Tukutane hapa ambao ndoa zao zimekufa ila tumebaki kulea tu watoto

Tukutane hapa ambao ndoa zao zimekufa ila tumebaki kulea tu watoto

Vigezo vyenu vya kuingia kwenye ndoa ndio vinavyochekesha, watu mna vigezo vya ajabu ajabu ambavyo havisaidii kitu kwenye kupeleka maisha mbele. Utasikia pesa, mara umri, sijui tako blah blah.

watu mko wa ajabu, mna tabia za ajabu ajabu mnadhani mtaweza ndoa? Mnatreaty watu vibaya mnadhani mtawatreat wenza wenu vizuri? Huu ni muujiza, kama wewe ni narcissist usitegemee ndoa utaiweza, achana nayo fanya mambo mengine tu.

Ndoa yenye “afya” inahitaji wenye nguvu, generous people, urafiki, kutoa bila kuchoka, compromise, reciprocating etc. Ndoa inahitaji watu wenye roho nzuri, wenye upendo, sio mtu yuko broken since childhood halafu mnadhani mtajengeka ndoani matokeo yake mnapeleka maumivu ya kila aina kwa watu.

Kila mtu ajichunguze anachokiweza afocus nacho, ndoa si ya kila mtu, na muache kuilaumu ndoa nakuipaka matope, jilaumuni ninyi na wenza wenu narcissists ambao hamuwezekani na mtu yeyote.
 
Honestly Taasisi ya ndoa Kama imefika mwisho wengi tumebaki kulea watoto tu katika ndoa zetu.

Maneno tunayotamkiana ni zaidi ya Vita.

Guyz things are not easy. Kukaa alone ni Bora Sana kwa zama hizi.
Watu wengi sana wanaingia kwenye ndoa pasipo kuwa Emotionally Stable. Hivyo kupelekea kurushiana maneno mazito hata ndoa kuvunjika.

-Kutokuwa Emotional Stable kunafanya mtu anaingia kwenye ndoa akitegemea furaha yake ataipata kwa mume/mke wake. Na kusahau kuwa kwenye ndoa ni ushirikiano wa kupeana furaha, kwa maana ya kuwa kwanza wewe mwenye furaha kisha hiyo furaha kampatie na mwenza wako.

-Hii inatokana na tamthilia, movie, vitabu na nadharia mbali mbali zilizopo kwenye jamii ya kwamba ukiingia kwenye ndoa basi ni raha tupu na furaha utaipata huko.
 
Honestly Taasisi ya ndoa Kama imefika mwisho wengi tumebaki kulea watoto tu katika ndoa zetu.

Maneno tunayotamkiana ni zaidi ya Vita.

Guyz things are not easy. Kukaa alone ni Bora Sana kwa zama hizi.
Dj walete......

Song: Enjoy

Artist: Jux Featuring Diamond Platinumz.

🎶🎧🎤🎻🎷🎹🎵
 
Bora nimpende mama yangu aliyenizaa,
Kama hujawahi kupigwa na tukio na hawa wanawake unatamani uoe usiombee, mm nimenyanyua mikono nitaua bure kisa mwanamke mara ya kwanza nashika meseji za jamaa wako kwenye mahusiano na mke wangu nikasamehe na kuivunja laini nikapotezea tukasajili laini nyingine tumeenda weee kama mwaka kuja kushika simu nakutana na tukio na huyo huyo jamaa na namba nilikuwa nayo wapo kwenye mahusiano mazito nikaona nisije nikaua bora nimpisha huyu mwanamke achague anapopapenda. Toka hiyo siku miezi na saa hivi sijawahi ona simu wala cha nn na tuna mtoto mmoja nikipiga simu hapokei nimsalimie mtoto,aise ogopa sana kiumbe kinachoitwa mwanamke
 
Bora nimpende mama yangu aliyenizaa,
Kama hujawahi kupigwa na tukio na hawa wanawake unatamani uoe usiombee, mm nimenyanyua mikono nitaua bure kisa mwanamke mara ya kwanza nashika meseji za jamaa wako kwenye mahusiano na mke wangu nikasamehe na kuivunja laini nikapotezea tukasajili laini nyingine tumeenda weee kama mwaka kuja kushika simu nakutana na tukio na huyo huyo jamaa na namba nilikuwa nayo wapo kwenye mahusiano mazito nikaona nisije nikaua bora nimpisha huyu mwanamke achague anapopapenda. Toka hiyo siku miezi na saa hivi sijawahi ona simu wala cha nn na tuna mtoto mmoja nikipiga simu hapokei nimsalimie mtoto,aise ogopa sana kiumbe kinachoitwa mwanamke
Pole sn mkuu! Uskute uliingilia mapenzi yao
 
kitu napenda ni mwanaume asimame kama mwanaume, yani akiniambia jambo kwa sauti ya mamlaka natii bila shuruti, mwanaume aniongoze despite ninampita vitu vingapi still nitataka awe kiongozi kwangu sasa mwanaume unashindwaje na ndoa yako? au ndio kina nyinyi mnaopenda matako makubwa mnaoa kichwa kichwa? take time msome mwanamke unayetaka kuingia naye ndoani, msikurupuke heri uchelewe kuoa uoe mtu sahihi kuliko uwahi kuoa kwa mihemko ndoa sio rahisi na ndoa sio kwa kila mtu.
Mwanaume umpite vitu atakuwa kiongozi kwa dizaini gani? Ili awe kiongozi mzuri ni lazma mamlaka awe nayo hasa ya wizara ya mtonyo.

Tena sikuhizi wanawake ndio wana uchumi mkubwa kuliko wanaume. Akiamua jambo lake utaanza kumletea ubishi kweli, mfano anataka kununua kitu ambacho unaona kabisa hana maelekezo nacho vizuri na unaona kitamcost ila kwa kuwa hutoi hela wewe inakuwa ngumu kumkataza.

Basi unabaki kumuangalia tu afanye atakavyo atajifunza mbeleni maana usjie fedheeshwa kuulizwa kwani unatoa hela yako? 😂

Inataka hekima sana kuishi na wanawake wa kizazi cha leo.
 
Bitter truth, ni kulea, watoto tu, mzigo unakula kwa kuvizia, wakati mwingine anahama chumba,
Siku upepo mzuri umepita, mnapiga story mbili tatu, shetani akikatiza, hakuna story wiki nzima,
Hakuna mwenye hamu na mwenzie,kwa sie midume, kula mzigo sio lazima upende, ni, kupunguza stress tu,
Ndoa imekuwa ngumu kama kuishi Afghanistan,
Cha msingi, kama, ndoa imekufa, IPO ICU, ni maisha Bora kwa watoto, wape kila wakitakacho, wa, spoil kila Mara, ili wasione tofauti,
Wanawake wa kileo hawa, wakishakupotezea kwenye ndoa, wala, usiumize kichwa, endelea na kazi, there is more to life than her, tunza watoto, toa kwa charities, nk.
Tafta demu nje uwe unamgonga kupooza rejeta.
 
Bora nimpende mama yangu aliyenizaa,
Kama hujawahi kupigwa na tukio na hawa wanawake unatamani uoe usiombee, mm nimenyanyua mikono nitaua bure kisa mwanamke mara ya kwanza nashika meseji za jamaa wako kwenye mahusiano na mke wangu nikasamehe na kuivunja laini nikapotezea tukasajili laini nyingine tumeenda weee kama mwaka kuja kushika simu nakutana na tukio na huyo huyo jamaa na namba nilikuwa nayo wapo kwenye mahusiano mazito nikaona nisije nikaua bora nimpisha huyu mwanamke achague anapopapenda. Toka hiyo siku miezi na saa hivi sijawahi ona simu wala cha nn na tuna mtoto mmoja nikipiga simu hapokei nimsalimie mtoto,aise ogopa sana kiumbe kinachoitwa mwanamke
Dah pole sana mzee mwenzangu. Hakika hapo ulikuwa umemuolea mtu mke bila shaka. Ni hasara kubwa kuishi na mwanamke ambaye hisia zake ziko mtaa wa pili. Bora umemuachia jamaa mkewe.
 
Back
Top Bottom