasi,lipi nililokuudhi ooh ooh Hiba..Ninapokuuliza hutaki kusema nami Hiba,ninapokuuliza wewe unanunanuna,..ninapokuuliza hunisikii hata kidogo Hiba,....ninapokuuliza wewe unanunanuna,....Unanisikitisha sana unapokataa kula nami Hiba....
Kiitikio(wote): Hiba oooh Hiba imekuwaje Hiba Hiba ooh Hiba nieleze leo,Hiba oooh Hiba imekuwaje Hiba Hiba ooh Hiba nieleze leo
Ninapokuuliza hutaki kusema nami Hiba,ninapokuuliza wewe unanunanuna,..ninapokuuliza hunisikii hata kidogo Hiba,....ninapokuuliza wewe unanunanuna,....Unanisikitisha sana unapokataa kula nami Hiba....
Kiitikio(wote): Hiba oooh Hiba imekuwaje Hiba Hiba ooh Hiba nieleze leo,Hiba oooh Hiba imekuwaje Hiba Hiba ooh Hiba nieleze leo