Tukutane hapa ambao ndoa zao zimekufa ila tumebaki kulea tu watoto

Tukutane hapa ambao ndoa zao zimekufa ila tumebaki kulea tu watoto

Ndoa sio nyepesi, acheni ujinga wa kukimbia wajibu.

Mnadhani sisi wazee tuliishi bila changamoto na mama zenu?, jibu ni HAPANA ila tulikabiliana na yote mwisho tukavuka.

Acheni kuishi nyie vijana maisha ya maigizo ndipo mtaziweza ndoa, mkihendekeza maisha ya uanaharakati yaani baba ndevu, mama ndevu sijui na mtoto ndevu matokeo yake ndio hayo.

Ishini maisha halisia ya kiAfrika, hakika ndoa zitadumu, vinginevyo mtaishia kulia lia kila siku.
Maisha ya ki Africa Baba ndiyo final say kwenye Familia!!
 
Honestly Taasisi ya ndoa Kama imefika mwisho wengi tumebaki kulea watoto tu katika ndoa zetu.

Maneno tunayotamkiana ni zaidi ya Vita.

Guyz things are not easy. Kukaa alone ni Bora Sana kwa zama hizi.
Ndoa siyo makalio kila mtu anayo. Tuachieni sisi tuliofundishwa cuba jinsi ya kuishi kwenye ndoa.
 
1665496605970.jpg
 
Ndoa sio nyepesi, acheni ujinga wa kukimbia wajibu.

Mnadhani sisi wazee tuliishi bila changamoto na mama zenu?, jibu ni HAPANA ila tulikabiliana na yote mwisho tukavuka.

Acheni kuishi nyie vijana maisha ya maigizo ndipo mtaziweza ndoa, mkihendekeza maisha ya uanaharakati yaani baba ndevu, mama ndevu sijui na mtoto ndevu matokeo yake ndio hayo.

Ishini maisha halisia ya kiAfrika, hakika ndoa zitadumu, vinginevyo mtaishia kulia lia kila siku.
Wape vidonge vyao.
Haya ndo madhara yakutahiri watoto wa kiume hospitali.Wangeenda porini kule na kisuu bila hata ganzi tungekuwa na wanaume imara,wanaojiamini,wasio na lawama kwa wanawake.
 
Back
Top Bottom