Tukumbushane: Wimbo bora wenye jina la kike...

Tukumbushane: Wimbo bora wenye jina la kike...

Hii thread imekatika? Nasikiliza Dunia msongamano - Ndala Kasheba (Supreme) dakika hii. Full trumpet. Full gitaa. Full ujumbe. Aaa, wakati umekwenda wapi? Kwa nyimbo zenye majina ya wanawake nazopenda ni nyingi, kwa kuanzia Jack - Nico Zengekala.

Dunia msongamano:

Dunia msongamano kasema baba,
Nimeyaona leo nakubali mie,
Wengine hupendelea kufurahia wanaposikia fulani kafa,
Kufa kwa binadamu hupangwa na Mungu,
Namuomba Mwenyezi anipe maisha.
 
Kuna wimbo wa Sikinde ambao mwanzo anaimba Chidumule, huu wimbo kuna mtu anao?

Je kuna mtu anafahamu JINA la wimbo huu anirushie?


Penzi ni kati yake mke mume, Na hustawi kwenye Mahaba aa
Penzi ni kileo cha fikara, Wala usione ajabu nikipeeenda
Uliponikubalia tuwe mke na mume
Nilitamani Dunia isimame hata kwa sekunde moja
Ili niione nuru ya mapenzi yako
Na roho yangu iwe radhi kuwa huru
Chorus)
Penzi letu liwe moja, Lenye dhiki na faraja
Tukiishi vizuri ni Taji kwa wapendanao
Iliyobaki tusaidiane tulindiane heshima
Tuipende familia, Ndio kustawisha pendo


Beats zake zinafanana sana mwanzo na wimbo wa Koffi Olomide.

 
Last edited by a moderator:
Kuna wimbo wa Sikinde ambao mwanzo anaimba Chidumule, huu wimbo kuna mtu anao?

Je kuna mtu anafahamu JINA la wimbo huu anirushie?


Penzi ni kati yake mke mume, Na hustawi kwenye Mahaba aa
Penzi ni kileo cha fikara, Wala usione ajabu nikipeeenda
Uliponikubalia tuwe mke na mume
Nilitamani Dunia isimame hata kwa sekunde moja
Ili niione nuru ya mapenzi yako
Na roho yangu iwe radhi kuwa huru
Chorus)
Penzi letu liwe moja, Lenye dhiki na faraja
Tukiishi vizuri ni Taji kwa wapendanao
Iliyobaki tusaidiane tulindiane heshima
Tuipende familia, Ndio kustawisha pendo


Beats zake zinafanana sana mwanzo na wimbo wa Koffi Olomide.




Duh! Mkuu umenikumbusha mbaaaaaaali kichizi! Naikumbuka nyimbo hii ilikuwa inapigwa sana kipindi hicho Redo One imeanzaanza ikiwa na waangazaji mahiri, mfano Mzee w Macharanga, Anti Ndina (sijiyuko wapi siku hizi??), Flora Nducha, na wengineo!!! Nakumbuka kama studio yupo Abubakar Liongo lazima ataicheza na hicho kinanda kitarudiwa hata mara tatu!
 
Last edited by a moderator:
Kuna wimbo wa Sikinde ambao mwanzo anaimba Chidumule, huu wimbo kuna mtu anao?

Je kuna mtu anafahamu JINA la wimbo huu anirushie?


Penzi ni kati yake mke mume, Na hustawi kwenye Mahaba aa
Penzi ni kileo cha fikara, Wala usione ajabu nikipeeenda
Uliponikubalia tuwe mke na mume
Nilitamani Dunia isimame hata kwa sekunde moja
Ili niione nuru ya mapenzi yako
Na roho yangu iwe radhi kuwa huru
Chorus)
Penzi letu liwe moja, Lenye dhiki na faraja
Tukiishi vizuri ni Taji kwa wapendanao
Iliyobaki tusaidiane tulindiane heshima
Tuipende familia, Ndio kustawisha pendo


Beats zake zinafanana sana mwanzo na wimbo wa Koffi Olomide.



Hiyo sauti unayoisikia hapo si ya Chidumule ni ya Maxmillian Bushoke.....una kingine?
 
Last edited by a moderator:
Sawa Mkuu. Ni kweli kabisa ni Bushoke na nafikiri kwa sababu siku hizi nimekuwa mpenzi zaidi wa nyimbo za Chidumule. Miaka hiyo nilikuwa namzimia sana huyu jamaa. Ni moja ya Wanamuziki wachache niliowahi kuwaona LIVE wa Kitanzania. Nakumbuka enzi hizo akiwa na BIMA aliimba ule wimbo wa Kisa Cha Messenger na ilikuwa furaha kumuona akiimba pale Amana Ilala.

Sasa waweza kunipatia TITTLE ya huo wimbo au wimbo wenyewe?

Hiyo sauti unayoisikia hapo si ya Chidumule ni ya Maxmillian Bushoke.....una kingine?
 
Sawa Mkuu. Ni kweli kabisa ni Bushoke na nafikiri kwa sababu siku hizi nimekuwa mpenzi zaidi wa nyimbo za Chidumule. Miaka hiyo nilikuwa namzimia sana huyu jamaa. Ni moja ya Wanamuziki wachache niliowahi kuwaona LIVE wa Kitanzania. Nakumbuka enzi hizo akiwa na BIMA aliimba ule wimbo wa Kisa Cha Messenger na ilikuwa furaha kumuona akiimba pale Amana Ilala.

Sasa waweza kunipatia TITTLE ya huo wimbo au wimbo wenyewe?

Subiri nitoke ktk mapumziko ya x-mas.
Kwa sasa niko Sanyajuu ktk kijiji cha Fuka...
 
Kuna wimbo mmoja naona wote tumeushahu nadhani ulipigwa na OSS- Ndekule; uliitwa Aminani Mandari yaani utadhani ni kisa cha kweli jinsi MAx Bushoke alivyokuwa analalamika... "anakumbukwa na ndugu na jirani zakee eeenhe then Mola mlaze pema peponi roho yake, Aminani Mandari mpenzi sitamsahahu...

Mola iweke peema peponi roho yake ''yaaaaake''
Aminani Mandari Mandari mpenzi sintokusahau...dah hii nyimbo nimeisikia majuzi inapigwa RFA...
 
marahaba firstlady1...
Niko somewhere unknown nausikiliza taratiiiibu wimbo ulioimbwa na Marquees special kwa Mama Maria Nyerere....

Maria Nyerere
Mama mpendwa kwaheri
Mama Maariaaaaaa
Pokea shukrani zetu
Za dhati Maria Nyerere maama
twakutakieni mapumziko ya mazuri
pamoja na maisha, marefu Mamaaa...

Mama Maria twakutakia kila la kheri Mamaa
Mama Maria Nyerere pole Mama mpendwa kwaheri eeeh...
Pumzika kwa Amani mama Butiama kijijini eeeh...
 
1.Rudi Mpenzi Zarina~NUTA JAZZ BAND
2.Lella~VIJANA JAZZ
3.Zinduna~KUMULIMULI JAZZ
4.Asmaa
5.Magreti~MARIJANI RAJABU
6.Faulata~JUWATA JAZZ
7.Magdalena Ananipa Tabu~VIJANA JAZZ
8.Paulina~URAFIKI JAZZ
9.Salza~MAQUIS
10.Anifa~MZEE MAKASSY & ORCHESTRA MAKASSY
 
1.Rudi Mpenzi Zarina~NUTA JAZZ BAND
2.Lella~VIJANA JAZZ
3.Zinduna~KUMULIMULI JAZZ
4.Asmaa
5.Magreti~MARIJANI RAJABU
6.Faulata~JUWATA JAZZ
7.Magdalena Ananipa Tabu~VIJANA JAZZ
8.Paulina~URAFIKI JAZZ
9.Salza~MAQUIS
10.Anifa~MZEE MAKASSY & ORCHESTRA MAKASSY

Mie najua nyimbo 3 au 4 Hapo. Salza, Anifa, na Zarina.

By the way ule wimbo wa " chaurembo" wa Vijana jazz ni wa kike au wa kiume???


Sent from my NOKIA 3310 using Tapatalk HD
 
uleee uliowapeleka Papii Kocha na msure wake jela... nazungumzia SALMA...MAMAAAAAA SALIIIIIIMAA...AAAAAH
 
Jamani hii thread nzuri..nitaikalia kitako niisome vizuri maana nilianza na flashback style..

Mie naufahamu wimbo wa Georgina umeniachia masikitiko, Georgina Georgina ooh!!
 
Jamani hii thread nzuri..nitaikalia kitako niisome vizuri maana nilianza na flashback style..

Mie naufahamu wimbo wa Georgina umeniachia masikitiko, Georgina Georgina ooh!!

Belinda unagida mbwali?
Manake wanywaji woote huo ndio wimbo wao kipenzi
 
MSONDO - ASHIBAE...

Na sasa nimeamua eeh
Nimeamua eeh
Ni wewe pekee nikupendae
Moyoni mwangu ashibae...

msondo eeh msondo aaah aafyaaaaa
 
Binti Maringo - Juwata Jazz

Sasa umekuwa dalali, unaunadi utu wako,
ooh binti Maringooo!

Sifa za uzuri wako zilinifanya,
niingie kichwa kichwa bila kuuliza!

Japokuwa nina kiu,
na wewe,
nitakunywa maji,
nitulie.

Dada Kawasaki alinikanya,
hapa mjini nenda polepole,
utavamia walanguzi wa mapenzi,
waikaange roho yako,
inyauke kama mti!
 
Back
Top Bottom