Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Natafuta wa kunipa watotoVumiliaaaa lea watotoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natafuta wa kunipa watotoVumiliaaaa lea watotoo
1 Wakorintho 7:1-2 "Na sasa kuhusu mambo mliyoniandikia. Ni vizuri mtu asioe. 2 Lakini kwa kuwa dhambi ya zinaa imeenea, kila mwanamume awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe".Mtume Paul aliliona hili miaka mingi sana iliopita....Honestly Taasisi ya ndoa Kama imefika mwisho wengi tumebaki kulea watoto tu katika ndoa zetu.
Maneno tunayotamkiana ni zaidi ya Vita.
Guyz things are not easy. Kukaa alone ni Bora Sana kwa zama hizi.
NAKAZIAKATAA NDOA
B for what 😂😂😂me and my babyGal B forever and ever
my one and only, BabyCare 😄B for what 😂😂😂
Hapana, kukaa peke yako hakujawahi kuwa bora.Guyz things are not easy. Kukaa alone ni Bora Sana kwa zama hizi.
Sawa😂😂😬my one and only, BabyCare 😄
mke mdogo mwenye 100g ambaye niko nae safarini
mke mkubwa, 5000g yuko home, anakula likizo
Jamani😂😂😂Mi naamini mwanamke ninayemtaka hayupo dunia hii..
kwasasa nimebaki kusubiria ufalme wa mbingu tu..
Pole sana brotherTupo wengi mi hata kukaa tu na mke naona kichefu chefu nashukuru yupo mbali huko mi natoa tu huduma kwa watoto wangu yeye aendelee tu na umalaya wake
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Asipoandika mtandaoni, kifua kitajaa hasira ndio utasikia "amemuua mtoto wa watu"Ndoa sio lelemama, usiishi kihuni kwenye ndoa, pia usiishi kama mfungwa kwenye ndoa, uvumilivu uwepo na uaminifu ni silaha nzito, gubu ni baya hupunguza upendo na upendo ukipungua kifuatacho ni matukio,
Elimu juu ya masuala ya ndoa itolewe kwa pande zote hasa Wanaume wa siku hizi wanaingia ndoani kibubu bubu, wakikutana na changamoto kidogo tu wanakimbilia mtandaoni kuomba ushauri.
Mama shikamoo , naomba unisamehe mimi , vipi una binti hapo kwako? Nitajitahidi kuwa kama ulivyosema [emoji3]kitu napenda ni mwanaume asimame kama mwanaume, yani akiniambia jambo kwa sauti ya mamlaka natii bila shuruti, mwanaume aniongoze despite ninampita vitu vingapi still nitataka awe kiongozi kwangu sasa mwanaume unashindwaje na ndoa yako? au ndio kina nyinyi mnaopenda matako makubwa mnaoa kichwa kichwa? take time msome mwanamke unayetaka kuingia naye ndoani, msikurupuke heri uchelewe kuoa uoe mtu sahihi kuliko uwahi kuoa kwa mihemko ndoa sio rahisi na ndoa sio kwa kila mtu.
Kumbuka pia baba anaweza kufa mapema kwa pressure kutokana na gubu la mama, hivyo still watoto wakakosa paternal careZingatia uwepo wa baba maishani mwa wanao ni muhimu kuliko tunavyofikiria. Pamoja na vuguvugu la ugomvi/mivutano na mwenza wako, fanya kila uwezalo kutopuuza jukumu hilo.
Pole sana ndugu yangu.Mkuu kuanzia mwaka jana nipo katika hii situation,yaani ni zaidi ya urusi na Ukraine
Kukabiliana na changamoto ni pamoja na kukudunda, utakubali?Mpaka unaamua kuoa wewe mwanaume sharti uwe na uanaume na sifa kuu ya mwanaume ni kukabiliana na changamoto na sio kuzikimbia.
Umeongea kiume sanaBitter truth, ni kulea, watoto tu, mzigo unakula kwa kuvizia, wakati mwingine anahama chumba,
Siku upepo mzuri umepita, mnapiga story mbili tatu, shetani akikatiza, hakuna story wiki nzima,
Hakuna mwenye hamu na mwenzie,kwa sie midume, kula mzigo sio lazima upende, ni, kupunguza stress tu,
Ndoa imekuwa ngumu kama kuishi Afghanistan,
Cha msingi, kama, ndoa imekufa, IPO ICU, ni maisha Bora kwa watoto, wape kila wakitakacho, wa, spoil kila Mara, ili wasione tofauti,
Wanawake wa kileo hawa, wakishakupotezea kwenye ndoa, wala, usiumize kichwa, endelea na kazi, there is more to life than her, tunza watoto, toa kwa charities, nk.
Kwani ni uongo ?Hii inatokana na tamthilia, movie, vitabu na nadharia mbali mbali zilizopo kwenye jamii ya kwamba ukiingia kwenye ndoa basi ni raha tupu na furaha utaipata huko.