Tukutane hapa wapenzi wa Tamthilia za Phillipine na Mexico

Tukutane hapa wapenzi wa Tamthilia za Phillipine na Mexico

MAJI MZITO-Amr Bawji
Hii ilikuwepo kwenye jarida la SANI,najua wengi watauliza mbona sio ya kwenye Tv?
Ni kwamba kipindi hicho kwetu hakukuwa na tv !!
 
MAJI MZITO-Amr Bawji
Hii ilikuwepo kwenye jarida la SANI,najua wengi watauliza mbona sio ya kwenye Tv?
Ni kwamba kipindi hicho kwetu hakukuwa na tv !!

ilikuwa inaitwa MAJI MAZITO
umenikumbusha CHINO, OBI na MAYUKU
 
the young and the restless...... I liked the guy victor........sun set beach ...Cole,Ben,Maggy
 
Jumong! hii ni mwisho wa yote. hata ikirudiwa mara 200 siwezi kuacha kuangalia. baada ya hiyo kuna ingine inaitwa The lands of winds! hizi zote ni Korean legendary drama. hizi drama ni balaa, kwa asiyewahi kuziona azione ni nzuri mno!!!!!!

Naunga mkono hoja 100%.
Mwenye kujua link ya hizi tamthilia za kikorea msaada tafadhali wakuu.
 
Hii ndiyo naikumbuka sana, I was too young. Tulizoea kuiita Husna na Hassan 1993 ilikuwa inaoneshwa TVZ, Dar tulikuwa tukiipata kwa kuhangaika sana na antenna. Tamthilia ya Mombasa. Walikuwa ni watoto wadogo wa umri wa wastani 13. Niliishia Husna kawa kidnapped maeneo ya pwani huku Hassan akiwa busy kumtafuta.
 
La Mujer De Mi vida..mazengo sec j2 vidume tumekusanyana kuwatch bwaloni..tumetoka mbali jamani back to 2001

Cc:Mwigulu
 
Jumong! hii ni mwisho wa yote. hata ikirudiwa mara 200 siwezi kuacha kuangalia. baada ya hiyo kuna ingine inaitwa The lands of winds! hizi zote ni Korean legendary drama. hizi drama ni balaa, kwa asiyewahi kuziona azione ni nzuri mno!!!!!!

nimetazama tamthilia nyingi kutoka mataifa mbalimbali, hadi sasa nakiri kusema sijaona waandishi na waigizaji wazuri wenye hadithi nzuri za kuvutia na kusisimua kama wakorea.hadi sasa sijawahi kuboreka na tamthilia yoyote niliyoiona ya kikorea. hata wamarekani hawaingii ndani.
halafu ukitazama unajifunza mambo mengi sana kuhusu visa mikasa na historia ya taifa lao na wale jirani zao. ni class tosha.
kwa sisi tunaopenda karate kungfu,ma taichi na staili zote za kupigana kwa akili na mbinu tunakosheka sana.
 
Jumong! hii ni mwisho wa yote. hata ikirudiwa mara 200 siwezi kuacha kuangalia. baada ya hiyo kuna ingine inaitwa The lands of winds! hizi zote ni Korean legendary drama. hizi drama ni balaa, kwa asiyewahi kuziona azione ni nzuri mno!!!!!!
wakorea ni mwisho wa yote,kuna moja ilikuwa inaitwa painter of wind ,watu tulikuwa hatujali hata kama kuna pepa kesho yake.
 
Days of our lives na TAUSI ya kenya, bila kusahau visa vya mzee mgongoo na mzee Ojwani
 
DAYS OF OUR LIVES Aisee ilibamba enzi nikiwa primary
 
Ila nakumbuka ile michezo ya kuigiza ITV enzi hizo. Mmoja niliokuwa naupenda ni 'mambo hayo'. Kina Seki,Bishanga,Richie Richie na wengine kibao
 
Back
Top Bottom