Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Binti Maringo - Juwata Jazz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna wimbo wa Vero(nica)? I swear nimewahi kuusikia sehemu
Mariamu nao hakuna?
Sahihi ni "obeja kulumba ng'wanone"
Basukuma hawana "mwa" wana "ng'wa"
Kwa mfano Mwanza ni Ng'wanza
Mwana wa fulani ni "ng'wana mbati"
Binti Maringo - Juwata Jazz
kuna huu wa TABU sijui ni nani kauimba....ni wewe kipenzi nikupendae, kwa jina unaitwa Tabu, mwenye sura nzuri ya kupendeza, tabia na heshima yako ni ya kuridhisha, japokuwa maana ya jina lako ni matatizo kwangu mimi lina maana ya furaha na faraja,,,,,
TX Moshi alikuwa ni mtunzi mahiri sana jamani,karibu kila nyimbo aliyoitunga ilikuwa ni moto(ili hit hasa)
Binti Maringo
(TX)Penzi langu limekosa umaarufu kwa sababu sina hela ooh Binti Maringo,sifa za uzuri wako zilinifanya niingie kichwa kichwa bila kuuliza,sasa umekuwa dalali unaunadi utu wangu ooh Binti Maringo,sasa umekuwa dalali unaunadi utu wangu ooh Binti Maringo
(Wote)Hapa nilipofika panatosha nisijefuga ugonjwa nikakosa dawa(rudia tena)
najua nina kiu na wewe nitakunywa maji nitulie...Maringo Binti Maringo nitakukukmbuka daima,Maringo Binti Maringo nitakukukmbuka daima,kwenye kitabu cha kumbukumbu mateso yako nitaandika,kwenye kitabu cha kumbukumbu mateso yako nitaandika
(Gurumo)Dada Kawasaki alinikanya hapa mjini nenda polepole,utavamia walanguzi wa mapenzi waikaangae Roho yako inyauke kama mti
(Wote)Maringo Binti Maringo nitakukukmbuka daima,kwenye kitabu cha kumbukumbu mateso yako nitaandika,kwenye kitabu cha kumbukumbu mateso yako nitaandika
(Gurumo)Dada Kawasaki alinikanya hapa mjini nenda polepole,utavamia walanguzi wa mapenzi waikaangae Roho yako inyauke kama mti
(Wote)Maringo Binti Maringo nitakukukmbuka daima,kwenye kitabu cha kumbukumbu mateso yako nitaandika,kwenye kitabu cha kumbukumbu mateso yako nitaandika
Sahihi ni "obeja kulumba ng'wanone"
Basukuma hawana "mwa" wana "ng'wa"
Kwa mfano Mwanza ni Ng'wanza
Mwana wa fulani ni "ng'wana mbati"
Salama by Jabali la Muziki
Wapi salama, salama nakuomba
salama nakwita mamaa
umenipa machozi, machozi yasiyokwisha
nifanyeje mwana mamaa
nikilala naota sura yakoo
nikitembea nasikia waniitaa
nageuka sikuoni mwana mamaa
nauliza uko wapi mwana mamaa
Christina Moshi sikiliza melezo yangu katika wimbo mamaaa,
Naelewa Penzi li bado ni changa, usije tena ukabadilika baadae,
Tulipokubaliana kwa hiari tulikuwa wawili, watatu Mungu wetu *2
........Pendekezo langu kwako kwako uwe kama benki,
........benki mahala pa usalama
........Akiba yangu ya mapenzi nakupa wewe, Moshi ee mamaaaa!
Uwezo sina ningekununulia gari ,bali matatizo madogo hayatonishinda,
Nitajipigapiga ili niyatatue, sababu jungu halikosi ukoko......
Hii nyimbo ilinipagawisha sana wakati wake...
.......Anita Anita wangu yele lelelleel hieeeeeeeeee........
Nasukuma sukuma ili siku ziende urudi nyumbani tuishi pamoja.....