Tukutane hapa ambao ndoa zao zimekufa ila tumebaki kulea tu watoto

Tukutane hapa ambao ndoa zao zimekufa ila tumebaki kulea tu watoto

kitu napenda ni mwanaume asimame kama mwanaume, yani akiniambia jambo kwa sauti ya mamlaka natii bila shuruti, mwanaume aniongoze despite ninampita vitu vingapi still nitataka awe kiongozi kwangu sasa mwanaume unashindwaje na ndoa yako? au ndio kina nyinyi mnaopenda matako makubwa mnaoa kichwa kichwa? take time msome mwanamke unayetaka kuingia naye ndoani, msikurupuke heri uchelewe kuoa uoe mtu sahihi kuliko uwahi kuoa kwa mihemko ndoa sio rahisi na ndoa sio kwa kila mtu.
Mamii kwa maneno haya naomba wkend nikupeleke Warehouse Masaki ukapate chochote kitu kadri ya ulaji na unywaji wako ukashushie hii comment[emoji2]
 
Honestly Taasisi ya ndoa Kama imefika mwisho wengi tumebaki kulea watoto tu katika ndoa zetu.

Maneno tunayotamkiana ni zaidi ya Vita.

Guyz things are not easy. Kukaa alone ni Bora Sana kwa zama hizi.
Pole mtaalamu DR HAYA LAND ..
Taasisi ya ndoa aisee.. sio kitu chepesi..

ila leo wakati nasoma biblia na kutafakari kwa habari ya ndoa.. kuna jambo nimejifunza..

Mwanaume asipo ona kwamba kuna mahala anahitaji mwanamke ( katika sehemu ya udhaifu wake, iliyopungua ), na mwanamke asipo ona sehemu ya kujazi kwa mwenza wake.. ujue hapo hakuna kitu .. maana kwenye taasisi kuna kukamilisha, tusipo mature na kuona kila mtu ana muitaji mwenzake ili muweze ku move.. lazima mpasuane 🥴🥴🥴
 
Hili pia linachangia ni bora mpendane na mtoto aje tu kama baraka ila ile kukurupuka baada ya kupata mtoto ni hatari sana.
Ndoa , wahusika wanatakiwa kuingia kwenye taasisi ya ndoa.. nje ya tamaa.. waingie katika upendo.. ( upendo hautazami mabaya ).. wengi wanaingia alafu wanaanza saka ubaya kwa kila mwenzake.. ndipo hapo adui anapata mwanya wa kupanda uharibifu
 
Honestly Taasisi ya ndoa Kama imefika mwisho wengi tumebaki kulea watoto tu katika ndoa zetu.

Maneno tunayotamkiana ni zaidi ya Vita.

Guyz things are not easy. Kukaa alone ni Bora Sana kwa zama hizi.
Kwahiyo unaishije, huduma zitolewazo na mke unapataje?

Au ndio umeamua kujikabidhi kwa micheps?
Zingatia uwepo wa baba maishani mwa wanao ni muhimu kuliko tunavyofikiria. Pamoja na vuguvugu la ugomvi/mivutano na mwenza wako, fanya kila uwezalo kutopuuza jukumu hilo.
 
Mtasema yote ila wanawake ndo wavunja ndo, period, kwa mfano kuna mmoja hapo anasema anataka mwanaume awe na sauti ya mamlaka, akiolewa na ambaye hana itakuweje? ndoa chali, wanawake bure kabisa isipokuwa late mama yangu, alivumilia mengi kwa ajili yetu, i miss you mum.
 
Honestly Taasisi ya ndoa Kama imefika mwisho wengi tumebaki kulea watoto tu katika ndoa zetu.

Maneno tunayotamkiana ni zaidi ya Vita.

Guyz things are not easy. Kukaa alone ni Bora Sana kwa zama hizi.
Bitter truth, ni kulea, watoto tu, mzigo unakula kwa kuvizia, wakati mwingine anahama chumba,
Siku upepo mzuri umepita, mnapiga story mbili tatu, shetani akikatiza, hakuna story wiki nzima,
Hakuna mwenye hamu na mwenzie,kwa sie midume, kula mzigo sio lazima upende, ni, kupunguza stress tu,
Ndoa imekuwa ngumu kama kuishi Afghanistan,
Cha msingi, kama, ndoa imekufa, IPO ICU, ni maisha Bora kwa watoto, wape kila wakitakacho, wa, spoil kila Mara, ili wasione tofauti,
Wanawake wa kileo hawa, wakishakupotezea kwenye ndoa, wala, usiumize kichwa, endelea na kazi, there is more to life than her, tunza watoto, toa kwa charities, nk.
 
Ndoa sio nyepesi, acheni ujinga wa kukimbia wajibu.

Mnadhani sisi wazee tuliishi bila changamoto na mama zenu?, jibu ni HAPANA ila tulikabiliana na yote mwisho tukavuka.

Acheni kuishi nyie vijana maisha ya maigizo ndipo mtaziweza ndoa, mkihendekeza maisha ya uanaharakati yaani baba ndevu, mama ndevu sijui na mtoto ndevu matokeo yake ndio hayo.

Ishini maisha halisia ya kiAfrika, hakika ndoa zitadumu, vinginevyo mtaishia kulia lia kila siku.
Hapo ndo sielewagi.. Kwann uvumilie, upambane kutunza ndo, struggling zote hizo so what?? Kipi cha msibgi utakipata mwisho baada ya
kupambana???
 
Tupo wengi mi hata kukaa tu na mke naona kichefu chefu nashukuru yupo mbali huko mi natoa tu huduma kwa watoto wangu yeye aendelee tu na umalaya wake

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
20230823_185451.jpg
 
Honestly Taasisi ya ndoa Kama imefika mwisho wengi tumebaki kulea watoto tu katika ndoa zetu.

Maneno tunayotamkiana ni zaidi ya Vita.

Guyz things are not easy. Kukaa alone ni Bora Sana kwa zama hizi.

Kijana!!
1. Ndoa ina miiko yake
2. Ndoa ina sheria zake ni lazima zifuatwe na pande zote.
3. Ndoa ina utaratibu zake lazima zifuatwe
4. Ndoa ina malengo yake lazima yafutawe
5. Ndoa ni upendo! Lazima mpendane

Mmoja akilegea au kutegea katika kimojawapo lazima mtetereke!!

Ndoa hufa ila vifo vya ndoa za siku hizi huchangiwa na utoto mwingi katika ndoa na kujua kwingi!!

Mfano: Kuna jamaa kachati na kutumiana picha za uchi na michepuko!! Mkewe kakuta kila kitu katika simu eti anajitetea "muulizeni alifuata nini kwenye simu yangu?" Kidogo wale wazee wamchape makofi, aliponotice reaction haraka haraka akaomba samahani na kuahidi haitojirudia!! Akaitwa mkewe pia akamuomba samahani sasa hivi wanaishi kwa raha mustarehe kabisa!!

Ukioa au kuolewa!! Kanuni ya kwanza mwenzio asione hata dalili ya michepuko achilia mbali kujua!!
 
Back
Top Bottom