Tukutane hapa tuliowahi kutoa na kupewa talaka, tujadili maisha baada ya talaka

Tukutane hapa tuliowahi kutoa na kupewa talaka, tujadili maisha baada ya talaka

Mi hakikuwepo Cha kugawana coz ndo kwanza tulikuwa tuna miaka miwili na hatujawahi ishi pamoja....kwahiyo alikokuwa anaishi alikuwa na chake na ninapoishi nami Nina changu

Ndoa ya aina gani mke na mume hamjawahi ishi pamoja?

Ndoa gani haina matrimonial home?
 
Mimi nilienda kuomba talaka mwenyewe baada ya kushindwa kuvumilia. Tulikuwa hatuna watoto, ila sijawahi jutia uamuzi wangu maana stress nilizopitia Mungu ndio anajua. Alihamia kwa mchepuko kabisa, lakini na yeye kaja kuachwa baada ya mimi kuondoka. Mpaka leo anajuta.
Sasa usirudi nyuma

Maana hamkawiagi!!!!
 
Kuna kitu kinaitwa LAW OF LARGE NUMBERS.
Hii iko ivi huwezi kusema ama ku draw conclusion ya kitu fulani just for small sample space ya population.
Mfano Kama unatafuta mean ya utajiri wa watanzania let us say tuko 60M ,wewe unafanya research ama sample ya watu milioni 20 mie nikafanya 45M mie nitakuwa na jibu sahihi yaani ile mean inaweza ika approach mean ya population nzima ya jamii ya kitanzania.
Mfano coin flip Ni 50/50 probability Ila Sasa wewe ukifanya trials like 10 unaweza ukapata head 8 na tails 2 ukadai kuwa coin flip sio fair.
Inatakiwa ufanye sample nyingi mno like 100 aliyefanya trials like 100 anaweza akapata heads 54 na tails 46 Ila Sasa sema mwingine akafanya Mara 100000 ama alfu kumi atakaribia kupata jibu ambalo linakaribia 50/50 Mana ukifanya trials chache unaweza ukakutana na kichwa hata Mara 15 hujakutana na mkia so unaweza ukaanza ku doubt mkuu Ila bado Ni 50/50 game.
So hii namaanishaje wazee Wana sample space kubwa mno tofauti na sie ambao unakuta tumeishi miaka below 30 tunaohutaji kuoa.
Mana wazee wameishi muda mrefu wameona mengi mno.
So wao ku draw conclusion yao itakuwa Ina accuracy kubwa mno kuliko ya kwetu ambao bado hutajakutana na events nyingi kwenye life letu mpaka tuweze kuongea kitu Cha ukweli.
Upo vizuri sana mtaalamu...👊👊👊
 
Mwanaume wa kweli hajutii maamuzi ya kuachana na mwanamke asiyeeleweka[emoji23][emoji23].

Kuna hawa wanao complain sjui kuhusu mgao wa mali na mazagazaga ya kiuchumi, hivi mwanaume uliyeteseka kutafta vitu vya thaman unaanzaje kugawana na mtu unayeachana nae ilihali umevitafta wew?

Ujinga ni pale mkiwa kwenye ndoa mnajisahau na kujikuta malaika kwa kuanza kushare kila kitu, mnajenga pamoja, mnanunua magari pamoja, wengine mpka card zenu za benk mnashare na wake zenu, si vibaya lkn hil jambo litakuja kukucost na utajuta sana.

Tunawashauri kila siku, owa ukiwa umetimiza angalau nusu ya ndoto zako, huyo mke unayeoa asijekuwa sehem ya wew kutimiza ndoto za mafanikio kiuchumi bali akute ushafanikiwa au aje amalizie gap dogo tu.

Owa ukiwa na mali zikiwa zimeandikishwa na wanasheria mmiliki halali weka hata wazaz, kama huna weka ndugu&jama unaowaamini ama baazi ya mali zako zifiche hata huyo msaliti wako wa baadae asijue unamiliki mali kiasi gani.

Dunia imeharibika siku hizi wanawake wanaingia ktk ndoa kimkakati sana, wapo wanaoingia kwa maigizo waje wachume na kupotea kuwarudia mabwana zao wa mwanzo(wadangaji)

Pia wapo wanaohusishwa na familia zao kuingia ktk ndoa kimkakati kwenda pia kuwinda mali, na baada ya kupata ni majuto kwa mwanaume hufuata kama sio kurogwa na kugeuzwa msukule ama kufa na vitu vyako vinyang'anywe.

Wapo ambao kwa tamaa zao tu za kingono huamua kujitoa ktk ndoa na kuingia kimahusiano na wanaume wengine, so hata hapa lazma mali zako zigawanywe kwa masingizio ya sheria na upuuzi mwingine.

Unatakiwa kujua mke uliyeoa si ndugu yako na hatowai kuwa ndugu yako kamwe ndiomaana unashiriki nae matendo ambayo huwezi kuyashiriki na ndugu zako, hivyo hata imani kwake iwe kwa kiwango ambacho hakitakuumiza.

Ishi nae kwa akili hatakama akili huna ila jitahidi kuelewa kuwa huyo hutoishi nae milele taka usitake kwa wanawake wa kizaz hiki, kuachana nikama sunna kwao.

Hakikisha furaha yako unaijenga nje ya mategemeo ya mtu, narudia tena, hakikisha mali zako hazitomuhusu siku mkiachana maana atakurudisha nyuma mafanikio uliyopambania muda mrefu.

Wabishi ndio waliwao
Uzuri hao ndugu ndio wanakuja kuwadhulumu nyinyi wenyewe!!!!
 
Yaan ni bora mali zako mtu mmoja akazijua hata mkiachana akapata kidogo maana ana watoto wako, wewe tafuta mali ukiandika ndugu zako, siku uko akhera madukani umekaa zako unamwagilja moyo ushuhudie vile watoto wako wanateseka juu ya hizo mali tena kina shangazi sjui ba mdogo hawajui lolote kuhusu mtoto wa marehemu, au inatokea unaandika umiliki ni mzee wenu, akikata kamba familia inasimama na mali zilizo kwenye mandishi ndo utajua hujui
Si bora afe ndio wamdhulumu

Kuna watu wanadhukumiwa hapa hapa wakiwa hai

Unaandika jina la kaka au dada....akifa? Wakiachana na mwenza wake? Imeisha hiyo...... wengine mabandidu tu wanakopea na kukopa.

Ukija kushtuka nyumba yako unayoishi uliyoandika jina la dada yako kipenzi inadaiwa milioni 200!!!!
 
Yaani kwa upendo kwa watoto wako usitoe talaka. Kubalianeni na huyo mke arudi Ila kama mmeshindwa tenganeni vyumba Kwa muda huku mkitafuta Suluhu. Talaka ni mbaya mno. Huyo mtoto wa like ataumia Sana. Unajua mabinti zetu wanatupenda Sana Sisi Baba zao. Please, tulia. Ndoa si lelemama. Tunamshukuru Mungu tumetoka huko na sasa tumezeeshana. Ndoa mwaka wa 1-5 ni Shida, 6-10 umakini zaidi, 11-15 mnazoea kiasi vurugu, 16-20 mnaanza kukomaa, 21-25 unaanza kutua mizigo ikiwemo kusomesha bàadhi ya watoto, 26 plus yaani mnaanza penzi upya maana wote mnakuwa stress free. Hapa hata mwenzio akisafiri utatamani umfuate huko aliko. Hivyo ndoa siyo peremende na lazima mwanaume uwe ngangari.
Mkuu, una miaka mingapi kwenye ndoa?
 
Ukuriana huwa Hakuna talaka eti mke ndoa imekushinda unarudi kwenu,utakimbizwa na mapanga na marugu,thus wanawake wa kikurya awakimbii nyumba utakimbia mwanaume ondoka hata miaka 20 itakuta still nyumba ipo imara.
Kwanza Ni kwa nini akimbie arudi huko kwao. Kwani huko kwao huwa hamkosani na watu wake lakini.yaani sijui mtu anachukuliaje binadamu wengine. Anapofinywa anakimbilia kwao kwani huko ndiko mbinguni. Kwani huyo mwanaume Hana ndugu zake,shangazi zake,baba wadogo,wakubwa hawapo,wajomba wa ukweni hawapo kwani.
Kama mwanamke amechepuka kwani mwanaume hajawahi chepuka.
Kuna mzee mmoja alijua mkewe anachepuka,
Sasa bwana akaaga anasafiri,mkewe akapika akaenda kumwita hawara yule baba Yuko mlimani anacheki picha lote.

Sasa mme akawahi ndani akachukua ule ugali akachimbia mavi katikati ,hawara alipokula mavi ndipo mwisho wa kukuacha mke wake akampiga kuwa amemfanyia yule baba Yuko mlimani anacheki movie.
So hapa alitumia constructive idea ya kumtoa huyo mchepuko kwa mkewe.
Ukiwa unaenda home piga mruzi ama tuma boda apeleke kifurushi jamani.
Sasa wewe unafumania ghafula kwani wewe huko mtaani huvutiwi na wake za watu he na yeye akivutiwa na Waume za watu.
Sasa hapa watu wamekomaa na dini za wazungu utashangaa watakavyozitumia kukosoa.
Mie napenda uongee wewe Kama mwafrika na sio kutumia arabs/Europeans culture as reference point.
Kabla ya hizo dini watu waliishi kwa upendo mzuri.
Jiulize mwarabu hataki ke afanye kazi mzungu anataka ke afanye kazi na he wewe as Africans una nini.
Kuchepuka mie nasema kulikuwepo na hakutoisha Ni sawa fear,hope,greed and ego ziko as part of human being,so you can't separate emotions from human being otherwise awe amekufa
 
Sikatai mkuu but ukinisoma katikati ya mistari utakuta neno Mungu.

Mimi naamini uzi ulioshikilia mahusiano yetu anao Mungu mwaka wa tisa huu with three kids sifikirii wala sijawahi kuwaza ipo siku yeye au mimi tutasema inatosha na mbona wazazi wetu wamezeeka pamoja sisi leo tunashindwa nini?ushauri kijana owa ukiwa unajua unachokifanya bint huna haja kusema umri haujafika as long as upo above 18 ukipata bahati olewa ukishindana na wanaume kusema sijui namalizia ujana utakutana na dose moja inaitwa “single” mama uzeeke ukiita wanaume wote mbwa huku ukiwaona bado wakifanana na baba yako.
Baeleze hawa warembo hapa jf wanajidai kutupiga mizinga ya outing ya laki mara laki tatu...oleweni nyie acheni maringo wakina mzabzab wakija pm kutuma maombi🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kwanza Ni kwa nini akimbie arudi huko kwao. Kwani huko kwao huwa hamkosani na watu wake lakini.yaani sijui mtu anachukuliaje binadamu wengine. Anapofinywa anakimbilia kwao kwani huko ndiko mbinguni. Kwani huyo mwanaume Hana ndugu zake,shangazi zake,baba wadogo,wakubwa hawapo,wajomba wa ukweni hawapo kwani.
Kama mwanamke amechepuka kwani mwanaume hajawahi chepuka.
Kuna mzee mmoja alijua mkewe anachepuka,
Sasa bwana akaaga anasafiri,mkewe akapika akaenda kumwita hawara yule baba Yuko mlimani anacheki picha lote.

Sasa mme akawahi ndani akachukua ule ugali akachimbia mavi katikati ,hawara alipokula mavi ndipo mwisho wa kukuacha mke wake akampiga kuwa amemfanyia yule baba Yuko mlimani anacheki movie.
So hapa alitumia constructive idea ya kumtoa huyo mchepuko kwa mkewe.
Ukiwa unaenda home piga mruzi ama tuma boda apeleke kifurushi jamani.
Sasa wewe unafumania ghafula kwani wewe huko mtaani huvutiwi na wake za watu he na yeye akivutiwa na Waume za watu.
Sasa hapa watu wamekomaa na dini za wazungu utashangaa watakavyozitumia kukosoa.
Mie napenda uongee wewe Kama mwafrika na sio kutumia arabs/Europeans culture as reference point.
Kabla ya hizo dini watu waliishi kwa upendo mzuri.
Jiulize mwarabu hataki ke afanye kazi mzungu anataka ke afanye kazi na he wewe as Africans una nini.
Kuchepuka mie nasema kulikuwepo na hakutoisha Ni sawa fear,hope,greed and ego ziko as part of human being,so you can't separate emotions from human being otherwise awe amekufa
Kuchapiwa kupo pale pale. Wee wala usiumize kichwa.
 
Ndo ushangae sasa🤣

Hakimu mwenyewe yaelekea alicheka.

Haya maisha ya kusaka pesa haya yameleta ndoa za ajabu sana..

Mke na mume hawajawahi hata kupikiana chakula ama kufuliana nguo. Ila ni wanandoa wa miaka kazaa

Mke hajui hata mume anapenda kuvaa shati gani na mume hajui hata mke anapenda kupika chakula gani ila ni wanandoa wa miaka kumi

Binafsi siwezi oa mke muajiriwa kuepusha ndoa hewa za aina hizi
 
Mwanaume wa kweli hajutii maamuzi ya kuachana na mwanamke asiyeeleweka[emoji23][emoji23].

Kuna hawa wanao complain sjui kuhusu mgao wa mali na mazagazaga ya kiuchumi, hivi mwanaume uliyeteseka kutafta vitu vya thaman unaanzaje kugawana na mtu unayeachana nae ilihali umevitafta wew?

Ujinga ni pale mkiwa kwenye ndoa mnajisahau na kujikuta malaika kwa kuanza kushare kila kitu, mnajenga pamoja, mnanunua magari pamoja, wengine mpka card zenu za benk mnashare na wake zenu, si vibaya lkn hil jambo litakuja kukucost na utajuta sana.

Tunawashauri kila siku, owa ukiwa umetimiza angalau nusu ya ndoto zako, huyo mke unayeoa asijekuwa sehem ya wew kutimiza ndoto za mafanikio kiuchumi bali akute ushafanikiwa au aje amalizie gap dogo tu.

Owa ukiwa na mali zikiwa zimeandikishwa na wanasheria mmiliki halali weka hata wazaz, kama huna weka ndugu&jama unaowaamini ama baazi ya mali zako zifiche hata huyo msaliti wako wa baadae asijue unamiliki mali kiasi gani.

Dunia imeharibika siku hizi wanawake wanaingia ktk ndoa kimkakati sana, wapo wanaoingia kwa maigizo waje wachume na kupotea kuwarudia mabwana zao wa mwanzo(wadangaji)

Pia wapo wanaohusishwa na familia zao kuingia ktk ndoa kimkakati kwenda pia kuwinda mali, na baada ya kupata ni majuto kwa mwanaume hufuata kama sio kurogwa na kugeuzwa msukule ama kufa na vitu vyako vinyang'anywe.

Wapo ambao kwa tamaa zao tu za kingono huamua kujitoa ktk ndoa na kuingia kimahusiano na wanaume wengine, so hata hapa lazma mali zako zigawanywe kwa masingizio ya sheria na upuuzi mwingine.

Unatakiwa kujua mke uliyeoa si ndugu yako na hatowai kuwa ndugu yako kamwe ndiomaana unashiriki nae matendo ambayo huwezi kuyashiriki na ndugu zako, hivyo hata imani kwake iwe kwa kiwango ambacho hakitakuumiza.

Ishi nae kwa akili hatakama akili huna ila jitahidi kuelewa kuwa huyo hutoishi nae milele taka usitake kwa wanawake wa kizaz hiki, kuachana nikama sunna kwao.

Hakikisha furaha yako unaijenga nje ya mategemeo ya mtu, narudia tena, hakikisha mali zako hazitomuhusu siku mkiachana maana atakurudisha nyuma mafanikio uliyopambania muda mrefu.

Wabishi ndio waliwao
Ushauri ulio enda skonga ndio huu wanaume. Asante sana.
Hawa warembo wamekaa kusaka mali tuu, sasa nashindwa kuwaelewa sii wauze mbususu tuu watapata mali hizo. Wateja wapo kibao
 
Hakimu mwenyewe yaelekea alicheka.

Haya maisha ya kusaka pesa haya yameleta ndoa za ajabu sana..

Mke na mume hawajawahi hata kupikiana chakula ama kufuliana nguo. Ila ni wanandoa wa miaka kazaa

Mke hajui hata mume anapenda kuvaa shati gani na mume hajui hata mke anapenda kupika chakula gani ila ni wanandoa wa miaka kumi

Binafsi siwezi oa mke muajiriwa kuepusha ndoa hewa za aina hizi
Ni kitu Bora kabisa
 
Kuchapiwa kupo pale pale. Wee wala usiumize kichwa.
Nani anaumiza kichwa mamii. Mie kabla sijaOa Nisha expect that bad side ili inapotokea nisiumie. Do you what hurts us and cause emotional pains are just our own expectations.
Ila ku avoid emotional pains deceive your mind to expect bad side Mana hapo hutokuwa na kupoteza.
Mfano side wa mwanza alijiwekea kichwani kuwa swallher Ni wake pekee kumbe analika tu.
Mie sijaoa kwa ajili ya tobo Bali nimeoa mtu ambaye tutakuja kuzaa watu wengine Kama kula k zinalika bila ya kuoa.
.mwezi huu Ni wa tano sipo na wife so I expect anything to happen.
I don't need to know what's going to happen to live my next life.
Every moment in the universe is unique, no other two moments are alike. Hata jiwe unaloliona kila siku halipo hapo hapo huwa linahama sema hulioni so na binadamu wanachange.
No two moments in the universe is like.
Bad and good days are randomly distributed but in the long run ,in the long run of large number of days I know good days will outweigh bad days.
So mabaya yake yatakuwa madogo kuliko mazuri.
So mwishowe statistically speaking in probabilistic way of thinking we'll have positive mathematical expectancy.
That's my edge of living, fanya Ile arithmetically ya minus and plus uone outcome
 
Kwa kuwa maisha ni mafupi na hatujui tutakufa lini huwa tunavumiliana mno kwa faida ya imani yetu na usalama wa watoto wetu. Maana tukiacha tunaamini tunakuwa tumetengeneza vizazi vya kuachana. Madhara ya kuachana ni makubwa mno kuliko faida anayopata mtoa taraka au mpokea taraka. Nawapa pole sana wote mlio wahi kuachana na Mungu awape uponyaji ktk ndoa zenu. Ili mrejee na kuzijenga familia zenu.
 
Back
Top Bottom