Tukutane tunaomiliki magofu kwa ajili ya kufarijiana

Kuna
Kuna baadhi ya maeneo ukianza ujenzi unaweza usimalize ni mambo ya ushirikina tu
 
Nakumbuka wakati naanza kujenga niliambiwa hili eneo watu wanajenga wanafikia hatua fulani hawamalizi kujenga na material yatabaki hapo chini mpaka yaharibike au kuibiwa haya mambo yapo, ila mtangulize Mungu,
 
samahani mleta mada nipo nje ya mada kidogo,mimi ni fundi wa kufunga cctv camera,electric fence,gate motor pamoja na video door bell,kwa mwenye kuhitaji huduma naomba tuwasiliane kwa namba 0622667749 au 0674376787 nipo Dar es Salaam
 
samahani mleta mada nipo nje ya mada kidogo,mimi ni fundi wa kufunga cctv camera,electric fence,gate motor pamoja na video door bell,kwa mwenye kuhitaji huduma naomba tuwasiliane kwa namba 0622667749 au 0674376787 nipo Dar es Salaam
Una utani na mleta mada wewe 🤣
 
samahani mleta mada nipo nje ya mada kidogo,mimi ni fundi wa kufunga cctv camera,electric fence,gate motor pamoja na video door bell,kwa mwenye kuhitaji huduma naomba tuwasiliane kwa namba 0622667749 au 0674376787 nipo Dar es Salaam
Hapa wengi ni wamiliki pagale wanafarijiana.
 
Aaaaah usiniambie kitu kuhusu hili jambo mzee mpk renter imekua nyeusi tiiiiiiiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…