Duuh! Comments kama hizi ndo zinawatisha vijana hatimaye wanakuja na slogan za kataa ndoa!Tupo wengi mi hata kukaa tu na mke naona kichefu chefu nashukuru yupo mbali huko mi natoa tu huduma kwa watoto wangu yeye aendelee tu na umalaya wake
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app